Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
TTCL to inject Sh40 billion in ‘home’ internet rolloutTTCL internet yao ya adsl imepitwa na wakati(ya kutumia simu ya mezani), wanatakiwa waanze kusambaza fiber kama wenzao, na miundombinu ipo ni uamuzi tu. kama halotel wameweza sidhani kama wao watashindwa
Si ungetutafsiria kwa kiswahili tujue ulicho andika mkuuHubuzi mzuri lkn nimeishia kasoma tubna kushangaa Matumizi ya 130gb kwa siku. Mimi 2gb haziishi nimehundua nituliebtu. Helongereni wakubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kuuliza. Hiyo 180 $ ni kwa mwezi huko Liquidini ?Ni katika kuelimishana tu na kushtuana kama ilivyokua kipindi kile wakati nikijiona mjanja kulipia DSTV package na kupata vitu vizuri kumbe kuna wajanja wanakula channel zangu za DSTV kwa kutumia huduma za cable, FTA DISH, nk nk. Baada ya kusanuka nikaingia ulimwengu ule nilijishangaa sana kwa kuchelewa kujua vitu.
Sasa leo nimekuja kuulizia tena katika suala la internet. Wenzangu nyie mnatumia kampuni gani kurahisisha mambo, au mnatumia nini kupata Unlimited Data Flow yenye bei nafuu, na bado mkapata kile mlichokihitaji na huduma bora 24hrs?
Kwa upande wangu mimi nilikua mteja wa TTCL kwa muda sana ila baadaye huduma zao zikawa mbovu na takataka kabisa; nikaachana nao nikaamua kuwa mteja wa kampuni moja hivi ya Liquid Telecom ambayo nipo nayo mwaka wa pili huu; hadi hivi sasa sina tatizo nao ila tu kuna vitu nataka kufahamu zaidi kutoka kwa watumiaji wengine.
TTCL kabla sijawaacha kwenye mataa nilikua natumia kifurishi chao cha
Business Gold 3Mbps 126,000.00/=
Kwa hawa marafiki zangu Liquid wananipa tabasamu kila iitwapo leo, na kifurushi changu ni cha speed ile ile 3Mbps kinanitosha sana ambacho kwa hawa wao hawana 3Mbps, wao wameanzia
Wakaenda kwa speed tofauti to 8Mbps ambayo wao wanacharge 180 dollar. Basi hawa ndio Liquid ambao kwangu mimi sioni shida kutoka kwao zaidi tu ni burudani ila sitaki kujiona nina tabasaamu kumbe kuna wenzangu mpo mmeuchuna mahali mnakula tu vitu kama ilivyokua kwenye TV.
- 1mbpd, Dedicated Burst up to 5Mbps @ 75 dollar (hiki ndio kifurushi changu)
Hapa leo nimekuja nahitaji kujua kama kuna kampuni mnayoifahamu inayoizidi Liquid na wenye bei pungufu yao au kama kuna njia nyingine naweza itumia kupata internet unlimited sio kupimiwa halafu mseme ni unlimited kama walivyo Tigo, Voda na mitandao mingine wanaojitangaza wanatoa unlimited wakati ni limited packages.
Karibuni:
Ni kwa wale Heavy Users tu wa internet jamani na walio in this game not less than 2 years. Naombeni ushauri wenu/ushuhuda na vyovyote mnavyoweza nishauri maisha yakazidi kuwa mazuri na matamu zaidi.
Nawasilisha.
sawa kabisa Zuku ndo safi shida haijasambaa sana ipo mwisho kinondoni tena haivuki kawawa roadMi natumia zuku mkuu, 10 mbps 69,000. Ila ipo mijini tu, na siku hizi wana offer uki renew kabla ya tarehe kuisha wana double speed inakuwa 20mbps.
Kama upo pembezoni vifurushi vya usiku ndio best bet tafuta simu nzuri yenye flagship soc hata kama ya zamani kidogo utapata speed nzuri ya 4g. Kwa halotel unaweza download hadi GB 100 kwa usiku mmoja.
Dah mkuu 1megabit (Mb) = 0.125 Megabyte (MB)1. device (pc)
matumizi ni mengi ila kwa siku natumia si chini ya 50GB - 100GB ikitokea
nimefungua ofisi nusu siku,ila kwa Full Day nikicheza rough zangu
zote natumia 130gb - 150gb PER DAY.
Tufanye nimewapikia chai,mimi sinaga Muda kumuelekeza mtuDah mkuu 1megabit (Mb) = 0.125 Megabyte (MB)
Hivyo vifurushi vimepimwa kwa megabits, sasa bashindwa kujua kama umechanganya mafaili au umetupikia chai maana numbers never lie.
5Mbps = 750 kilobyte kwa sekunde, hapo ukishusha mzigo ni kama mb 40 kwa dakika ambayo ni GB 2.4 kwa saa, na hata ukisema utumie internet masaa 24 basi huvuki GB 60, kwa mantiki ya kawaida pc hutumika at most masaa 12 hivyo ni kama GB 30 tu ila kuna wazee naonaga wanakesha na pc.
Twende sambamba Chief-Mkwawa . ongezea lako mkuu
Hapo nimekuelewa sana chief,naomba nisaidie kunitajia simu walau 3 unazozikubalimkuu unahitaji flagship angalau kuanzia mwaka 2015 simu kama note 5 ama s6 kupanda, ikiwa s7, s8, s9, s10,s20 ni bora zaidi, na sio lazima iwe ya samsung kampuni yoyote kubwa inayotumia snapdragon soc inafaa, ikiwa oneplus, sony, lg, xiaomi etc cha muhimu iwe na snapdragon highend kama sd 820, 835, 845, 855, 865 etc. ili upate speed kubwa halotel simu yako inabidi iwe na;
1.mimo 2x2 hii ni multiple input na output, uwezo wa simu kupokea mawimbi minara miwili kwa mpigo inaongeza sana speed.
2. band 2600 ya 4g, hii inapatiakana simu chache, michina mingi hawana
3. download speed kubwa na upload kubwa, gigabit lte inapendeza zaidi, kuna simu zina lte lakini lte yake haina nguvu ni 150mbps tu.
hivyo ukikidhi vigezo vya kuwa na simu nzuri kama nilivyosema hapo juu hayo mambo matatu hatakusumbua. unaunga tu kifurushi na ku enjoy.
Hawa watu sio wa mchezo mchezo,wanajua nini wanafanya ktk hii kazi yao.Hao jamaa wa Liquid Telecom wana fibre optic network accross Africa nzima.....From Cape Town to Cairo. Mojawapo ya makampuni yaliyochini ya bwana Strive Masiyiwa. Hapa Bongo waliinunua kampuni ya Raha.
Asante sana mjukuu wa shehe ponda mtabiri wa Nyota mpk kazi watu wanazofanya.Kazi ya kuuza series na kuburn movies itakua inakulipa sana. Chapa kazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii Halotel ni kwa line zote au ni zile za chuo tu na baadhi baadhi?sawa kabisa Zuku ndo safi shida haijasambaa sana ipo mwisho kinondoni tena haivuki kawawa road
ofisini awali walikuwa wanatumia voda nikawashauri tuunge zuku 7bu eneo iliopo ofisi zuku ipo ila hapo awali hawakujua kabisa ubora wa zuku speed nzuri gharama nafuu hvyo hata mm mchana kutwa natumia zuku sema kwa kuwa sishindi sana hapo kwa ofisi huwa nikiwa misele natumoa tigo
ila nikiwa home kwa PC natumia HALOTEL ndo mkomboz usiku
km nikiwa misele ya kawaida mitaan sina namna natumia tigo naunga elf 10 gb 6 na madakika yake mwenzi
kwa matumizi ya simu inasukuma wiki 7bu sio mpenz sana wa VIDEO STREAMING
hapo awali wkt tigo internet bei juu nilikuwa naunga elf 5 halotel g 7 wiki
hvyi ukiwa home sema ndo hvyo usiku kuanzia saa 6 mpk saa 12 tumia halotel
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna Jamaa alisema ZUKU wana internet very cheap...ni FIBER na unapewa na IPTV.. hebu check kwa website yao
Sent using Jamii Forums mobile app
Uwezo wanao sana ila ni uzembe na kukosekana mtu wa kuwapeleka kama PundaLakini pia napenda kushare nanyi hili wazo, Hivi mnajua hawa TTCL wana internet kwenye zilw nyumba za mawaziri?
Pia gharama wanayotoza huko ni FREE installation na monthly fee yao ni CHEAP.
Niliwahi kwenda pale Makao Makuu pale wakasema ule mradi ni wa kule tu, labda kama hapo baadae uka expand...
Huu mimi ninaona ni upuuzi wa hali ya juu..TTCL wanatakiwa kuwafikia waTanzania wote kwa usawa
Sent using Jamii Forums mobile app