0-distance
Member
- Feb 16, 2021
- 25
- 56
Hilo ndio tatizo kubwa la viongozi wetu,kupewa mamlaka tu kidogo tayari anajiona Mungu,huyu ni kiongozi kilaza Tena asiye jitambua,lini na wapi kuchagua likawa jambo la lazima?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
muerevu na upara wako una mihemko ya mwendokasi hatari,Mzee unajitoaga akili

Wino unatoka hata kwa maji bila sabuni. 🤣🤣🤣🤣🤣Wakuu,
Oneni huyu mpuuzi!
View attachment 3163389
Katibu Tawala Mkoa wa Songwe Bi. Happiness Seneda, amewataka watumishi wote mkoani humo kuhakikisha wanashiriki zoezi la kupiga kura ili kuchagua viongozi wa Serikali za Mitaa kwenye maeneo yao, kwani Serikali imetenga siku hii kuwa mapunziko kwa ajili ya zoezi hilo na sio vinginevyo na baada ya zoezi hilo utafanyika ukaguzi wa rangi kwenye kidole ili kuwabaini wale wote ambao hawakushiriki.
we nyumbu wacha kukurupuka basi,Kenge maji wewe.
Unafikiri mtumishi wa umma anafukuxwa au kustaafishwa kama unavyofukuza mume wako?
Umchukulie hatua za kinizamu kwa sheria/kanuni na mwongozo upi?
Sema hao watumishi wenyewe tu ni mabuyu kichwani

Sina mihemko joh, ni vile navoona unatumia akili yako hovyo bila sababu za msingi.muerevu na upara wako una mihemko ya mwendokasi hatari,
na huna pwainti yoyote wala nini, dah![]()
Tukianza kuelekea huko basi huenda mambo yakaharibika hapo baadae.Wakuu,
Oneni huyu mpuuzi!
View attachment 3163389
Katibu Tawala Mkoa wa Songwe Bi. Happiness Seneda, amewataka watumishi wote mkoani humo kuhakikisha wanashiriki zoezi la kupiga kura ili kuchagua viongozi wa Serikali za Mitaa kwenye maeneo yao, kwani Serikali imetenga siku hii kuwa mapunziko kwa ajili ya zoezi hilo na sio vinginevyo na baada ya zoezi hilo utafanyika ukaguzi wa rangi kwenye kidole ili kuwabaini wale wote ambao hawakushiriki.
Wengi wa watumishi tumepiga kura ila tumechagua upinzanWakuu,
Oneni huyu mpuuzi!
View attachment 3163389
Katibu Tawala Mkoa wa Songwe Bi. Happiness Seneda, amewataka watumishi wote mkoani humo kuhakikisha wanashiriki zoezi la kupiga kura ili kuchagua viongozi wa Serikali za Mitaa kwenye maeneo yao, kwani Serikali imetenga siku hii kuwa mapunziko kwa ajili ya zoezi hilo na sio vinginevyo na baada ya zoezi hilo utafanyika ukaguzi wa rangi kwenye kidole ili kuwabaini wale wote ambao hawakushiriki.
Mimi kwa ujeuri wangu nisinge andika barua Wala kukaguliwa kidole..🤣🤣🤣🤣 umenichekesha kuhusu waalimu, these are the most hopeless people kabisa under this Tanzania universe. Huwa wanaishiwa kutumika tu. Halafu wana the same thinking capacity!
Sasa wwote wakija na wino ndiyo ushahidi kuwa walienda kupiga kura. ? Anajielewa kweli huyu RAS?Wakuu,
Oneni huyu mpuuzi!
View attachment 3163389
Katibu Tawala Mkoa wa Songwe Bi. Happiness Seneda, amewataka watumishi wote mkoani humo kuhakikisha wanashiriki zoezi la kupiga kura ili kuchagua viongozi wa Serikali za Mitaa kwenye maeneo yao, kwani Serikali imetenga siku hii kuwa mapunziko kwa ajili ya zoezi hilo na sio vinginevyo na baada ya zoezi hilo utafanyika ukaguzi wa rangi kwenye kidole ili kuwabaini wale wote ambao hawakushiriki.
Huyo kiongozi hta yeye hajui alichosema. Nivile tu ameona mic mbele yake atasema nini sasa kicwani ndo hivyo tenaWewe ndo unajua hivyo. Wababe washatangaza vita. Sasa nawashauri ndugu zangu waliodharau hili zoezi siku ya Leo, kabla hakijawakuta kitu watafute namna mapema 😄
Utafukuzwa kazi... Hii issue ibakie kua Siri yako.. JokesWengi wa watumishi tumepiga kura ila tumechagua upinzani
Issue ni simple kupiga kura ni iyari Wala sio lazima na Wala sio kosaa Kama vile kwenda kusali au kuswali hulazimishwi/ Wala sio Jambo la kushurutishana.Hiyo mbona easy tu unapaka wino
maoni yako ni muhimu zaidi ya kufura tu, dhidi ya maoni ya wengine gentlemanSina mihemko joh, ni vile navoona unatumia akili yako hovyo bila sababu za msingi.
