Watumiaji Wa Sigara tukutane hapa

Watumiaji Wa Sigara tukutane hapa

Ushavutaga kwani mi nishawahi kuonja bangi nikiwa nadoma pale azaboy ili mida fulani tuende Bill canas club aisee nilikuwa naona kama dunia nzima wamenong'onezwa kuwa nimevuta bangi aisee tangu siku ile nikasema sivuti tena sigara nitavuta pumzi tu [emoji23] [emoji23]
Hahah!! Mkuu billie umenifurahisha sema mimi napenda vijana kama hvyo wawe wanajaribu jaribu vitu tokauti bado mapema, kama ww hvyo umetest mjani ukaona sio fani yako ukaendelea na pumzi tu. Ila mjani una mzuka wake ndugu ukipiga unajiona upo kwenye ulimwengu wa kipekee kabisa
 
Hahah!! Mkuu billie umenifurahisha sema mimi napenda vijana kama hvyo wawe wanajaribu jaribu vitu tokauti bado mapema, kama ww hvyo umetest mjani ukaona sio fani yako ukaendelea na pumzi tu. Ila mjani una mzuka wake ndugu ukipiga unajiona upo kwenye ulimwengu wa kipekee kabisa
So we unapiga mpaka leo mi nilijiona sio mteule
 
Nilivuta sigara miaka kumi
Siku moja kabla sijaaanza kuzivuta niliweka nadhir sitovuta tena na nikaanza kuzikata kata kabla ya kuzifuta. Sijawahi vuta tena mwaka wa sita sasa
 
So we unapiga mpaka leo mi nilijiona sio mteule
[emoji23][emoji23][emoji23] sio muhanga kabisa wa hilo ganga ila kwa matukio maalum sana yani kwa mwaka mara moja sio mbaya japo na mimi sio mteule mana unavonifanyaga sio poa
 
..huvuti sigara ila unagonga nyeto au kea sababu nyeto haijaandikwa kwamba in madhara...embu tuacheni huko
 
[emoji23][emoji23][emoji23] sio muhanga kabisa wa hilo ganga ila kwa matukio maalum sana yani kwa mwaka mara moja sio mbaya japo na mimi sio mteule mana unavonifanyaga sio poa
Bora uache maana watu wengi wanaamini kila mvuta bngi ni kichaa
 
Bora uache maana watu wengi wanaamini kila mvuta bngi ni kichaa
Amna mkuu hayo maneno tu siunajua watu wanapenda kuchafua starehe za watu afu wanajuaga watu wa mjani ni wale wa vijiweni tu wenye manywele yao machafu, hawajui ata maoficen wadau wapo hadi bungeni watu wamekula suti na wanatoa hoja za mzingi huku wamapendeza kichwani
 
Ujinga wa fegi:
1)Ukipata wazo au Habari flani nzuri ujue hapo lazima utaiwasha
2) Ukiwa Na msongo wa mawazo hapo zitawashwa bandika bandua
3) Fegi zinapenda sana maeneo ya upweke upweke hv,maeneo yasio Na movement ya watu.....lazima uwashe
4)Ukimaliza kula tu lazima uitafute ilipo
5) Zinakutengenezea umaarufu sana kwa akina mango
6)Upo ladhi kutembea km 5 kwa miguu kufata sigara
7) Sigara ukivuta Huku ukiwa Na msichana itakuwa tamu ajabu..yan ushetani mtupu
8)Upo tayari kuchenji elf kumi kwa ajili ya sigara moja
9) Sigara ya kwanza ya asubuhi ni tamu kuliko zinazofuata siku hiyo
10)Ukionekana unavuta Sigara hadharani jamii inakutoa akili
11) Ukivuta idadi kubwa ambayo siyo kawaida yako jipange kupokea mapigo ya moyo yasiyoeleweka wakati wa kulala
12) Ukiwasha Sigara mpya then ukavuta nusu kisha ukaizima/ukaipiga nyundo....kesho yake ukikirudia kile kipisi ukichokizima kinakuwa kikali Mara mbili kuliko kawaida
13) Ukikaa kutwa mzima usivute then ukaja kuvuta jioni Huku umesimama wima huenda ukadondoka chini kwa maluwe luwe utakayoyaona
Ni mengi sana Ila Sigara kiujumla ni mbaya hata muipambe vipi.
 
Amna mkuu hayo maneno tu siunajua watu wanapenda kuchafua starehe za watu afu wanajuaga watu wa mjani ni wale wa vijiweni tu wenye manywele yao machafu, hawajui ata maoficen wadau wapo hadi bungeni watu wamekula suti na wanatoa hoja za mzingi huku wamapendeza kichwani
Hakuna kitu kinaniudhi pale mtu akiona ana misbehave wasema huyu anavuta Bangi nni?
 
Habari za Muda huu Wakuu,

Binafsi nina Addiction ya uvutaji Sigara. Wale wenye addiction ya uvutaji wa Sigara tubadilishane mawazo na tupeane maujanja na kujuzana aina mbali mbali za Sigara na flavor zake.

Personally huwa navuta most of cigarettes isipokuwa zenye sweet menthol kutokana na mahali nilipo na Upatikanaji wa Sigara kwa Muda huo.

Karibuni.


Kuna sehemu nilisoma kuwa watumiaji sigara wengi kuna kipindi wanakuwa na hamu ya kulamba koni wavutapo sigara, inasemwa ile nicotine inawachanganya kisaikolojia na kuwaza kulamba dushe. Mkuu, hii ilishakukuta na ulijisikiaje?
 
Nyie mataira kweli sigara imeandikwa ni hatari kwa afya nyie mnavuta mataira wakubwa sana mnamwitaji Yesu awatoe pepo hilo
Mbona uzinzi na ufiraji viketaliwa na kulaniwa na vitabu vya dini lakini mpo mnaoviendekeza??


Hivi ukienda hospitali utskuta wagonjwa wa kansa za mapafu ni wavuta sigara??..


Hafu humu wameitwa wavuta sigara,nyinyi mmefuata nini humu??


Wacha nikawashe kwanza huu upuuzi ndio sipendagi kuusikia.

Aseee nina miaka mingi navuta sigara,

Nilisitisha kipindi ninepata massaibu huko jera

Siku natoka tuu kitu cha kwanza niliagiza sportsman lakini bahati mbaya nikaambiwa siku hizi ni portsman. Nikasema isiwe taaaaabu nipeni ubarozi



Nyinyi embu acheni utani na sigara


Mpaka kiwanda chake kuzinduliwa na raia namba moja tz sio mchazo


Ukute mvuta sigara ana shule kichwani na hana njaa mfukoni, khaaaaaa!!
 
Ujinga wa fegi:
1)Ukipata wazo au Habari flani nzuri ujue hapo lazima utaiwasha
2) Ukiwa Na msongo wa mawazo hapo zitawashwa bandika bandua
3) Fegi zinapenda sana maeneo ya upweke upweke hv,maeneo yasio Na movement ya watu.....lazima uwashe
4)Ukimaliza kula tu lazima uitafute ilipo
5) Zinakutengenezea umaarufu sana kwa akina mango
6)Upo ladhi kutembea km 5 kwa miguu kufata sigara
7) Sigara ukivuta Huku ukiwa Na msichana itakuwa tamu ajabu..yan ushetani mtupu
8)Upo tayari kuchenji elf kumi kwa ajili ya sigara moja
9) Sigara ya kwanza ya asubuhi ni tamu kuliko zinazofuata siku hiyo
10)Ukionekana unavuta Sigara hadharani jamii inakutoa akili
11) Ukivuta idadi kubwa ambayo siyo kawaida yako jipange kupokea mapigo ya moyo yasiyoeleweka wakati wa kulala
12) Ukiwasha Sigara mpya then ukavuta nusu kisha ukaizima/ukaipiga nyundo....kesho yake ukikirudia kile kipisi ukichokizima kinakuwa kikali Mara mbili kuliko kawaida
13) Ukikaa kutwa mzima usivute then ukaja kuvuta jioni Huku umesimama wima huenda ukadondoka chini kwa maluwe luwe utakayoyaona
Ni mengi sana Ila Sigara kiujumla ni mbaya hata muipambe vipi.
Futa hii komenti mkuu

Najisikia tu kukwambia hivi

Umesahai
Ukivutia nje ukiingia ndani moshi ni mkali utadhani ulikuwa unatumia bomba kuupeleka chumbani


Moshi unaoingia una rangi yake na unaotoka unakuwa na rangi yake


Raha ya fegi ichome kwenye kishungi kidooogo.
 
We unaambiwa kitu fulani sumu bado unatumia ile haina sijui utumie Kidogo kama bia Wanakwambiaje'ONYO UVUTAJI WA SIGARA NI HATARI KWA AFYA YAKO'mtu ambaye haelewi tunamfananisha na taahira nimetumia neno hili kumaanisha mtu asiyeelewa
we ulishatumia ukayaona hayo madhara
 
Yaaaan hii kitu kila nikiwaza kuiacha najikuta nawaza nikanunue nyingine niwashe ili niwaze vizuri kuacha
 
Ni sigara ipi ina nicotine kidogo na mpango wa kuacha la nimeshinshwa
 
Back
Top Bottom