Watumiaji Wa Sigara tukutane hapa

Ndio mana nikamuuliza jamani nijiandae kubanjiwa mana wavuta sigara wana kwaza kwa mambo mengi mnoo
Yaani usiombe avute halafu awe mchafu!!
Wanatakiwa kuswaki si chini ya mara tatu kwa siku!! Sasa ukutane na anayeswaki asubuhi tuu, utaomba poooh
 
Yaani usiombe avute halafu awe mchafu!!
Wanatakiwa kuswaki si chini ya mara tatu kwa siku!! Sasa ukutane na anayeswaki asubuhi tuu, utaomba poooh
Ptyuuuuuuuuu halafu mijitu ya hivyo nahisi inakuwa inapenda kukiss kiss hakiii utatamani ujifiche ukimuona
 
Nilikuwa addicted sana na hiyo makitu kwa zaidi ya miaka 20, namshukuru sana sana sana Mwenyezi Mungu nilifanikiwa kuacha kuvuta sigara kwa zaidi ya miaka 10 sasa
Hongera sana mkuu, kuacha uvutaji wa Sigara Ni kugumu mno.
 
Mm sio mvutaji lakini naonja kwa mwaka Mara 2 na kwa matukio maalumu,..naipenda sana ubalozi(embassy) na Carmel[emoji6] nikikosa basi sports.
Mkuu Embassy inapendwa na wengi, mimi nikiwa mmoja wapo. Napendelea sana embassy ,nkikosa hiyo Ni Dunhill au Marlboro .
 
We said...
 
Mie kila nikijaribu kuvuta sigara lazima njiskie kichefu chefu na kama nikiwa nimetoka kula lazima nikitoe,so naichukia kwa sababu hiyo. Ila ile yenye moshi mwembamba siachi ng'oo.
 
hii kitu nlitest enzi zile niko form one, ila nashukuru WAZAZI WALIPAMBANA NIKAACHA
 
Na me nasubiri jibu
Sigara iko psychological(as in nicotine affects the brain). ndipo psychology inapelekea physiological changes. Inafika kipindi mtu anaweza kukosa usingizi pasipo kuvuta sigara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…