Watuhumiwa waliolawiti mtoto Arusha wakosa sifa ya Kushtakiwa kwa kosa la Jinai kwa kutokuwa na umri sahihi

Hivi miaka mi5 kadudu kanasimama?
Kwa vitoto vya siku hizi siwezi shangaa. Baba zao wanameza Viagra mixer kunywa alkasusi na mchuzi wa pweza material lazima yakae kwenye damuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Siku hizi unaenda meza ya pweza unakutana na dogo miaka 10 anakunywa mchuzi wa pweza.
 
Hao watoto ni kukaa nao kujua wamepata wapi idea na ujuzi wa hivyo vitu. Hiyo kazi waachiwe wataalamu watuletee majibu.

Wazazi wamekuwa wazembe sana siku hizi. Hapo ukiuliza kisingizio ni kutafuta maisha utadhani hata maisha yenyewe wanayapata mwaka wa 15 huu.
 
kwa umri huo wanaweza kuwa wamesingiziwa, hata uume ulisimamaje hadi walawiti?
 
Huyo wa miaka mitano kazingiziwa, kazi kaifanya huyo wa wa miaka tisa ndiye balehe inadowloud πŸ˜³πŸ˜•
 

Kesi hii inaonekana wazi kabisa kwamba imetengenezwa, a fabricated case!
 
Matokeo ya 50 kwa 50.
Mama badala ya kulea, yuko kutafuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…