Watumiaji wenye matumizi makubwa ya Internet nawaomba kidogo/Heavy Internet users

Watumiaji wenye matumizi makubwa ya Internet nawaomba kidogo/Heavy Internet users

Halotel Router zao wanaziuzaje kwani na zinapatikana kwa sasa?

kununua router za kampuni sio ndio kufunga NDOA ya mkeka bila shehe hii?

ukitoa router za halotel hamna mahali zinapatikana router zenye simcard slot

ambazo unaipachika line yenye MB unaendelea kuserereka tu? au ni lazima

ukinunua hizi router nilizotaja n lazima niwe na Moderm pia kama source ya net?
Sio lazima utumie router ya Halotel na pia sikushauri kujifungia mtandao mmoja, mitandao yetu hii haitabiriki, na kila mara vifurushi vinabadilika.

Na router hizi za mitandao hutumii modem zinakuwa na sehemu ya kuweka line. Unaweka line tu na kutumia.

Na router zinazotumia line za mitandao yote zipo nyingi sana sema tu hakikisha ina band 2600 ya Halotel na ina lte advance. Band 800 na 1800 mara nyingi ni yeboyebo zinapatikana karibia router zote.

Ukifika dukani ama kwa muuzaji just google model ya hio router utaona details zote.
 
Sio lazima utumie router ya Halotel na pia sikushauri kujifungia mtandao mmoja, mitandao yetu hii haitabiriki, na kila mara vifurushi vinabadilika.

Na router hizi za mitandao hutumii modem zinakuwa na sehemu ya kuweka line. Unaweka line tu na kutumia.

Na router zinazotumia line za mitandao yote zipo nyingi sana sema tu hakikisha ina band 2600 ya Halotel na ina lte advance. Band 800 na 1800 mara nyingi ni yeboyebo zinapatikana karibia router zote.

Ukifika dukani ama kwa muuzaji just google model ya hio router utaona details zote.
🙏
 
Sio lazima utumie router ya Halotel na pia sikushauri kujifungia mtandao mmoja, mitandao yetu hii haitabiriki, na kila mara vifurushi vinabadilika.

Na router hizi za mitandao hutumii modem zinakuwa na sehemu ya kuweka line. Unaweka line tu na kutumia.

Na router zinazotumia line za mitandao yote zipo nyingi sana sema tu hakikisha ina band 2600 ya Halotel na ina lte advance. Band 800 na 1800 mara nyingi ni yeboyebo zinapatikana karibia router zote.

Ukifika dukani ama kwa muuzaji just google model ya hio router utaona details zote.
Chief msaaada wa haraka kidogo nipo dukani hapa

mbele yangu kuna router mbili sielewi ipi itanifaa

kuna D LINK model DWR-M921

kuna TP LINK model TL-MR3420

Naomba msaada wako wa haraka kati ya hawa viumbe wawili nimchukue yupi?

Chief-Mkwawa
 
Chief msaaada wa haraka kidogo nipo dukani hapa

mbele yangu kuna router mbili sielewi ipi itanifaa

kuna D LINK model DWR-M921

kuna TP LINK model TL-MR3420

Naomba msaada wako wa haraka kati ya hawa viumbe wawili nimchukue yupi?

Chief-Mkwawa
Nimeangalia hio tp link inataka modem ya nje, hivyo ukinunua utabidi ukatafute modem
20150206014456.png


Hio D link ina 4g yake ila ni 150mbps tu na Wifi yake sio inayoishiwa na Ac.

Kwa muono wangu mkuu zote hazifai kwa matumizi yako.
 
Hii inatumia na ina band zote za Tz, sema nayo haina Ac wifi, na haina Lte Advance. Unless unaipata bei rahisi sana sikushauri kununua.
Wanauza 200k ila acha niendelee kuzunguka Nitarudi tena hapa muda si mrefu
 
Tufanye nimewapikia chai,mimi sinaga Muda kumuelekeza mtu

kitu ninachofanya maana hakiwezi kukusaidia kwa namna yeyote ile.
mkuu hata mimi nahitaji maelezo... Hizo ni Mbps au MBps?

Sema jamaa ameshindwa kuwa muungwana kwenye kuuliza swali.
 
Back
Top Bottom