Dah!.. Kama ni ukweli basi jamaa ana roho mbayaHuyo anavuna alichopanda msimuonee huruma kabisa alishawahi kumlaza mtu kwenye ubaridi kisa birthday ,mwingine kisa chips tena chips mayai ya buku 2.Mimi niliunganishwa nae kuna kazi nilimsaidia huyo MAKU nikaishia kuomba omba nauli ya Kurudi nyumbani sikulamba hata 100.Na mimi bila kukimbia angenilaza kwenye ubaridi.
Mkuu mimi nimefanya nae kazi kwa muda hayo mbona madogo sana.Ni mshamba na mpumbavu sana huyo bro.Dah!.. Kama ni ukweli basi jamaa ana roho mbaya
Punguzeni kutuandikia ujinga, nchi za kiafrika ndiyo maana hazisongi. Wengi wanafikiria kwa matumbo na makalioAwamu ya 5 ulikuwa utawala wa shetani kabisa!
Chai ya motooooooAfisa sheria wa NSSF anakula mshahara zaidi ya waziri.
Huyu Mbwa Bora akafie mbali,yaani jamaa mmoja mkatili,ana dharau,majisifu usiombe. Wakati yupo hapa Tabora aliwaumiza watu sana,Kuna kisa kimoja alimvunia mwanajeshi nyumba iliyokuwa imefika kwenye renter,aisee.!!Huyo anavuna alichopanda msimuonee huruma kabisa alishawahi kumlaza mtu kwenye ubaridi kisa birthday ,mwingine kisa chips tena chips mayai ya buku 2.Mimi niliunganishwa nae kuna kazi nilimsaidia huyo MAKU nikaishia kuomba omba nauli ya Kurudi nyumbani sikulamba hata 100.Na mimi bila kukimbia angenilaza kwenye ubaridi.