Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Ona hili Lopolopo..she is very right,
lazima wote watakaothibitika kutokupiga kura wachukuliwe hatua za kinidhamu ili iwe fundisho..
watu kama hao ni muhimu wastaafishwe mapema kwa lazima. huo ni utovu wa nidhamu na uhujumu demokrasia wa kuwango cha juu sana, usio vumilika...
huko ni kukosa uzalendo na, ni sawa na uhaini tu,![]()
