Watumiaji wa gesi asilia kwenye magari wamefikiwa, wawekewa tozo ya 382 kwa kila kilo

Tusipoitoa CCM na kuleta Fresh Minds tutaendelea kuwa Masikini milele.
 
Hakuna mahala hapa Duniani Finance Minister akawa popular,haipogo hiyo mtakuja na Kila narrative.

Hoja ya Mwigulu Iko wazi,na Kwa kukuongezea tuu ni kwamba hiyo tozo haiwezi fika hata nusu ya bei ya Lita ya Mafuta.

Kwa hiyo ndio itafanya wewe uache gesi ukomae na Mafuta?
 
Mkuu Mwigulu is good at terrorizing the common man!! He has no clue on stimulating the economy growth!
Hiyo biashara Bado haijachanganya sana wangeipa nafasi isambae Walau nusu ya nchi ndio waanze hayo makodi haraka ya Nini?
 
Kwa hiyo CNG inazalishwa Tanzania?
 
Punguza ujinga hiyo sio hela ndogo kama unavyofikiri…kati ya jambo la kijinga kutokq kwa Waziri ni hili la kuongeza makodi kwenye gas halafu mnazunguka nchi nzima kuhamasisha watu kutumia magari ya gas huku mnaweka gharama!
Kupenda kusifia kila jambo kunqpofusha hata uwezo wa kufikiri
 
Nishati ni very sensitive na inagusa kila sekta na familia zote, ndio maana nchi zinazojielewa serikali itafanya kila linalowezekana kupunguza tax na hata kuongeza pesa(subsidy) ili kupunguza makali, alichofanya ataongeza inflation na ugumu wa maisha kwa mamilioni ya watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…