Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Oneni huyu mpuuzi!
Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Katibu Tawala Mkoa wa Songwe Bi. Happiness Seneda, amewataka watumishi wote mkoani humo kuhakikisha wanashiriki zoezi la kupiga kura ili kuchagua viongozi wa Serikali za Mitaa kwenye maeneo yao, kwani Serikali imetenga siku hii kuwa mapunziko kwa ajili ya zoezi hilo na sio vinginevyo na baada ya zoezi hilo utafanyika ukaguzi wa rangi kwenye kidole ili kuwabaini wale wote ambao hawakushiriki.
Oneni huyu mpuuzi!
Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Katibu Tawala Mkoa wa Songwe Bi. Happiness Seneda, amewataka watumishi wote mkoani humo kuhakikisha wanashiriki zoezi la kupiga kura ili kuchagua viongozi wa Serikali za Mitaa kwenye maeneo yao, kwani Serikali imetenga siku hii kuwa mapunziko kwa ajili ya zoezi hilo na sio vinginevyo na baada ya zoezi hilo utafanyika ukaguzi wa rangi kwenye kidole ili kuwabaini wale wote ambao hawakushiriki.
