Watumiaji wa Internet wazidi kupaza sauti za Starlink

Watumiaji wa Internet wazidi kupaza sauti za Starlink

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,235
Reaction score
4,252


Serikali kupitia Wizara ya Habari na Mawasiliano imetoa ufafanuzi juu ya ujio wa Starlink ikidai kuwa haijakataa ujio wao bali inasubiri kampuni ya Starlink itimize masharti yaliyowekwa
 
Masharti Magumu mnategemea wawekezaji kweli Waziri apime ushauri wa wataalam wake kuhusu Starlink kama una tija na maslahi ya nchi vinginevyo wapitie upya uamuzi huo internet siyo anasa tena ni lazima kwenye maisha ya binadamu.
Yaweke hapa tuine ugumu wake, ili tuwapopoe
 
Moja ya sharti ni kuanzisha/kuwa na ofisi (physical address) Tanzania.
He sijui kwanini kila kampuni lazima iwe na physical address, Starlink ni huduma isiyohitaji ofisi labda tu office itumike kuuza vifaa vyao
 
Nape haangalii bigger picture, focus yake kaweka kwenye vitu vidogo ambavyo havina maana yeyote wala maslahi Kwa wananchi na Taifa Kwa ujumla, vitu kama ofisi Kwa waziri he can overrule na kutoa waiver ili jamaa waanze kazi na haina maana amevunja Sheria, siamini jamaa kama ni boya kiasi hicho, wenzake Wana line up kuongea na Starlink walete internet lenyewe limekaa ofisini kujiona Babu kubwa waje walibembeleze kutoa kibali, hili jamaa ni young lakini bado linaishi stone age, tuna watu wa hovyo sana hii serikali, kiongozi mzuri angefanya Kila njia jamaa waje sio kuweka demand za kipuuzi kama ofisi, na kuhalalisha ufala wake eti hata wenye Starlink nao walipata matatizo ya internet na sio kweli anyway, na kuongeza uboya wake eti sasa tuna focus na satellite yetu...Nape toa licence Acha ufala
 
Jamani vipi kuhusu starlink tz ndio imeshindikana kenya wenzetu tayari Burundi na Mozambique pia tz kitu gani kimeshindikana?
 
Back
Top Bottom