Watumiaji wa Internet wazidi kupaza sauti za Starlink

Mwenye uwezo wa kuzuia transmission ni Mmarekani, ndiye anayetawala anga na Satellites, hakuna nchi hata moja Afrika yenye huo uwezo, usiogope
 
Mwenye uwezo wa kuzuia transmission ni Mmarekani, ndiye anayetawala anga na Satellites, hakuna nchi hata moja Afrika yenye huo uwezo, usiogope
Umenipa habari njema nainunua
Mie sipo tz lakini nainunua na nitaingia nayo tanzania full package hadi adapta yake thank you bro
 
Bro baba na Mama hapo yanawahusu nini ulikua umtukane yee tu
Yeye wakati ameanza kunitukana ulimpa ushauri?.
Ajifunze kusoma mawazo ya wenzake na kuchagua kujibu, kukosoa au kuacha bila matusi wala kashfa. Kila mtu ana mtazamo wake kwa jambo fulani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…