Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,611
- 5,009
Dunia inapambana na carbon emission reduction kwa kuangalia nishat mbadala sisi ndiyo kwanza tunakatisha tamaa. Hiyo mikutano waliyoenda huko Dubai, ndicho walichokubaliana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini? Maana Bado bei ya gesi itakuwa chini sana tuu kulinganisha na mafutau
Wao waliona wamepata mserereko. Ukichanganya na gari kupoteza nguvu kwa 40% basi ni maumivu matupuKwa nini? Maana Bado bei ya gesi itakuwa chini sana tuu kulinganisha na mafuta
Kwenye hiyo mikutano hufanya vitu viwili kusinzia mikutanoni na kwenda shopping hamna la maana wanalo rudi nalo kwenye hili la kuweka Kodi kwenye gesi asilia ya Magari ni ushahidiDunia inapambana na carbon emission reduction kwa kuangalia nishat mbadala sisi ndiyo kwanza tunakatisha tamaa. Hiyo mikutano waliyoenda huko Dubai, ndicho walichokubaliana?
Sio lazima itoke ila Serikali ianze kujaza vijana wenye akili.kwenye maeneo ya maamuzi wanaijua Dunia ya Sasa kuliko wazee waliojazana maeneo ya maamuzi bunge pia CCM ijaze wabunge vijana bunge limejaa wazeeTusipoitoa CCM na kuleta Fresh Minds tutaendelea kuwa Masikini milele.
Toa hela.Eti kuna siku tukawa tunaota kwamba Tanzania itafuta ushuru wa magari ya umeme. Kama gesi tu wanaanza kuwakazia kama hivi.