Hivi ni kwa nini watumiaji wa tecno simu zenu huwa hazina update ya android version?
Yaani kama ulinunua simu labda ina android 7, ili upate android 8, itakulazimu wewe kununua toleo jingine la simu yao yenye hiyo android 8.
Wakati wenzenu wa Samsung wao wanafanya ku-update tu na kupata version mpya
Hivi mshawahi kuuliza hata uongozi wa kampuni yao labda kuboresha matoleo yao ili kwenda na kasi ya teknolojia?
Yaani kama ulinunua simu labda ina android 7, ili upate android 8, itakulazimu wewe kununua toleo jingine la simu yao yenye hiyo android 8.
Wakati wenzenu wa Samsung wao wanafanya ku-update tu na kupata version mpya
Hivi mshawahi kuuliza hata uongozi wa kampuni yao labda kuboresha matoleo yao ili kwenda na kasi ya teknolojia?