Cannabis
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 11,557
- 33,535
Zinapiga kazi 100% nimeona mwenyewe kwa macho yangu, huku Chuga wengi wanazivusha kutokea Kenya na hamna anayesumbuliwa mpakaniUna uhakika bro zinapiga kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zinapiga kazi 100% nimeona mwenyewe kwa macho yangu, huku Chuga wengi wanazivusha kutokea Kenya na hamna anayesumbuliwa mpakaniUna uhakika bro zinapiga kazi
Mwenye uwezo wa kuzuia transmission ni Mmarekani, ndiye anayetawala anga na Satellites, hakuna nchi hata moja Afrika yenye huo uwezo, usiogopeBro ninavohisi haitofanya kazi sababu sio signal sababu tanzania ndio wanaofungua hiyo server au?
Maana ukiangalia beam mombasa na tanga ni uso na pua lakini kwenye map ya Starlink ukiweka tanga inakwambia huduma bado ila mtu alieko mpkakani na map yake inasoma kenya basi inafanya kazi
Dp word=AnkoKama kaja DP World Sidhani kama Musk atashindwa hayo masharti
Umenipa habari njema nainunuaMwenye uwezo wa kuzuia transmission ni Mmarekani, ndiye anayetawala anga na Satellites, hakuna nchi hata moja Afrika yenye huo uwezo, usiogope
Mjing ni baba na mama yako walie zaa andazi.Ofisi sio sababu ya kukosa Kodi, as long as licence imetolewa Kodi italipwa tuu, Acha kutoa excuses za kijinga
Kanye ulale unachosha tuuMjing ni baba na mama yako walie zaa andazi.
Bro baba na Mama hapo yanawahusu nini ulikua umtukane yee tuMjing ni baba na mama yako walie zaa andazi.
Yeye wakati ameanza kunitukana ulimpa ushauri?.Bro baba na Mama hapo yanawahusu nini ulikua umtukane yee tu
Niache kumchosha mama yako na baba yako nikuchoshe wewe?Kanye ulale unachosha tuu