Mr Why
JF-Expert Member
- Nov 27, 2019
- 2,235
- 4,252
Idadi kubwa ya watumiaji wa TikTok Marekani wamemtusi Mark Zuckerberg kwa kumuita mjusi wakidai yeye ndiye mfitini mkubwa wa TikTok kufungiwa ili kampuni yake ya META iongeze watumiaji
Watumiaji hao wamedai hawako tayari kutumia bidhaa za META na wengi wamefuta Application zake katika simu zao wakidai ni fedhuli mkubwa na vilevile products zake zimepitwa na wakati hasa Facebook wanayoishutumu kama mtandao wa kizee usiofaa kutumiwa na vijana wa kisasa
Wameenda mbali na kudai watatumia mitandao mingine kama Rednote, Telegram na Signal mbadala wa mitandao yake
Watumiaji hao wamedai hawako tayari kutumia bidhaa za META na wengi wamefuta Application zake katika simu zao wakidai ni fedhuli mkubwa na vilevile products zake zimepitwa na wakati hasa Facebook wanayoishutumu kama mtandao wa kizee usiofaa kutumiwa na vijana wa kisasa
Wameenda mbali na kudai watatumia mitandao mingine kama Rednote, Telegram na Signal mbadala wa mitandao yake