Kanali_
JF-Expert Member
- Nov 18, 2018
- 6,438
- 10,180
Wanaonesha kwenye channels za Supersport (ndani ya canal plus) ila utapaswa kufanya malipo ya ziadaEUROPA LEAGUE canal hawaoneshi??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaonesha kwenye channels za Supersport (ndani ya canal plus) ila utapaswa kufanya malipo ya ziadaEUROPA LEAGUE canal hawaoneshi??
[emoji16][emoji16][emoji16]Coma SavaaTCRA hawazingua mkuu...nahitaji na mm nitajifunza kifaransa baadae ..kwakua lugha ya mpira wote tunaijua...
naipataje hio Canal nduguKingine cha ziada channel zao ni full HD
probablyWakuu
Canal+ inaonyesha UFC na boxin matches???
Michezo yote mpk kusaka wadudu kwenye topeprobably
Hapo sifahamuMichezo yote mpk kusaka wadudu kwenye tope
Tofauti yake ni nini?Kuna 50k kuna 37k
TunapatajeCanal+ ni kilakitu kwangu upande wa soccer
Njoo dm!! Upate namba.Mwenye updates nakitaka hiki
Karibu.Mwenye updates nakitaka hiki
Vifurushi vyake bei zikoje
Vifurushi vipo kwaVifurushi vyake bei zikoje