Wale wanakutumia message, Hi I'm Ibra nimepewa namba yako na mtu nilikuona nikamuuliza akaniambia anakujua akanipa namba. Namuuliza enhee kwahiyo nikusaidie nini na ni nani aliekupa namba yangu. Anaanza ooh tuonane utajua yote hayo. Sheeenzi unakula block moja takatifu.
Au mtu anapiga simu eti mi bf wako au namba yangu umefuta? Jibu huwa nina mabf wengi embu nikimbushe we ni yupi kati yao. Ukijizungusha nakata simu ukipiga sipokei na usipojitambulisha ndo inakua milele amina
Iyo block takatifu ikoje? sasa asiseme ukweli no nani kampa au
sasa no kapewa na masela sasa unataka akwambiaje kwamba we ndo ulimpa au? Na ofkoz atachohitaji awali hapo ni kutaka ukaribu kwanza sa hapo ndo kila mtu na approach yakeAwe mkweli. Akianza kujizungusha namuona kama boya hajiamini. Block list yangu inakaribia watu 100 sasa hivi.
sasa no kapewa na masela sasa unataka akwambiaje kwamba we ndo ulimpa au?
halafu yafaa nini kuaka kumjua aliye mpa no , badala ya kujua anashida gani kusumbukia no?Msela hana jina? Halafu mimi nikimpa mtu namba yangu sisahau.
halafu yafaa nini kuaka kumjua aliye mpa no , badala ya kujua anashida gani kusumbukia no?
kwaiyo ukiwasiliana nae ndo anaondoka na hiyo ngoziNijue wengine wachuna ngozi etii
kwaiyo ukiwasiliana nae ndo anaondoka na hiyo ngozi
sasa kutojuana sindo mwanzo wakujuana, we sema kuna stlye za watu wanavyokuja ndo so mikato yakoKwanini anijazie simu wakati simjui? buroku tuu
Mikato yangu naijuaje kupitia sauti au chat mkuu?? sipendi tu yani kusumbuana. Mwanaume anatakiwa asiwe na kona konasasa kutojuana sindo mwanzo wakujuana, we sema kuna stlye za watu wanavyokuja ndo so mikato yako
Mikato yangu naijuaje kupitia sauti au chat mkuu?? sipendi tu yani kusumbuana. Mwanaume anatakiwa asiwe na kona kona
Mi nasema yani approach anazokuja nazo labda ziko outdated ndo maana utaona kero, na akiwa direct mtasema unanionaje mimi au unahisi ushaniona ambiance eeh, you never know with womanππ
swala lilikua ni no lakini.. na kujitmbulisha ni yeye sasa na uzembe wake mpaka block imfate, poa lakin tubwageKujitambulishana is one thing na kuongea menginw ni jambo lingine..
Hiyo ni sawa nazungumzia ile mtu kila ukimpigia simu yeye anaitikia haloo utadhani hamjui nayepigaIla hiyo ya Haloo sidhani kama ni Kero, ni mapokeo tu ya introduction ya mazungumzo ya simu. Na wakati mwingine mnaweza kuwa hamsikilizani then unaita haloo ili kupata uhakika kama jamaa yupo on air .
Hii nayo sijui n nn aisee..inaudhikuna mtu anapiga ukipokea unasikia jamaa anaongea na watu wengine huko mpaka uanze kuita haloo haloo haloo.