Watumbuaji wa Awamu ya Tano walia njaa, waomba Rais Samia awarudishe kazini hata kwa vyeo vya chini

Watumbuaji wa Awamu ya Tano walia njaa, waomba Rais Samia awarudishe kazini hata kwa vyeo vya chini

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Kitwala aliwahi kuwa mkuu wa Wilaya ya Mkoani Tabora, enzi zake alisimamisha kazi makumi ya watumishi na kuwafukuzisha kazi.

SSH akapita naye kama mwewe, akawa raia wa kawaida.

Kumbe chini ya kapeti akaomba awe Afisa sheria pale PSSSF, cheo Cha chini kabisa kutoka katika ukuu wa Wilaya. Hakika njaa mwanaharamu. Fikiria mtu aliyekuwa mkuu wa Wilaya aanze kutumwa mafaili na maafisa wengi walio juu yake.

Hawa jamaa enzi zao walikuwa hawaheshimu mahakama, Leo wanazikimbilia.

Tuishi vizuri na watu ndugu walimwengu, kesho ni Siri kubwa.

IMG-20230530-WA0024.jpg
 
Huyo anavuna alichopanda msimuonee huruma kabisa alishawahi kumlaza mtu kwenye ubaridi kisa birthday ,mwingine kisa chips tena chips mayai ya buku 2.Mimi niliunganishwa nae kuna kazi nilimsaidia huyo MAKU nikaishia kuomba omba nauli ya Kurudi nyumbani sikulamba hata 100.Na mimi bila kukimbia angenilaza kwenye ubaridi.
 
Huyo anavuna alichopanda msimuonee huruma kabisa alishawahi kumlaza mtu kwenye ubaridi kisa birthday ,mwingine kisa chips tena chips mayai ya buku 2.Mimi niliunganishwa nae kuna kazi nilimsaidia huyo MAKU nikaishia kuomba omba nauli ya Kurudi nyumbani sikulamba hata 100.Na mimi bila kukimbia angenilaza kwenye ubaridi.
Dah!.. Kama ni ukweli basi jamaa ana roho mbaya
 
Kama alifanya upuuzi acha avune alichopanda. Angeuchuna tu kwasababu hakuna kitu anaweza kumfanya Rais wa Tanzania na mwenyekiti wa CCM. Ingekuwa rais mbabe huyo jamaa angeshaonja joto ya jiwe. Ashukuru mama ana ubinadamu.
 
Katika vitu sikuwahi kupingana na Magufuli na kufukuza wote waliostahili kufukuzwa....
Samia asijaribu kuishi vizuri na watu huku mijitu yenyewe ni mijizi...
Afukuze Tu
 
Naona barua ilieleza kastaafishwa kwa maslahi ya umma, huenda anataka rais amwambie maslahi hayo ya umma ni yapi, hapo ndo mtifuano wa kisheria ulipo.
 
Watanzania wengi n wajinga Kama huamini soma comments za humu watu wanaacha kujadili main subject wanajadili personality ya mtu.

Wivu, umaskini na ujinga vinawatawala watu humu.

Jamaa n mwanasheria na anajua anachofanya kutetea ugali wake na familia yake na akishinda wengi wanashinda.
 
Huyo anavuna alichopanda msimuonee huruma kabisa alishawahi kumlaza mtu kwenye ubaridi kisa birthday ,mwingine kisa chips tena chips mayai ya buku 2.Mimi niliunganishwa nae kuna kazi nilimsaidia huyo MAKU nikaishia kuomba omba nauli ya Kurudi nyumbani sikulamba hata 100.Na mimi bila kukimbia angenilaza kwenye ubaridi.
Huyu Mbwa Bora akafie mbali,yaani jamaa mmoja mkatili,ana dharau,majisifu usiombe. Wakati yupo hapa Tabora aliwaumiza watu sana,Kuna kisa kimoja alimvunia mwanajeshi nyumba iliyokuwa imefika kwenye renter,aisee.!!
 
  • Thanks
Reactions: EEX
Back
Top Bottom