Watuhumiwa wa mande ya Ubakaji na ulawiti waliotumwa na afande wakamatwa

Mkuu mbona picha namba 2 kama ipo edited...
 
Dah mgalatia mwenzetu katuangusha sana. Mimi nilijua kabisa mwamba ni Kobaaz.

adriz hydroxo Kosugi The Icebreaker Accumen Mo Mlolongo
 
Hakuna kesi hapo Kwa huyo captain.jeshi watasema tunamshughulikia na mahakama za jeshi ambapo atapigishwa push up mbili tatu na virungu na kumwachia aendelee na maisha yake.polisi hawezi kwenda kumkamata bila ruhusa yao na wakilazimisha polisi wanakula mkong'onto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…