Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inapiga mzigo, kuna masela nimeona wanatumia, kitu muhimu uingie nayo boda tu unaweza ichukua kutoka KenyaNa jee nikinunua starlink kit nikaingia nazo tz inaweza kufanya kazi ?
Ofisi sio sababu ya kukosa Kodi, as long as licence imetolewa Kodi italipwa tuu, Acha kutoa excuses za kijingaHilo linatuhakikishia usalama wa upatikanaji wa kodi zetu. Hata Marekani wali demand the same issue kwa Google.
Huyo nape ni poyoyo, wakati yeye anakataza starlink watu tayari wanazo na wanazitumia. Mwambieni "kalaga baho".View attachment 2990878
Serikali kupitia Wizara ya Habari na Mawasiliano imetoa ufafanuzi juu ya ujio wa Starlink ikidai kuwa haijakataa ujio wao bali inasubiri kampuni ya Starlink itimize masharti yaliyowekwa
lakini President Samia can overrule him, Hana wasaidizi wa kumwambia huu ujinga anaofanya Nape? high-speed internet ni muhimu sana Kwa Dunia ya Leo, President Samia anaweza kubadilisha hili Kwa one call tuuHuyo nape ni poyoyo, wakati yeye anakataza starlink watu tayari wanazo na wanazitumia. Mwambieni "kalaga baho".
Hivi kuja nini cha kuzuwia watu wasinunuwe starlink Kenye na kuja kuitumia Tanzania?
Ujinga umemjaa sana Nape, hajuwi kuzitumia akili zake kwa maslahi ya wananchi, yupo katika asilimia tu, astaafu vyema.
Atashindwa tu kwa Nape. Dawa ni kuongea tu na Mark Mwandosya kumshawishi. Kwa baba hakuna kinachoshindikana.Kama kaja DP World Sidhani kama Musk atashindwa hayo masharti
Mnamuonea bure tu Nape. His hands are tied.Huyo nape ni poyoyo, wakati yeye anakataza starlink watu tayari wanazo na wanazitumia. Mwambieni "kalaga baho".
Hivi kuja nini cha kuzuwia watu wasinunuwe starlink Kenye na kuja kuitumia Tanzania?
Ujinga umemjaa sana Nape, hajuwi kuzitumia akili zake kwa maslahi ya wananchi, yupo katika asilimia tu, astaafu vyema.
Tied na nani? fungukaMnamuonea bure tu Nape. His hands are tied.
System mkuu. Twitter tu yenyewe hawaitaki.Tied na nani? funguka
Na bado watu wanaipigia kura CCM, haiingii akiliniSystem mkuu. Twitter tu yenyewe hawaitaki.
Babu unadhani anayefanya maamuzi ni waziri?Huyo nape ni poyoyo, wakati yeye anakataza starlink watu tayari wanazo na wanazitumia. Mwambieni "kalaga baho".
Hivi kuja nini cha kuzuwia watu wasinunuwe starlink Kenye na kuja kuitumia Tanzania?
Ujinga umemjaa sana Nape, hajuwi kuzitumia akili zake kwa maslahi ya wananchi, yupo katika asilimia tu, astaafu vyema.
Ametowa sababu za kijinga kabisa eti nchi zinazotumia starlink "zimeathirika:, zimeathirika na nini? UKIMWI?Mnamuonea bure tu Nape. His hands are tied.
Babu yako nani?Babu unadhani anayefanya maamuzi ni waziri?
Sio washauri wale wa kitaalam?
Povu aiseeBabu yako nani?
Nani kaongelea "maamuzi"?
Yawekwe public watu waone, maana hapa imeshaonekana ni interest za watuHayo masharti ni yapi au ni masharti ya siri kiasi kwamba hayawezi kusemwa hadharani?!
Bro ninavohisi haitofanya kazi sababu sio signal sababu tanzania ndio wanaofungua hiyo server au?Ndio kwasababu utatazama beam ya hiyo Satellites kama inafika humu
Download App ya Starlink kisha u scan kama utapata signal
Una uhakika bro zinapiga kaziInapiga mzigo, kuna masela nimeona wanatumia, kitu muhimu uingie nayo boda tu unaweza ichukua kutoka Kenya