Watuhumiwa wa mande ya Ubakaji na ulawiti waliotumwa na afande wakamatwa

Mkuuu kwahili swala mpaka BBC hatoboi
 
Una Akili ndogo mno sijui unawezaje kuishi kwa akili hizo
 
Unaijua jamii lakini mkuu? Watu roho zimeshachafukwa
 
Hivi kwenye hili tukio mheshimiwa @ Dorothy Gwajima hajasema kitu?
 
Anayetakiwa kuthibitisha watuhumiwa wamekamatwa ni msemaji wa polisi, si Waziri wa Mambo ya Ndani.
 
Hakuna hata mmoja aliyekamatwa, isitoshe kile kitendo ndicho ambacho huwa wanafanyiwa baadhi ya wanaotekwa na watu wenu wasiojulikana. Kwa hiyo hizo mamlaka zenu wala hazijashtushwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…