Kwani aliyebakwa naye ni mtuhumiwa?Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni amesema tayari vyombo vya dola vimeshawatia nguvuni watuhumiwa wa ubakaji na ulawiti wa msichana anayedaiwa kuwa ni mkazi wa Yombo Dovya jijini Dar es Salaam.
Agosti 4, 2024 zilisambaa video katika mitandao ya kijamii zikiwaonyesha vijana watano wakimbaka na kumlawiti binti huyo, huku wakimtuhumu kwa kile kilichosikika katika video hiyo kuwa ametembea na mume wa mtu.
Kadhalika, katika video hiyo inayodaiwa kuchukuliwa na vijana hao, binti huyo alisikika akieleza anakotokea na kumwomba msamaha mtu aliyetambulishwa kwa jina la afande.
Masauni amethibitisha kutiwa nguvuni kwa vijana hao leo, Jumanne Agosti 6, 2024 alipotafutwa na Mwananchi Digital kwa njia ya WhatsApp.
Katika ujumbe mfupi aliotumiwa kuulizwa iwapo watuhumiwa hao wameshakamatwa, Masauni alijibu kwa kuandika “tayari” kupitia ujumbe huohuo wa njia ya WhatsApp.
Hata hivyo, Waziri Masauni hajafafanua zaidi kwani amesema bado yupo kwenye mkutano kwa sasa.
Pia soma
- Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa mande na wanaume watatu
- Suala la binti aliyefanyiwa ukatili wa kulawitiwa, tunahitaji kauli ya Rais ili Polisi watende haki na Mahakama ifanyekazi yake
- Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa mande na wanaume watatu
- Peter Madeleka: Ikiwa DPP Mwakitalu hatawapeleka mahakamani ndani ya saa 24 waliombaka binti wa Yombo, mimi nitawapeleka
- TLS yalitaka Jeshi la Polisi kuwatia nguvuni waliohusika na kitendo cha udhalilishaji na ukatili wa kijinsia kilichotokea Yombo Dovya
Nani mkweli? RPC au Waziri? Waziri kasema wamekamatwa, RPC kasema bdo wanaendelea na uchunguzi... Hapa tayari siasa imeingia....Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni amesema tayari vyombo vya dola vimeshawatia nguvuni watuhumiwa wa ubakaji na ulawiti wa msichana anayedaiwa kuwa ni mkazi wa Yombo Dovya jijini Dar es Salaam.
Agosti 4, 2024 zilisambaa video katika mitandao ya kijamii zikiwaonyesha vijana watano wakimbaka na kumlawiti binti huyo, huku wakimtuhumu kwa kile kilichosikika katika video hiyo kuwa ametembea na mume wa mtu.
Kadhalika, katika video hiyo inayodaiwa kuchukuliwa na vijana hao, binti huyo alisikika akieleza anakotokea na kumwomba msamaha mtu aliyetambulishwa kwa jina la afande.
Masauni amethibitisha kutiwa nguvuni kwa vijana hao leo, Jumanne Agosti 6, 2024 alipotafutwa na Mwananchi Digital kwa njia ya WhatsApp.
Katika ujumbe mfupi aliotumiwa kuulizwa iwapo watuhumiwa hao wameshakamatwa, Masauni alijibu kwa kuandika “tayari” kupitia ujumbe huohuo wa njia ya WhatsApp.
Hata hivyo, Waziri Masauni hajafafanua zaidi kwani amesema bado yupo kwenye mkutano kwa sasa.
Pia soma
- Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa mande na wanaume watatu
- Suala la binti aliyefanyiwa ukatili wa kulawitiwa, tunahitaji kauli ya Rais ili Polisi watende haki na Mahakama ifanyekazi yake
- Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa mande na wanaume watatu
- Peter Madeleka: Ikiwa DPP Mwakitalu hatawapeleka mahakamani ndani ya saa 24 waliombaka binti wa Yombo, mimi nitawapeleka
- TLS yalitaka Jeshi la Polisi kuwatia nguvuni waliohusika na kitendo cha udhalilishaji na ukatili wa kijinsia kilichotokea Yombo Dovya
Mkuu mama ang ameingiaje hapoo?Dah angelikuwa mama ako ndio aliefanyiwa vile sijui ungesema ivo ivo
Nguvu za kiume unazitathimini namna gani kwenye tukio kama hilo?Kwa kuwa walikua wengi, ila wajeda enyewe wana vibamia na hawana nguvu za kiume, mxxxxiiiiieeeeeewwwe!!.
Ila hapa kwenye kulialia maji. Usikute mwanzo alijisikia raha!Hii video ngoja niifute tu aise yaani kila nikiiangalia inatia huruma njemba 5 mpaka dada wa watu analia anaomba apewe maji ya kunywa
Wewe ni ke au me?Ikifika zamu yangu.....
Ili ugundue nini!☺️Picha wakiwa na pingu,,au hata mbele ya kituo cha polisi
nione tu sura zao,,ili sku nkiwaona uraiani aseee ntaanza kutembea na uji wa motoIli ugundue nini!☺️
nione tu sura zao,,ili sku nkiwaona uraiani aseee ntaanza kutembea na uji wa moto
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umeenda mbali sana bhanaa.Naona konker wwe ndiyo ungewazimisha wajeda na vibamia vyao, saa hii wwe ndiyo ungekua unatafutwa na police baada ya kuwazimisha wajeda watano kwenye game la kubakana!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eeeiiimeeeen"Usiogope; nipo pamoja na wewe", asema Bwana!
Mwambie arudi reverse![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umeenda mbali sana bhanaa.
Nazitathimini km ambavyo nimesemaa. Hakuna jipyaa palee.Nguvu za kiume unazitathimini namna gani kwenye tukio kama hilo?
Hakika mpendwa katika Bwana wa Majeshi.Eeeiiimeeeen