Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana ishu sio kuonesha mechi hiyo sema lengo ni kuwa na thread ya hii kitu make changamoto yake watumiaji sio wengi sana ila tunaotumia huwa tunapata shida ya kujua updates za channel zake ,mfano huwa namsumbua mkuu mmoja humu kunitumia ratba za mechi kwa channel husikaUngelezea zaidi ndugu ile wengine tujue Cha zaidi kilichopo huko canal
Kama ishu ni kuonyesha mechi ya taifa star ata star time wanaonyeasha kwenye Chanel ya s.sport focus.
Elfu 30 unaangalia mechi zote.Kifurushi cha bei ya chini kwa mwezi ni shingapi?
What's new ?Canal plus is in French
What's new ?Canal plus is in French
kingamuzi bei gani?Habari wanajamvi ,wale wapenzi na watumiaji wa ving'amuzi vya canal plus tukutane hapa na kupeana updates hasa kuhusu matangazo na ratiba yao ya mpira na vipindi vingine.
Leo taifa stars inacheza CHAN na wanarusha sport 1.
View attachment 1681083
Burundi unapata kwa 50,000/=ki
kingamuzi bei gani?
Kwa lugha ya Kifaransa 🇮🇹EPL inaonyeshwa kwa lugha gani?..au ni kama zile feeds wanazopokea dstv?
Pamoja mkuusijapata hizi fununu kama zina ukweli