Watumiaji wenye matumizi makubwa ya Internet nawaomba kidogo/Heavy Internet users

Watumiaji wenye matumizi makubwa ya Internet nawaomba kidogo/Heavy Internet users

Itafaa mkuu, sema kuna mitandao hutapata top speed. Na router kama hio si kwa ajili ya 4g tu ina matumizi mengi sana ikiwemo kuunganisha vifaaa vyote nyumbani.
Nilichoka kuzunguka mkuu,na katika zunguka yangu yote maduka yote nakutana

na router ambazo niliweza zitambua hazina uwezo bila hata kukuuliza,hizo ambazo

nimekuuliza ndio zilikua zinanichanganya na jinsi bei zake zinavyotofautiana kukawa

kunanipa wasi wasi,nikawa nakuuliza ila mwisho wa siku nimechukua hii DWR M960

nimekuja ijaribu kazini nione,kwakweli Haijaniangusha "sijutiii pesa niliyotoa" napata nilicho hitaji

nimedumbukiza line ya halotel,nataka nione usiku huko nyumbani maana hii ni ya HOME

nione hali itavyokua,ila mpk sasa speed yake si ya kawaida,niki connect WIFI ne simu

hamna page inayo load yani ni Tip Tap.Asante sana sana sana Chief-Mkwawa you deserve being

Platinum Member asante tena na tena kwani kama si wewe leo ningeondoka na router zile

za mwanzo nilizokuuliza maana ndio zimejaa kila duka nililokua naingia nlikutana na zile

baada ya kuniambia SIO ndio nikapata nguvu ya kutafuta na hatimae nikakutana na kaduka kamoja

kana hyo M960 uliponiambia Hii ipo sawa kasoro haina Advance LTE nikasema naibeba hvyo hvyo.

nisipokushukuru nitakua mchoyo wa fadhila,Asante chief na Mungu akubariki.
 
Big up Chief-Mkwawa. You're very helpful. Utafanikiwa kwenye biashara zako. Hivi ndivyo mteja anatakiwa kuwa handled.
sana sana sana Nilikua nimuweke u Platinum Member leo ila

kuangalia akaunti yake nikakuta Max na team yake walishampa

muda sana,sikuwahi angalia hilo kbsa,ni leo nimeangalia baada

ya kujiuliza nimpe zawadi gani huyu mtu ila bahati nzuri JamiiForums

ilitambua umuhimu wake na kumpa,nimeishia kumshukuru tu kwani

sina namna nyingine tena ya kuweza mshukuru mtu wa namna hii,He is the Best.

Leo nikiwa town nilimkumbuka sana nikawa natamani ningekua na namba yake

ila baadae nikapata wazo la kuja JF na huwezi amini sikutegemea kama angejibu

muda ule ule niliokua nataka,nilikua naandka comment huku naomba kimoyo moyo

Chief-Mkwawa popote alipo aingie JF aione,na kweli aliingia na leo kupitia

mawazo yake nimepata kile nilichokihitaji,Asante sana chief Ubarikiwe uingiapo na Utokapo.
 
sana sana sana Nilikua nimuweke u Platinum Member leo ila

kuangalia akaunti yake nikakuta Max na team yake walishampa

muda sana,sikuwahi angalia hilo kbsa,ni leo nimeangalia baada

ya kujiuliza nimpe zawadi gani huyu mtu ila bahati nzuri JamiiForums

ilitambua umuhimu wake na kumpa,nimeishia kumshukuru tu kwani

sina namna nyingine tena ya kuweza mshukuru mtu wa namna hii,He is the Best.

Leo nikiwa town nilimkumbuka sana nikawa natamani ningekua na namba yake

ila baadae nikapata wazo la kuja JF na huwezi amini sikutegemea kama angejibu

muda ule ule niliokua nataka,nilikua naandka comment huku naomba kimoyo moyo

Chief-Mkwawa popote alipo aingie JF aione,na kweli aliingia na leo kupitia

mawazo yake nimepata kile nilichokihitaji,Asante sana chief Ubarikiwe uingiapo na Utokapo.
Mkuu hakika umeshukuru kutoka moyoni.
Watu wazuri bado wapo duniani mzee,
Mimi pia nimshukuru chief kupitia nyuzi na comments zake najifunza vitu vingi nisiwe mwongo.Hii ni elimu na anaitoa bure bila kujali hasara ya mda wake kupotea.

Big up Chief mkwawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hakika umeshukuru kutoka moyoni.
Watu wazuri bado wapo duniani mzee,
Mimi pia nimshukuru chief kupitia nyuzi na comments zake najifunza vitu vingi nisiwe mwongo.Hii ni elimu na anaitoa bure bila kujali hasara ya mda wake kupotea.

Big up Chief mkwawa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Chief Mkwawa abarikiwe popote pale alipo.
 
Mi natumia zuku mkuu, 10 mbps 69,000. Ila ipo mijini tu, na siku hizi wana offer uki renew kabla ya tarehe kuisha wana double speed inakuwa 20mbps.

Kama upo pembezoni vifurushi vya usiku ndio best bet tafuta simu nzuri yenye flagship soc hata kama ya zamani kidogo utapata speed nzuri ya 4g. Kwa halotel unaweza download hadi GB 100 kwa usiku mmoja.
Hows 10 mbps? Ni sawa na speed ya Smile? Wao wananipa 27 mbps.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hows 10 mbps? Ni sawa na speed ya Smile? Wao wananipa 27 mbps.

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu hii ni true unlimited hata udownload terabyte hawapunguzi speed. smile ukitumia gb kadhaa wanashusha speed. hivyo mwanzoni smile itaonekana ina speed ila matumizi yakizidi zuku ni nzuri.

pia advantage nyengine ya fiber ni ping, zuku local ping ni 1ms tu,
speedtest.PNG

na inaweza kuping usa (netflix) chini ya 80ms
fast.PNG

hivyo unapofanya vitu vinavyotegemea ping kama kucheza games online ama kuangalia live events kama mpira fiber zinakuwa vizuri. japo sometime zinakuwa sio reliable hasa siku za jumapili zikizidiwa load.
 
Ni katika kuelimishana tu na kushtuana kama ilivyokua kipindi kile wakati nikijiona mjanja kulipia DSTV package na kupata vitu vizuri kumbe kuna wajanja wanakula channel zangu za DSTV kwa kutumia huduma za cable, FTA DISH, nk nk. Baada ya kusanuka nikaingia ulimwengu ule nilijishangaa sana kwa kuchelewa kujua vitu.

Sasa leo nimekuja kuulizia tena katika suala la internet. Wenzangu nyie mnatumia kampuni gani kurahisisha mambo, au mnatumia nini kupata Unlimited Data Flow yenye bei nafuu, na bado mkapata kile mlichokihitaji na huduma bora 24hrs?

Kwa upande wangu mimi nilikua mteja wa TTCL kwa muda sana ila baadaye huduma zao zikawa mbovu na takataka kabisa; nikaachana nao nikaamua kuwa mteja wa kampuni moja hivi ya Liquid Telecom ambayo nipo nayo mwaka wa pili huu; hadi hivi sasa sina tatizo nao ila tu kuna vitu nataka kufahamu zaidi kutoka kwa watumiaji wengine.

TTCL kabla sijawaacha kwenye mataa nilikua natumia kifurishi chao cha

Business Gold 3Mbps126,000.00/=

Kwa hawa marafiki zangu Liquid wananipa tabasamu kila iitwapo leo, na kifurushi changu ni cha speed ile ile 3Mbps kinanitosha sana ambacho kwa hawa wao hawana 3Mbps, wao wameanzia

  • 1mbpd, Dedicated Burst up to 5Mbps @ 75 dollar (hiki ndio kifurushi changu)
Wakaenda kwa speed tofauti to 8Mbps ambayo wao wanacharge 180 dollar. Basi hawa ndio Liquid ambao kwangu mimi sioni shida kutoka kwao zaidi tu ni burudani ila sitaki kujiona nina tabasaamu kumbe kuna wenzangu mpo mmeuchuna mahali mnakula tu vitu kama ilivyokua kwenye TV.

Hapa leo nimekuja nahitaji kujua kama kuna kampuni mnayoifahamu inayoizidi Liquid na wenye bei pungufu yao au kama kuna njia nyingine naweza itumia kupata internet unlimited sio kupimiwa halafu mseme ni unlimited kama walivyo Tigo, Voda na mitandao mingine wanaojitangaza wanatoa unlimited wakati ni limited packages.

Karibuni:

Ni kwa wale Heavy Users tu wa internet jamani na walio in this game not less than 2 years. Naombeni ushauri wenu/ushuhuda na vyovyote mnavyoweza nishauri maisha yakazidi kuwa mazuri na matamu zaidi.

Nawasilisha.
Wajaribu zuku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu uko deep sana ktk haya mambo ya simu
Mi natumia zuku mkuu, 10 mbps 69,000. Ila ipo mijini tu, na siku hizi wana offer uki renew kabla ya tarehe kuisha wana double speed inakuwa 20mbps.

Kama upo pembezoni vifurushi vya usiku ndio best bet tafuta simu nzuri yenye flagship soc hata kama ya zamani kidogo utapata speed nzuri ya 4g. Kwa halotel unaweza download hadi GB 100 kwa usiku mmoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hebu tuwekee kapicha au tufafanulie na sisi tukatafute hizo router ambazo unaweza weka line yoyote ya simu. Mi natafuta kwa ajili ya home tu na matumizi yangu ni madogo. Nastream video mara chache sana. Matumizi makubwa ni kusurf, emails, MS offficr documents na hizi online platforms za shule na zoom conferences. Netflix na videl streaming mara chache. Natanguliza shukrani
Nilichoka kuzunguka mkuu,na katika zunguka yangu yote maduka yote nakutana

na router ambazo niliweza zitambua hazina uwezo bila hata kukuuliza,hizo ambazo

nimekuuliza ndio zilikua zinanichanganya na jinsi bei zake zinavyotofautiana kukawa

kunanipa wasi wasi,nikawa nakuuliza ila mwisho wa siku nimechukua hii DWR M960

nimekuja ijaribu kazini nione,kwakweli Haijaniangusha "sijutiii pesa niliyotoa" napata nilicho hitaji

nimedumbukiza line ya halotel,nataka nione usiku huko nyumbani maana hii ni ya HOME

nione hali itavyokua,ila mpk sasa speed yake si ya kawaida,niki connect WIFI ne simu

hamna page inayo load yani ni Tip Tap.Asante sana sana sana Chief-Mkwawa you deserve being

Platinum Member asante tena na tena kwani kama si wewe leo ningeondoka na router zile

za mwanzo nilizokuuliza maana ndio zimejaa kila duka nililokua naingia nlikutana na zile

baada ya kuniambia SIO ndio nikapata nguvu ya kutafuta na hatimae nikakutana na kaduka kamoja

kana hyo M960 uliponiambia Hii ipo sawa kasoro haina Advance LTE nikasema naibeba hvyo hvyo.

nisipokushukuru nitakua mchoyo wa fadhila,Asante chief na Mungu akubariki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hebu tuwekee kapicha au tufafanulie na sisi tukatafute hizo router ambazo unaweza weka line yoyote ya simu. Mi natafuta kwa ajili ya home tu na matumizi yangu ni madogo. Nastream video mara chache sana. Matumizi makubwa ni kusurf, emails, MS offficr documents na hizi online platforms za shule na zoom conferences. Netflix na videl streaming mara chache. Natanguliza shukrani

Sent using Jamii Forums mobile app
Ingia Google mkuu andika model hizo hapo juu then search picha zitakuja utaziona.

mimi nipo kazini kwa sasa router ipo nyumbani sipo nayo hapa.
 
Back
Top Bottom