Miss_Mariaah
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 2,176
- 4,979
Habari za jioni Wana JF,
Nimegundua watumiaji wa iPhone asilimia kubwa Wana ushamba na ulimbukeni.
Yani akiwa nayo atataka watu waione wajue kama ana iPhone, ulimbukeni wenyewe ni huu huwa wanaona iPhone ndo simu Bora kuliko simu zingine na kuzidharau hizi brand nyingine za simu.
Mimi si mpenzi wa iPhone kabisa ingawa uwezo wa kununua ninao Ila sipendelei napendelea Oppo natumia Oppo Reno 8 5G pro ninayo tangu 2022 ni simu nzuri Sana kimuonekano pia features zake za ndani Ni unique camera ndo usiseme iko Bomba sana.
Juzi kulikuwa na kasherehe kidogo ofisini ikafika Muda Yukawa tunapiga picha staff nikatoa simu yangu nikampa mtu atupige akatokea mwenye iPhone nanunukuu "chukua hii piga na Hii" Yule mpigaj akasema basi nitawapiga Na zote mbili. Ile iPhone picha zilitoka mbaya nyeusii Oppo yangu picha zilitoka vizuri sana watu
Waka-appreciate.
iPhone ni brand tu ile kuna simu zina feature nzuri kukiko iPhone.
Nimegundua watumiaji wa iPhone asilimia kubwa Wana ushamba na ulimbukeni.
Yani akiwa nayo atataka watu waione wajue kama ana iPhone, ulimbukeni wenyewe ni huu huwa wanaona iPhone ndo simu Bora kuliko simu zingine na kuzidharau hizi brand nyingine za simu.
Mimi si mpenzi wa iPhone kabisa ingawa uwezo wa kununua ninao Ila sipendelei napendelea Oppo natumia Oppo Reno 8 5G pro ninayo tangu 2022 ni simu nzuri Sana kimuonekano pia features zake za ndani Ni unique camera ndo usiseme iko Bomba sana.
Juzi kulikuwa na kasherehe kidogo ofisini ikafika Muda Yukawa tunapiga picha staff nikatoa simu yangu nikampa mtu atupige akatokea mwenye iPhone nanunukuu "chukua hii piga na Hii" Yule mpigaj akasema basi nitawapiga Na zote mbili. Ile iPhone picha zilitoka mbaya nyeusii Oppo yangu picha zilitoka vizuri sana watu
Waka-appreciate.
iPhone ni brand tu ile kuna simu zina feature nzuri kukiko iPhone.