Watuhumiwa wenzake na Mbowe yawezekana kweli waliteswa na kupigwa, lakini je hawakupanga kushiriki njama za ugaidi?

Tuna mabunduki na akina nani? Tunazunguzia ishu iliyopo mahakamani,sisi ni raia . Je sheria za nchi zinasemaje?
Sheria zinasema uning'nizwe kama popo kwenye bomba la chuma na kula kichapo kwenye nyayo?? Hebu tusaidie mkuu...
 
Duuuh kumbe kutesa mahabusu kunafanywa kwa nia njema?? Iko kwenye PGO??
 
Inashangaza kidogo maana ata Diamond na Harmonizer nao wanalindwa na watu wababe wenye mafunzo
 
Mdogo mdogo mnaanza kuelewa somo!
 
Hapo sasa..wajanja wa chadema kama wanavyojiwaza wanafikiri wakiweza kuthibitisha kwamba watuhumiwa waliteshwa basi kesi imekufa. Ndio line ya uanasheria wa kilissu kuepa haki kwa mabishano kucheza na sheria badala ya kutumia uanasheria kujua haki iko wapi.
 
mi nadhani ugaidi Tanzania una maana tofauti sio ile tunayoijua
Kuna mwaka nilikuwa ufaransa nilikuwa jirani na jengo ambalo gaidi alivamia humo shughuri ulikuwa namna ya kumtoa ndani ya jengo hilo alikuwa mmoja tu ila shughuri ya kumtoa sikia kwa watu tu,walianza polisi wa kawaida kama kina kingai hawa zilikuwa zinatolewa maiti za polisi badala ya gaidi baadae kilikuja kukosi maalumu cha jeshi hata hivyo walitumia hewa ya sumu japo walifanya siri ndipo walipofanikiwa kumuua ni shughuri ilichukua masaa zaidi ya matano.
 
....wafuasi wa Chadema wanashupalia......usemi huu unaonesha upande ulioko wewe ambao ni wa mashitaka, kitendo hiki kinaondoa hadhi ya mada yako kujadiliwa kwani tayari unao uamuzi wako mfukoni.
Tatizo la kujibu kwa hisia bila kuangalia facts.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…