Sasa utafanya ndio ameshakata na simu ulipiga weweYani hapo uliponimention umepatia haswa. Yani unaishia kujiuliza huyu alikuwa na intention gani, maana haeleweki. Mwingine after series ya salamu kama tupo RTD anakwambia "nambie", sijui nimwambie nini.
Ole wako unikatie simu wakati sijaaga na mimi ndo nimekupigia, labda uwe mtu baki.
Hahaha sasa mwingine anatumia herufi kubwa bado uandishi kama yupo sekondari,HAHA BOSS SASA UNAKEREKA NINI MAANDISHI SI MAANDISHI TU
Huwa napiga tena, wish wangekusimulia.....Sasa utafanya ndio ameshakata na simu ulipiga wewe
Ukiona mtu anakwambia niambie ujue huna story ama u suck katika maongezi unakaza sana hisia!Yani hapo uliponimention umepatia haswa. Yani unaishia kujiuliza huyu alikuwa na intention gani, maana haeleweki. Mwingine after series ya salamu kama tupo RTD anakwambia "nambie", sijui nimwambie nini.
Ole wako unikatie simu wakati sijaaga na mimi ndo nimekupigia, labda uwe mtu baki.
Haha sasa si umuambie ulilonalo unashindwa kusema naomba hela?
Jamani me mbona bonge la mshkaji, sikazagi unless kuna issue ya kukaza. Nafikiri kuna watu sijui tu ndo kutokujua kucommunicate..... salamu nyingi afu anachomeka "nambie"Ukiona mtu anakwambia niambie ujue huna story ama u suck katika maongezi unakaza sana hisia!
Sio mchezo, nisumulie mwenyewe jinsi unavyowanyooshaHuwa napiga tena, wish wangekusimulia.....
Hahaha hio nambie inakujaga kama pre-set tu, hata mie inantokaga sema nikiongea na mtu ambae anansikilizia mimi tu, how comes mtoto wa kike ukose story while 50% ya mafaili kichwani yametawalwa na umbea tu ha ha ha! Huwa kuna GF wangu flani yeye hanaga story yani anaboaje, mkishasalimiana hana jipya yani huwa simpigiagi anabaki ananimaindi tu ila kuna siku nilimchana unaboa aisee yani aheri kuchat tu, yani unakosaje story nsimulie hata za enzi za utotoni kwako yani!Jamani me mbona bonge la mshkaji, sikazagi unless kuna issue ya kukaza. Nafikiri kuna watu sijui tu ndo kutokujua kucommunicate..... salamu nyingi afu anachomeka "nambie"
Hahahah usimaindi sasa, kwangu mimi naaga tu mapema ila sasa unakuta boya anang'ang'ania kwahio hutaki kuongea na mimi au! Unabaki okay nambie,,,,Kama sina stori si akate simu eboo
Hahaha hio nambie inakujaga kama pre-set tu, hata mie inantokaga sema nikiongea na mtu ambae anansikilizia mimi tu, how comes mtoto wa kike ukose story while 50% ya mafaili kichwani yametawalwa na umbea tu ha ha ha! Huwa kuna GF wangu flani yeye hanaga story yani anaboaje, mkishasalimiana hana jipya yani huwa simpigiagi anabaki ananimaindi tu ila kuna siku nilimchana unaboa aisee yani aheri kuchat tu, yani unakosaje story nsimulie hata za enzi za utotoni kwako yani!
Haha boss unashindwa kumtumia hata zile za 'baby umekula' au 'karibu tule' huu ni utoto mwingine huwa siufagilii hataHahaha hio nambie inakujaga kama pre-set tu, hata mie inantokaga sema nikiongea na mtu ambae anansikilizia mimi tu, how comes mtoto wa kike ukose story while 50% ya mafaili kichwani yametawalwa na umbea tu ha ha ha! Huwa kuna GF wangu flani yeye hanaga story yani anaboaje, mkishasalimiana hana jipya yani huwa simpigiagi anabaki ananimaindi tu ila kuna siku nilimchana unaboa aisee yani aheri kuchat tu, yani unakosaje story nsimulie hata za enzi za utotoni kwako yani!
Sio mchezo, nisumulie mwenyewe jinsi unavyowanyoosha
Hahaha new couple jfYou are my everything, sleep well
Si unajua kuna madhara ukicheza dana dana na bomu la mkononi! Huko kuuliza umekula hahah labda kuwe na mpango wa kutuma pesa! Maana wachumba wa Dar hawana dogo yaniHaha boss unashindwa kumtumia hata zile za 'baby umekula' au 'karibu tule' huu ni utoto mwingine huwa siufagilii hata
Mnakataaga wachumba hivi×2 then baadae mnakuja kulalamika hukuWale wanakutumia message, Hi I'm Ibra nimepewa namba yako na mtu nilikuona nikamuuliza akaniambia anakujua akanipa namba. Namuuliza enhee kwahiyo nikusaidie nini na ni nani aliekupa namba yangu. Anaanza ooh tuonane utajua yote hayo. Sheeenzi unakula block moja takatifu.
Au mtu anapiga simu eti mi bf wako au namba yangu umefuta? Jibu huwa nina mabf wengi embu nikimbushe we ni yupi kati yao. Ukijizungusha nakata simu ukipiga sipokei na usipojitambulisha ndo inakua milele amina
Hahahah usimaindi sasa, kwangu mimi naaga tu mapema ila sasa unakuta boya anang'ang'ania kwahio hutaki kuongea na mimi au! Unabaki okay nambie,,,,
Mnakataaga wachumba hivi×2 then baadae mnakuja kulalamika huku