Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mahala hapa Duniani Finance Minister akawa popular,haipogo hiyo mtakuja na Kila narrative.Unaweza kupata elimu ya juu hadi ngazi ya Phd lakini ikakufanya ukawa mjinga zaidi ya ulivyokuwa haupo nayo. Nilikuwa nasikia watu wanasema kuwa huyu mtu elimu yake ni ya mashaka makubwa sana na kuna uwezekano kuwa ni ya kupewa, na sasa ninaweza kuyasadiki yale maneno.
Huyu mtu sijui vilitumika vigezo gani kumuweka hapo alipo, upuuzi ni mwingi sana aisee.
Fresh minds ndio kama zipi hizo?Tusipoitoa CCM na kuleta Fresh Minds tutaendelea kuwa Masikini milele.
Zinapatikana nje ya CCM.Fresh minds ndio kama zipi hizo?
Wapi huko? Taja chamaZinapatikana nje ya CCM.
Hiyo biashara Bado haijachanganya sana wangeipa nafasi isambae Walau nusu ya nchi ndio waanze hayo makodi haraka ya Nini?Mkuu Mwigulu is good at terrorizing the common man!! He has no clue on stimulating the economy growth!
Upinzani na kwa Wanaharakati.Wapi huko? Taja chama
Doesn’t matter, muhimu we don’t import it na tunanunua in shilings, hatuhitaji dollar kuinunua, na serikali inapata sales tax na jobs nyingi tuu kwa watu wetuAliyekuambia gesi ni ya kwetu wenyewe ni nani
Takataka hizo,nitajie sera zao 2 tuu za kuleta maendeleo kwenye sekta ya Kilimo na Madini.Upinzani na kwa Wanaharakati.
Hiyo ni kazi ya genge la biashara ya wese🫠Nawaona bajaj na Uber wakijipiga kifua na kusema SISI NI WAJINGA
Kuwaza wapi tukimbilie kwa sababu ya wachache ndo mwanzo wa kutokujitambua, Ulipaswa kuwaza jinsi ya kuwakimbiza waoDah!!! Hii nchi tutakimbilia wapi Sasa?? Huyu mama na vijana wake Wana shida gani?
Kwa hiyo CNG inazalishwa Tanzania?Bajeti ya Mwigulu Nchemba inayosomwa leo imependekeza tozo ya Tshs 382 kwa kila kilo ya gesi asilia inayotumika kwenye magari ikiwa na lengo la kuchangia mfuko wa kutengeneza barabara na kuleta usawa kwa magari yanayotumia mafuta.
Swali langu kwa Mwigulu, kwanini ahangaike na kuleta usawa na kitu ambacho hakizalishwi nchini? Wewe unazalisha gesi halafu unataka iwe sawa na mafuta usiyozalisha, hadi baba wa demokrasia Marekani kila siku anadhibiti bidhaa asizolisha kutoka China japo kinyume na sera ya biashara huru!
Haitapunguza morali ya kuhamia kwenye gesi na ambayo inapunguza matumizi ya fedha za kigeni kuagizia mafuta ambazo sasa zinatafutwa kwa tochi! Hata watu binafsi wanaoanza kuwekeza kwenye vituo vya kujazia gesi vilivyo haba wataanza kutafuta biashara nyingine kwani huku hakuna ishara njema tena.
Napendekeza waache watumiaji waongezeke, wakiwa wengi waweke tozo ndogo isiyo na athari ya chini ya tshs 100, kwasababu watakuwa wengi wakati ujao wakiichangia kidogo kidogo itakuwa kubwa kuliko kuharibu sasa na kuendelea kuhangaika na uhaba wa dola.
NtwaraKwa hiyo CNG inazalishwa Tanzania?
Sidhan kama ni kweli.Gas ya Ntwara inpelekwa nje in raw formNtwara
Ndio maana inaitwa asilia,ikitoka nitayari kutumiwa,kama upo utenganishaji ni wa kiasi kidogo katika safari ya uvunaji wakeSidhan kama ni kweli.Gas ya Ntwara inpelekwa nje in raw form
Punguza ujinga hiyo sio hela ndogo kama unavyofikiri…kati ya jambo la kijinga kutokq kwa Waziri ni hili la kuongeza makodi kwenye gas halafu mnazunguka nchi nzima kuhamasisha watu kutumia magari ya gas huku mnaweka gharama!Sasa 382 ndio itafanya watu wasihamie kwenye gesi Waendelee kipa bei kubwa ya Mafuta? 😂😂
Hoja ya msingi ni hela ya Barabara imepatikana,hata kwenye Sgr kote huko Kuna tozo za kuchangia.
Ni ajabu sana hii Nchi watu wanataka vitu vizuri na hawataki kulipa Kodi/tozo 😂😂
Sera za CCM za Tozo zisizokuwa na huruma kwa Mwananchi wa hali ya chiniTakataka hizo,nitajie sera zao 2 tuu za kuleta maendeleo kwenye sekta ya Kilimo na Madini.
Maana yake wameamua kuiua hii biashara kwa mikono yao wenyewe..! Ufinyu wa kufikiriHiyo biashara Bado haijachanganya sana wangeipa nafasi isambae Walau nusu ya nchi ndio waanze hayo makodi haraka ya Nini?
Nishati ni very sensitive na inagusa kila sekta na familia zote, ndio maana nchi zinazojielewa serikali itafanya kila linalowezekana kupunguza tax na hata kuongeza pesa(subsidy) ili kupunguza makali, alichofanya ataongeza inflation na ugumu wa maisha kwa mamilioni ya watuHakuna mahala hapa Duniani Finance Minister akawa popular,haipogo hiyo mtakuja na Kila narrative.
Hoja ya Mwigulu Iko wazi,na Kwa kukuongezea tuu ni kwamba hiyo tozo haiwezi fika hata nusu ya bei ya Lita ya Mafuta.
Kwa hiyo ndio itafanya wewe uache gesi ukomae na Mafuta?