LGE2024 Watumishi ambao hawajapiga kura kukiona Songwe, watakaguliwa kama wana wino

LGE2024 Watumishi ambao hawajapiga kura kukiona Songwe, watakaguliwa kama wana wino

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
she is very right,
lazima wote watakaothibitika kutokupiga kura wachukuliwe hatua za kinidhamu ili iwe fundisho..
watu kama hao ni muhimu wastaafishwe mapema kwa lazima. huo ni utovu wa nidhamu na uhujumu demokrasia wa kuwango cha juu sana, usio vumilika...

huko ni kukosa uzalendo na, ni sawa na uhaini tu, :pulpTRAVOLTA:
Ona hili Lopolopo..
 
Wakuu,

Oneni huyu mpuuzi!

View attachment 3163389

Katibu Tawala Mkoa wa Songwe Bi. Happiness Seneda, amewataka watumishi wote mkoani humo kuhakikisha wanashiriki zoezi la kupiga kura ili kuchagua viongozi wa Serikali za Mitaa kwenye maeneo yao, kwani Serikali imetenga siku hii kuwa mapunziko kwa ajili ya zoezi hilo na sio vinginevyo na baada ya zoezi hilo utafanyika ukaguzi wa rangi kwenye kidole ili kuwabaini wale wote ambao hawakushiriki.
Ina maana kila Mtanzania lazima ashiriki mambo ya siasa?
 
Wakuu,

Oneni huyu mpuuzi!

View attachment 3163389

Katibu Tawala Mkoa wa Songwe Bi. Happiness Seneda, amewataka watumishi wote mkoani humo kuhakikisha wanashiriki zoezi la kupiga kura ili kuchagua viongozi wa Serikali za Mitaa kwenye maeneo yao, kwani Serikali imetenga siku hii kuwa mapunziko kwa ajili ya zoezi hilo na sio vinginevyo na baada ya zoezi hilo utafanyika ukaguzi wa rangi kwenye kidole ili kuwabaini wale wote ambao hawakushiriki.
Hiyo rahisi sana. Unanunua wino unapaka kidoleni. Kuna lingine? Bora hao watumishi wamekwepa uchafuzi.
 
she is very right,
lazima wote watakaothibitika kutokupiga kura wachukuliwe hatua za kinidhamu ili iwe fundisho..
watu kama hao ni muhimu wastaafishwe mapema kwa lazima. huo ni utovu wa nidhamu na uhujumu demokrasia wa kuwango cha juu sana, usio vumilika...

huko ni kukosa uzalendo na, ni sawa na uhaini tu, :pulpTRAVOLTA:
Unatia huruma kweli mkuu...tumia hata mwiko
 
Kukaguana vidole?...hahaha..
Hakika watu wamechanganyikiwa...ipo siku watu watakaguliwa kama wamevaa chupi
 
Wakuu,

Oneni huyu mpuuzi!

View attachment 3163389

Katibu Tawala Mkoa wa Songwe Bi. Happiness Seneda, amewataka watumishi wote mkoani humo kuhakikisha wanashiriki zoezi la kupiga kura ili kuchagua viongozi wa Serikali za Mitaa kwenye maeneo yao, kwani Serikali imetenga siku hii kuwa mapunziko kwa ajili ya zoezi hilo na sio vinginevyo na baada ya zoezi hilo utafanyika ukaguzi wa rangi kwenye kidole ili kuwabaini wale wote ambao hawakushiriki.
Madaraka hulevya..

Sasa wino si unanunua stationary..anajisahau Sanaa huyo dada.
 
Kupiga kura ni kama masuala ya chanjo ya korona...ni hiari, ilitakiwa ushawishi ndio utumike zaidi
Uyo dada ana akili finyu Sanaa je kwa kifungu kipi atatumia kuwawajibisha hao watumishi..

Ila kwa WAALIMU huswagwa Kama NYUMBU porini sishangai.
 
Wakuu,

Oneni huyu mpuuzi!

View attachment 3163389

Katibu Tawala Mkoa wa Songwe Bi. Happiness Seneda, amewataka watumishi wote mkoani humo kuhakikisha wanashiriki zoezi la kupiga kura ili kuchagua viongozi wa Serikali za Mitaa kwenye maeneo yao, kwani Serikali imetenga siku hii kuwa mapunziko kwa ajili ya zoezi hilo na sio vinginevyo na baada ya zoezi hilo utafanyika ukaguzi wa rangi kwenye kidole ili kuwabaini wale wote ambao hawakushiriki.
Huu ni ushenzi sana. Hii nchi daah WTF
 
she is very right,
lazima wote watakaothibitika kutokupiga kura wachukuliwe hatua za kinidhamu ili iwe fundisho..
watu kama hao ni muhimu wastaafishwe mapema kwa lazima. huo ni utovu wa nidhamu na uhujumu demokrasia wa kuwango cha juu sana, usio vumilika...

huko ni kukosa uzalendo na, ni sawa na uhaini tu, :pulpTRAVOLTA:
Kenge maji wewe.
Unafikiri mtumishi wa umma anafukuxwa au kustaafishwa kama unavyofukuza mume wako?
Umchukulie hatua za kinizamu kwa sheria/kanuni na mwongozo upi?
Sema hao watumishi wenyewe tu ni mabuyu kichwani
 
Uyo dada ana akili finyu Sanaa je kwa kifungu kipi atatumia kuwawajibisha hao watumishi..

Ila kwa WAALIMU huswagwa Kama NYUMBU porini sishangai.
🤣🤣🤣🤣 umenichekesha kuhusu waalimu, these are the most hopeless people kabisa under this Tanzania universe. Huwa wanaishiwa kutumika tu. Halafu wana the same thinking capacity!
 
she is very right,
lazima wote watakaothibitika kutokupiga kura wachukuliwe hatua za kinidhamu ili iwe fundisho..
watu kama hao ni muhimu wastaafishwe mapema kwa lazima. huo ni utovu wa nidhamu na uhujumu demokrasia wa kuwango cha juu sana, usio vumilika...

huko ni kukosa uzalendo na, ni sawa na uhaini tu, :pulpTRAVOLTA:
Mzee unajitoaga akili
 
Back
Top Bottom