Watu wote Waliotajwa na Musiba kwamba wanamkosoa Magufuli Wameshatekwa, je nani anahusika

Watu wote Waliotajwa na Musiba kwamba wanamkosoa Magufuli Wameshatekwa, je nani anahusika

A controversial question.. Who is next? (Among the list)
Ni maoni yangu tu maana huyu jamaa anajifanya kuwa master plan wa wasiojulikana. Akitaja mtu, then huyo mtu akapotea au kutekwa, watanzania tuungane kuandamana kumshinikiza msiba amrudiashe

Mwingine ni Mambosasa, huyu naye akiendelea kutumika kinyuma na katiba ya nchi, na ikatokea mtu ametekwa na hajulikani alipo, basi watanzania tuungane kuandamana kumshinikiza mambosasa mpaka amrejeshe.

Ni hayo tu kwa leo.

Jr[emoji769]
 
Ni maoni yangu tu maana huyu jamaa anajifanya kuwa master plan wa wasiojulikana. Akitaja mtu, then huyo mtu akapotea au kutekwa, watanzania tuungane kuandamana kumshinikiza msiba amrudiashe

Mwingine ni Mambosasa, huyu naye akiendelea kutumika kinyuma na katiba ya nchi, na ikatokea mtu ametekwa na hajulikani alipo, basi watanzania tuungane kuandamana kumshinikiza mambosasa mpaka amrejeshe.

Ni hayo tu kwa leo.
Tunaandamana huku JF au?
 
Mtu anaposema watanzania tuandamane... watanzania tupinge ... hua ana maanisha watekaji ni watu wa nchi gani
 
Nchi inaongozwa na watu waliyochanganyikiwa. by Kinana.
 
Ni maoni yangu tu maana huyu jamaa anajifanya kuwa master plan wa wasiojulikana. Akitaja mtu, then huyo mtu akapotea au kutekwa, watanzania tuungane kuandamana kumshinikiza msiba amrudiashe

Mwingine ni Mambosasa, huyu naye akiendelea kutumika kinyuma na katiba ya nchi, na ikatokea mtu ametekwa na hajulikani alipo, basi watanzania tuungane kuandamana kumshinikiza mambosasa mpaka amrejeshe.

Ni hayo tu kwa leo.
Wazo zuri, ebu tuweke list ya watu wa msiba:
1. Tito
2.
 
Tanzania ni nchi changa, uhuru wa watu wake kifedha bado upo chini sana tofauti na mataifa yaliyoendelea. Tatizo lililopo ni kuwa wapinga maendeleo hufanya juhudi za kuhakikisha wanajitengenezea njia za kunufaika wao kwa sababu wengi wanatamani utajiri kama Bakhresa ili hali wao si wafanyabiashara. Nchi zilizoendelea mtu hupinga vitu with objective mind ila huku kwetu wapinzani huwa subjective wanapopinga vitu. Na ndiyo maana wapinzani wa Tanzania wanaombea tupigane vita, wanamuombea rais wetu mabaya, na ndiyo maana sioni haja ya kuwatetea wasaliti
wapinzani wapi wanaoombea tupigane vita, hebu wataje hapa niwafahamu leo. Narudia tena kukwambia, hizi tafsiri zenu potofu ndio mnazitumia kuwasababishia watanzania wenzenu mateso, lazima mkubali kukosolewa hakuna mtanzania atakaeliombea taifa mabaya wakati na yeye pamoja na ndugu zake wanaishi Tanzania. Kutofautiana mawazo kusiwafanye muwaone wengine maadui wa taifa, sio kweli, sababu hata wapinzani nao ni watanzania, bora muwaone maadui wa ccm nitawaelewa, sababu ccm sio nchi, ni chama cha siasa tu kama vingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni maoni yangu tu maana huyu jamaa anajifanya kuwa master plan wa wasiojulikana. Akitaja mtu, then huyo mtu akapotea au kutekwa, watanzania tuungane kuandamana kumshinikiza msiba amrudiashe

Mwingine ni Mambosasa, huyu naye akiendelea kutumika kinyuma na katiba ya nchi, na ikatokea mtu ametekwa na hajulikani alipo, basi watanzania tuungane kuandamana kumshinikiza mambosasa mpaka amrejeshe.

Ni hayo tu kwa leo.
Ninyi ni taifa la wajinga acha mpigwe mtekwe na mkojolewe kabisa

Ninyi ni ng'ombe tuuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawaonea Huruma huyu mtu na RC wa mkoa mpendwa.Mzee akiondoka magogoni tu jela yao. Mzee wa magogoni anakinga ya magogoni. nyie hanna mjiandae .Mnatesa watoto wa watu namna hiyo kisa wako against serikali.Eee Mungu tumbo lililotoa mtoto kwa uchungu likapate kufarijika. Wafungulieni mashtaka sio kuwatesa, kuwateka,kubambikia kesi za uongo kisa tu wanamtazamo hasi Zaburi ya 43 na 109
 
Tushinikize nani amuwajibishe, angali tokea ametoa dhihaka na hata kuwatukana wazee hakuna aliyesubutu kumuonya, wamemhanya...!!Musba siyo mtu mmoja ujue, yeye ni kama chambo tu! Hao akina Hi now wanasubiri order tu watoe tamko then habari ndio inakuwa imeisha!
Ni maoni yangu tu maana huyu jamaa anajifanya kuwa master plan wa wasiojulikana. Akitaja mtu, then huyo mtu akapotea au kutekwa, watanzania tuungane kuandamana kumshinikiza msiba amrudiashe

Mwingine ni Mambosasa, huyu naye akiendelea kutumika kinyuma na katiba ya nchi, na ikatokea mtu ametekwa na hajulikani alipo, basi watanzania tuungane kuandamana kumshinikiza mambosasa mpaka amrejeshe.

Ni hayo tu kwa leo.
 
Ni maoni yangu tu maana huyu jamaa anajifanya kuwa master plan wa wasiojulikana. Akitaja mtu, then huyo mtu akapotea au kutekwa, watanzania tuungane kuandamana kumshinikiza msiba amrudiashe

Mwingine ni Mambosasa, huyu naye akiendelea kutumika kinyuma na katiba ya nchi, na ikatokea mtu ametekwa na hajulikani alipo, basi watanzania tuungane kuandamana kumshinikiza mambosasa mpaka amrejeshe.

Ni hayo tu kwa leo.
Kakojoe ulale
 
Tanzania ni nchi changa, uhuru wa watu wake kifedha bado upo chini sana tofauti na mataifa yaliyoendelea. Tatizo lililopo ni kuwa wapinga maendeleo hufanya juhudi za kuhakikisha wanajitengenezea njia za kunufaika wao kwa sababu wengi wanatamani utajiri kama Bakhresa ili hali wao si wafanyabiashara. Nchi zilizoendelea mtu hupinga vitu with objective mind ila huku kwetu wapinzani huwa subjective wanapopinga vitu. Na ndiyo maana wapinzani wa Tanzania wanaombea tupigane vita, wanamuombea rais wetu mabaya, na ndiyo maana sioni haja ya kuwatetea wasaliti
Soma tena ulichoandika, umeeleza tabia za kakikundi ka kifisadi ndani ya ccm magufuli inclusive
 
Ni maoni yangu tu maana huyu jamaa anajifanya kuwa master plan wa wasiojulikana. Akitaja mtu, then huyo mtu akapotea au kutekwa, watanzania tuungane kuandamana kumshinikiza msiba amrudiashe

Mwingine ni Mambosasa, huyu naye akiendelea kutumika kinyuma na katiba ya nchi, na ikatokea mtu ametekwa na hajulikani alipo, basi watanzania tuungane kuandamana kumshinikiza mambosasa mpaka amrejeshe.

Ni hayo tu kwa leo.

Maandamano ya Tanzania kila mtu anaandamana akiwa kwenye simu yake au laptop yake
 
Labda wewe si mfuatiliaji. Kila siku wapinzani mfano Zitto na akina mbowe wanaombea tupigane vita. Mh. Rais wetu alipoacha kuonekana kwa ajili ya mpumziko Mbowe alifurahi kwelikweli
Siku haya yanayotokea kwa hawa watu yakitokea kwa mtu wa karibu yako unayemfahamu ndo utajua kwanini watu wanalalamikia huu ukatili

Hata kama sio ndugu yako, ila yakitokea kwa mtu ambaye mnafahamiana au hata kama mliwahi kuongea siku moja tu lazima kuna kitu utahisi moyoni mwako

Jambo linapotokea kwa mtu wa mbali si rahisi sana kwa watu kama nyie kuhisi uchungu au maumivu ambayo wengine wanayahisi.

Ukitaka kuamini hili angalia siku kwenye habari yakitangazwa maafa au vifo vilivyotokea nchi nyingine kama Sudan au kwingineko. Mshituko unakuwa sio mkubwa! Ila siku maafa hayo hayo yatokee ndani ya mkoa au wiliya walipo ndugu zako utaona utakavyohangaika kujua kama ndugu zako wako salama

Mfano mzuri ni ile ajali ya moto Morogoro! Watu wenye ndugu, jamaa au marafiki Morogoro unadhani walikuwa na hali gani hasa walipopiga simu halafu wakawa labda hawapatikani kwasababu mbalimbali!?

Mtu anapokamatwa, halafu vituo vyote vya polisi haonekani na polisi hawasemi yuko wapi, hivi unaweza kuvaa viatu vya ndugu, wazazi, jamaa au rafiki zake ukahisi vitakuwaje? Unaweza kula chakula kikashuka vizuri?

Kwa hiyo watu wanapojitokeza kukemea na kupinga vitendo kama hivyo wanahitaji sapoti yetu na wala sio kuhamasisha au kupenda vita kama unavyodhani!

Watu kama hao wanahitaji kuungwa mkono na kupewa nguvu!

Sidhani kama Mbowe au Zitto wanaombea vita vitokee maana vita haiangalii sura ya Mbowe wala Zitto! Vita inapita na yeyeto! Lazima kwa namna moja ama nyingine vitawaathili tu!

Kudai haki itendeke sio kuchochoe vita! Kudai viongozi wafuate na kuheshimu katiba kamwe sio kuwaombea mabaya! Kudai watu waishi kwa uhuru na amani bila wasiwasi wa kutekwa, sidhani kama ni kuhamasisha vurugu!
 
Back
Top Bottom