Watumiaji wenye matumizi makubwa ya Internet nawaomba kidogo/Heavy Internet users

Watumiaji wenye matumizi makubwa ya Internet nawaomba kidogo/Heavy Internet users

TTCL internet yao ya adsl imepitwa na wakati(ya kutumia simu ya mezani), wanatakiwa waanze kusambaza fiber kama wenzao, na miundombinu ipo ni uamuzi tu. kama halotel wameweza sidhani kama wao watashindwa
TTCL to inject Sh40 billion in ‘home’ internet rollout

Hii ilikuwa 2018...Na ile project ya Mawazili ni FIBER ni zao lake.

Dar es Salaam. TTCL Corporation plans to invest over Sh40 billion in project to rollout its internet service across all major cities in the country, the company has said.

The corporation is currently rolling out its ‘Fiber Connect Bundle’ to clients’ houses in a three-month pilot project that started earlier this month (February), according to the corporation’s chief executive office.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
big-diamond,
mkuu hii fiber ni backbone na sio service za majumbani, majumbani inakuja kama Wifi na bei yake ni pasua kichwa, inaanzia laki 2 mpaka 3. niliiona hii walizindua hadi znz.

makampuni yote ya fiber makubwa TZ kama zuku, raha, home faiba etc wana vifurushi mpaka chini ya 70,000 kwa 10mbps ambayo kama hustream 4k inafanya mambo almost yote.

mambo ya wifi wangeyapeleka uswahilini ambako hakuna ramani, sehemu nyumba ambazo zipo vizuri kwa mpangilio wangeeka fiber kama wenzao.
 
Ni katika kuelimishana tu na kushtuana kama ilivyokua kipindi kile wakati nikijiona mjanja kulipia DSTV package na kupata vitu vizuri kumbe kuna wajanja wanakula channel zangu za DSTV kwa kutumia huduma za cable, FTA DISH, nk nk. Baada ya kusanuka nikaingia ulimwengu ule nilijishangaa sana kwa kuchelewa kujua vitu.

Sasa leo nimekuja kuulizia tena katika suala la internet. Wenzangu nyie mnatumia kampuni gani kurahisisha mambo, au mnatumia nini kupata Unlimited Data Flow yenye bei nafuu, na bado mkapata kile mlichokihitaji na huduma bora 24hrs?

Kwa upande wangu mimi nilikua mteja wa TTCL kwa muda sana ila baadaye huduma zao zikawa mbovu na takataka kabisa; nikaachana nao nikaamua kuwa mteja wa kampuni moja hivi ya Liquid Telecom ambayo nipo nayo mwaka wa pili huu; hadi hivi sasa sina tatizo nao ila tu kuna vitu nataka kufahamu zaidi kutoka kwa watumiaji wengine.

TTCL kabla sijawaacha kwenye mataa nilikua natumia kifurishi chao cha

Business Gold3Mbps126,000.00/=

Kwa hawa marafiki zangu Liquid wananipa tabasamu kila iitwapo leo, na kifurushi changu ni cha speed ile ile 3Mbps kinanitosha sana ambacho kwa hawa wao hawana 3Mbps, wao wameanzia

  • 1mbpd, Dedicated Burst up to 5Mbps @ 75 dollar (hiki ndio kifurushi changu)
Wakaenda kwa speed tofauti to 8Mbps ambayo wao wanacharge 180 dollar. Basi hawa ndio Liquid ambao kwangu mimi sioni shida kutoka kwao zaidi tu ni burudani ila sitaki kujiona nina tabasaamu kumbe kuna wenzangu mpo mmeuchuna mahali mnakula tu vitu kama ilivyokua kwenye TV.

Hapa leo nimekuja nahitaji kujua kama kuna kampuni mnayoifahamu inayoizidi Liquid na wenye bei pungufu yao au kama kuna njia nyingine naweza itumia kupata internet unlimited sio kupimiwa halafu mseme ni unlimited kama walivyo Tigo, Voda na mitandao mingine wanaojitangaza wanatoa unlimited wakati ni limited packages.

Karibuni:

Ni kwa wale Heavy Users tu wa internet jamani na walio in this game not less than 2 years. Naombeni ushauri wenu/ushuhuda na vyovyote mnavyoweza nishauri maisha yakazidi kuwa mazuri na matamu zaidi.

Nawasilisha.
Naomba kuuliza. Hiyo 180 $ ni kwa mwezi huko Liquidini ?
 
blu_shots11320.jpg
 
Mi natumia zuku mkuu, 10 mbps 69,000. Ila ipo mijini tu, na siku hizi wana offer uki renew kabla ya tarehe kuisha wana double speed inakuwa 20mbps.

Kama upo pembezoni vifurushi vya usiku ndio best bet tafuta simu nzuri yenye flagship soc hata kama ya zamani kidogo utapata speed nzuri ya 4g. Kwa halotel unaweza download hadi GB 100 kwa usiku mmoja.
sawa kabisa Zuku ndo safi shida haijasambaa sana ipo mwisho kinondoni tena haivuki kawawa road
ofisini awali walikuwa wanatumia voda nikawashauri tuunge zuku 7bu eneo iliopo ofisi zuku ipo ila hapo awali hawakujua kabisa ubora wa zuku speed nzuri gharama nafuu hvyo hata mm mchana kutwa natumia zuku sema kwa kuwa sishindi sana hapo kwa ofisi huwa nikiwa misele natumoa tigo
ila nikiwa home kwa PC natumia HALOTEL ndo mkomboz usiku
km nikiwa misele ya kawaida mitaan sina namna natumia tigo naunga elf 10 gb 6 na madakika yake mwenzi
kwa matumizi ya simu inasukuma wiki 7bu sio mpenz sana wa VIDEO STREAMING
hapo awali wkt tigo internet bei juu nilikuwa naunga elf 5 halotel g 7 wiki

hvyi ukiwa home sema ndo hvyo usiku kuanzia saa 6 mpk saa 12 tumia halotel

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. device (pc)

matumizi ni mengi ila kwa siku natumia si chini ya 50GB - 100GB ikitokea

nimefungua ofisi nusu siku,ila kwa Full Day nikicheza rough zangu

zote natumia 130gb - 150gb PER DAY.
Dah mkuu 1megabit (Mb) = 0.125 Megabyte (MB)

Hivyo vifurushi vimepimwa kwa megabits, sasa bashindwa kujua kama umechanganya mafaili au umetupikia chai maana numbers never lie.

5Mbps = 750 kilobyte kwa sekunde, hapo ukishusha mzigo ni kama mb 40 kwa dakika ambayo ni GB 2.4 kwa saa, na hata ukisema utumie internet masaa 24 basi huvuki GB 60, kwa mantiki ya kawaida pc hutumika at most masaa 12 hivyo ni kama GB 30 tu ila kuna wazee naonaga wanakesha na pc.

Twende sambamba Chief-Mkwawa . ongezea lako mkuu
 
Dah mkuu 1megabit (Mb) = 0.125 Megabyte (MB)

Hivyo vifurushi vimepimwa kwa megabits, sasa bashindwa kujua kama umechanganya mafaili au umetupikia chai maana numbers never lie.

5Mbps = 750 kilobyte kwa sekunde, hapo ukishusha mzigo ni kama mb 40 kwa dakika ambayo ni GB 2.4 kwa saa, na hata ukisema utumie internet masaa 24 basi huvuki GB 60, kwa mantiki ya kawaida pc hutumika at most masaa 12 hivyo ni kama GB 30 tu ila kuna wazee naonaga wanakesha na pc.

Twende sambamba Chief-Mkwawa . ongezea lako mkuu
Tufanye nimewapikia chai,mimi sinaga Muda kumuelekeza mtu

kitu ninachofanya maana hakiwezi kukusaidia kwa namna yeyote ile.
 
mkuu unahitaji flagship angalau kuanzia mwaka 2015 simu kama note 5 ama s6 kupanda, ikiwa s7, s8, s9, s10,s20 ni bora zaidi, na sio lazima iwe ya samsung kampuni yoyote kubwa inayotumia snapdragon soc inafaa, ikiwa oneplus, sony, lg, xiaomi etc cha muhimu iwe na snapdragon highend kama sd 820, 835, 845, 855, 865 etc. ili upate speed kubwa halotel simu yako inabidi iwe na;

1.mimo 2x2 hii ni multiple input na output, uwezo wa simu kupokea mawimbi minara miwili kwa mpigo inaongeza sana speed.
2. band 2600 ya 4g, hii inapatiakana simu chache, michina mingi hawana
3. download speed kubwa na upload kubwa, gigabit lte inapendeza zaidi, kuna simu zina lte lakini lte yake haina nguvu ni 150mbps tu.

hivyo ukikidhi vigezo vya kuwa na simu nzuri kama nilivyosema hapo juu hayo mambo matatu hatakusumbua. unaunga tu kifurushi na ku enjoy.
Hapo nimekuelewa sana chief,naomba nisaidie kunitajia simu walau 3 unazozikubali

ambazo unaamini kbsa zinaweza kunifaa,nitajie brand yyte (isiwe iphone) halafu mwisho

tumalizie kwenye hawa Halotel wenyewe,ni laini gani hiyo na ni kifurushi kipi ambacho ntajiunga

cha kuweza nipatia hizo unlimited,laini ni yeyote tu hz zinazopatkana kwa mawakala mitaani

au kuna special line ambazo zinakua na hizo ofa,na upatikanaji wake upo vipi?
 
Hao jamaa wa Liquid Telecom wana fibre optic network accross Africa nzima.....From Cape Town to Cairo. Mojawapo ya makampuni yaliyochini ya bwana Strive Masiyiwa. Hapa Bongo waliinunua kampuni ya Raha.
Hawa watu sio wa mchezo mchezo,wanajua nini wanafanya ktk hii kazi yao.
 
sawa kabisa Zuku ndo safi shida haijasambaa sana ipo mwisho kinondoni tena haivuki kawawa road
ofisini awali walikuwa wanatumia voda nikawashauri tuunge zuku 7bu eneo iliopo ofisi zuku ipo ila hapo awali hawakujua kabisa ubora wa zuku speed nzuri gharama nafuu hvyo hata mm mchana kutwa natumia zuku sema kwa kuwa sishindi sana hapo kwa ofisi huwa nikiwa misele natumoa tigo
ila nikiwa home kwa PC natumia HALOTEL ndo mkomboz usiku
km nikiwa misele ya kawaida mitaan sina namna natumia tigo naunga elf 10 gb 6 na madakika yake mwenzi
kwa matumizi ya simu inasukuma wiki 7bu sio mpenz sana wa VIDEO STREAMING
hapo awali wkt tigo internet bei juu nilikuwa naunga elf 5 halotel g 7 wiki

hvyi ukiwa home sema ndo hvyo usiku kuanzia saa 6 mpk saa 12 tumia halotel

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii Halotel ni kwa line zote au ni zile za chuo tu na baadhi baadhi?
 
Lakini pia napenda kushare nanyi hili wazo, Hivi mnajua hawa TTCL wana internet kwenye zilw nyumba za mawaziri?

Pia gharama wanayotoza huko ni FREE installation na monthly fee yao ni CHEAP.

Niliwahi kwenda pale Makao Makuu pale wakasema ule mradi ni wa kule tu, labda kama hapo baadae uka expand...

Huu mimi ninaona ni upuuzi wa hali ya juu..TTCL wanatakiwa kuwafikia waTanzania wote kwa usawa

Sent using Jamii Forums mobile app
Uwezo wanao sana ila ni uzembe na kukosekana mtu wa kuwapeleka kama Punda

Bila kupigiwa kelele haya makampuni ya serikali,utendaji wao ni ZERO wanafanya kazi

Pale tu watakapohisi mwezi ujao kuna tamasha/ukaguzi/uzinduzi,nk nk ila after hapo wanalala.
 
Back
Top Bottom