white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,566
- 13,770
Hivi mkuu nikihitaji hiyo decoder ya canal , naipataje na je hiyo 50, 000 ni tsh.?na inakuwa na dish lake?na malipo kwa mwezi kifurushi cha mipira yote ni bei gani?!nitashukuruBurundi unapata kwa 50,000/=