Watumiaji Wa Sigara tukutane hapa

Watumiaji Wa Sigara tukutane hapa

Kila mtu na starehe yake nilijaribishaga kuvuta shisha tumetoka rafiki zangu kila mtu na mtungi wake nawaona kabisa wanaenjoy nikasema na mm ngoja nijaribu naona moshi tu sijaona raha yoyote
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli tumeumbwa tofauti!
 
Yes swirryy,.mm huwa naenjoy sana tena ninapo nyanyua shingo juu na kuachia moshi wa mdomoni na puani,.alooo tamu Sanaaa[emoji16][emoji16][emoji16]
Duh! Basi katika vitu vinavyonifanya niogope kuvuta sigara huwa ni kitendo cha kuona moshi ukitokea puani kwa mvutaji, huwa nahisi pua linapata shida. Kumbe kwako ndio starehe yenyewe
 
Yaan acha tu nionekane mshamba vingine vimenishida wanavuta shisha kila tukitoka nikasema ebu nijaribu na mm nijionee naona mamoshi tu wananiambia vuta halafu uachie jamani vikanishinda
Hivi kweli ukavuta?! Woooi
 
Duh! Basi katika vitu vinavyonifanya niogope kuvuta sigara huwa ni kitendo cha kuona moshi ukitokea puani kwa mvutaji, huwa nahisi pua linapata shida. Kumbe kwako ndio starehe yenyewe
Hamna shida wala maumivu yoyote Yale ni kama kuvuta tuu oxygen, sema tuu moshi unaonekana ndio maana unahisi labda MTU anapata shida lakini wapii,.
 
Back
Top Bottom