Watumia ugoro kama mbadala wa tendo la ndoa

Watumia ugoro kama mbadala wa tendo la ndoa

Tendo la ndoa ni muhimu sana kwa mwandamu aliyekamilika, hayo mengine ni stress tu.
sex is necessary but not a necessity. Si lazima sex iwe lazima. wapo wanaoishi bila sex na wanaishi kwa amani, raha na miaka mingi.
 
kwa hiyo akisha weka tuuu kitu kinapiga chafyaaa na kukata hamuu ya kukutana na me

icho kiungo kinafanyiwa majaribio mengiii du... miaka hiyo tuliambiwa nyama inawekwamoo ikitolewa inapikwa akila me tayari kalishwa limbwataaa

anyway kumudu kufanya abstain yataka umakini sanaa
 
Kuna wazungu badala ya kuvuta cocain puani, wanatia huko(lkn dhumuni sio hilo la kukata hamu)
 
Ila hii ni balaaa na kansa nayo haipo mbali maana anaua good bacteria hayo maeneo na kuleta ingizo jipya la bakteria
 
Back
Top Bottom