Ona hili Lopolopo..she is very right,
lazima wote watakaothibitika kutokupiga kura wachukuliwe hatua za kinidhamu ili iwe fundisho..
watu kama hao ni muhimu wastaafishwe mapema kwa lazima. huo ni utovu wa nidhamu na uhujumu demokrasia wa kuwango cha juu sana, usio vumilika...
huko ni kukosa uzalendo na, ni sawa na uhaini tu,
Ina maana kila Mtanzania lazima ashiriki mambo ya siasa?Wakuu,
Oneni huyu mpuuzi!
View attachment 3163389
Katibu Tawala Mkoa wa Songwe Bi. Happiness Seneda, amewataka watumishi wote mkoani humo kuhakikisha wanashiriki zoezi la kupiga kura ili kuchagua viongozi wa Serikali za Mitaa kwenye maeneo yao, kwani Serikali imetenga siku hii kuwa mapunziko kwa ajili ya zoezi hilo na sio vinginevyo na baada ya zoezi hilo utafanyika ukaguzi wa rangi kwenye kidole ili kuwabaini wale wote ambao hawakushiriki.
Hiyo rahisi sana. Unanunua wino unapaka kidoleni. Kuna lingine? Bora hao watumishi wamekwepa uchafuzi.Wakuu,
Oneni huyu mpuuzi!
View attachment 3163389
Katibu Tawala Mkoa wa Songwe Bi. Happiness Seneda, amewataka watumishi wote mkoani humo kuhakikisha wanashiriki zoezi la kupiga kura ili kuchagua viongozi wa Serikali za Mitaa kwenye maeneo yao, kwani Serikali imetenga siku hii kuwa mapunziko kwa ajili ya zoezi hilo na sio vinginevyo na baada ya zoezi hilo utafanyika ukaguzi wa rangi kwenye kidole ili kuwabaini wale wote ambao hawakushiriki.
Ni hovyo snIvi kumbe kuna kupakwa rangi,mbona minimepiga kura nasijapakwa rangi nakuna aliyeuliza akajibiwa uchaguzi huu hauna rangi
vp tena Linyumbu kurupukaji?Ona hili Lopolopo..
Wewe ndo unajua hivyo. Wababe washatangaza vita. Sasa nawashauri ndugu zangu waliodharau hili zoezi siku ya Leo, kabla hakijawakuta kitu watafute namna mapema πKisheria hakuna kosa kutokupiga kura ni hiari
Unatia huruma kweli mkuu...tumia hata mwikoshe is very right,
lazima wote watakaothibitika kutokupiga kura wachukuliwe hatua za kinidhamu ili iwe fundisho..
watu kama hao ni muhimu wastaafishwe mapema kwa lazima. huo ni utovu wa nidhamu na uhujumu demokrasia wa kuwango cha juu sana, usio vumilika...
huko ni kukosa uzalendo na, ni sawa na uhaini tu,
Madaraka hulevya..Wakuu,
Oneni huyu mpuuzi!
View attachment 3163389
Katibu Tawala Mkoa wa Songwe Bi. Happiness Seneda, amewataka watumishi wote mkoani humo kuhakikisha wanashiriki zoezi la kupiga kura ili kuchagua viongozi wa Serikali za Mitaa kwenye maeneo yao, kwani Serikali imetenga siku hii kuwa mapunziko kwa ajili ya zoezi hilo na sio vinginevyo na baada ya zoezi hilo utafanyika ukaguzi wa rangi kwenye kidole ili kuwabaini wale wote ambao hawakushiriki.
Pad ya wino si buku tuπ€£Mbona rahisi sana kuepukana na hiyo Adhabu?! Ukidakwa hapo labda hukugelezeaga shuleni π
Ink-pad zote hizo zilizojaa na kalamu mnashindwa kujijaza mawino kwenye vidole ndugu zangu?! πππ
Uyo dada ana akili finyu Sanaa je kwa kifungu kipi atatumia kuwawajibisha hao watumishi..Kupiga kura ni kama masuala ya chanjo ya korona...ni hiari, ilitakiwa ushawishi ndio utumike zaidi
Huu ni ushenzi sana. Hii nchi daah WTFWakuu,
Oneni huyu mpuuzi!
View attachment 3163389
Katibu Tawala Mkoa wa Songwe Bi. Happiness Seneda, amewataka watumishi wote mkoani humo kuhakikisha wanashiriki zoezi la kupiga kura ili kuchagua viongozi wa Serikali za Mitaa kwenye maeneo yao, kwani Serikali imetenga siku hii kuwa mapunziko kwa ajili ya zoezi hilo na sio vinginevyo na baada ya zoezi hilo utafanyika ukaguzi wa rangi kwenye kidole ili kuwabaini wale wote ambao hawakushiriki.
wahurumie hao wanamakasiriko waliokosa uelelekeo,Unatia huruma kweli mkuu...tumia hata mwiko
Kenge maji wewe.she is very right,
lazima wote watakaothibitika kutokupiga kura wachukuliwe hatua za kinidhamu ili iwe fundisho..
watu kama hao ni muhimu wastaafishwe mapema kwa lazima. huo ni utovu wa nidhamu na uhujumu demokrasia wa kuwango cha juu sana, usio vumilika...
huko ni kukosa uzalendo na, ni sawa na uhaini tu,
π€£π€£π€£π€£ umenichekesha kuhusu waalimu, these are the most hopeless people kabisa under this Tanzania universe. Huwa wanaishiwa kutumika tu. Halafu wana the same thinking capacity!Uyo dada ana akili finyu Sanaa je kwa kifungu kipi atatumia kuwawajibisha hao watumishi..
Ila kwa WAALIMU huswagwa Kama NYUMBU porini sishangai.
Mzee unajitoaga akilishe is very right,
lazima wote watakaothibitika kutokupiga kura wachukuliwe hatua za kinidhamu ili iwe fundisho..
watu kama hao ni muhimu wastaafishwe mapema kwa lazima. huo ni utovu wa nidhamu na uhujumu demokrasia wa kuwango cha juu sana, usio vumilika...
huko ni kukosa uzalendo na, ni sawa na uhaini tu,