Kumbe ndio inavyokua🥃 simu ya tecno, inaweza kujituma meseji kwa wake zako imejiandika nyie mafala tu
😁😁😁🥃 simu ya tecno, inaweza kujituma meseji kwa wake zako imejiandika nyie mafala tu
Aiseetecno tunanunua kwa umasikini, vinginevyo ni takataka!
ninayo tecno, lkn siipendi!Aisee
Waje hapa wanijibu
Tatizo matoleo yao yanatofautiana kwenye camera na uwezo wa kukaa na chargeHatupendi kukaa na simu moja kwa zaidi ya mwaka mmoja. Kampuni yenyewe wanatujua watumiaji wao
Hahaha,mkuu jitahidi ubadilishe basininayo tecno, lkn siipendi!
Unachagua kulingana na pesa yako. Njoo nikuuzie sparck 4 mkuuTatizo matoleo yao yanatofautiana kwenye camera na uwezo wa kukaa na charge
Weka specification zake na bei ,unaweza kupata mteja hapaUnachagua kulingana na pesa yako. Njoo nikuuzie sparck 4 mkuu
Siku moja simu iko mfukoni ikajimute. Kila aliyepiga ilikuwa inamtumia ujumbe, nimebanana kwasasa tuma ujumbe, kuna kazi naifanya (hii ni moja ya meseji nilizosave kama quick response). Nilikuwa safarini siku hiyo. Nilikuta calls zaidi ya 30 zikionesha zimekuwa received na meseji kibao. Nilichoka baada ya kufungua meseji, mama anauliza kazi gani inayofanyikia kwenye basi ilhali sina kifaa tofauti na simu. Wife nay kivyake, pata picha jinsi gani nateseka na tekino wereva.🥃 simu ya tecno, inaweza kujituma meseji kwa wake zako imejiandika "nyie mafala tu"