KERO Watumishi Halmashauri ya Momba walazimishwa kuhudhuria Sherehe za Muungano kwa gharama zao

KERO Watumishi Halmashauri ya Momba walazimishwa kuhudhuria Sherehe za Muungano kwa gharama zao

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Ndivyo mlivyo ni wajinga haswa.

Nyie ni misukule ya CCM na watawala hii kada ya wapuuzi.
Mimi ni mwalimu na ninafundisha darasa la kwanza la pili na latatu, kwa kifupi nafundisha kusoma kuandika na kuhesabu KKK, ili mkisha jua kuandika na kusoma mje kuandika huku kama wewe, hayo ni matunda ya kazi yangu hii, najivunia bila kujali unaandika nini 😂
 
Kumekuwa na sintofahamu kwa watumishi wa Halmashauri hii kulazimishwa kuhudhuria sherehe za Muungano zinazotajiwa kufanyika maeneo ya Kamsamba kuanzia tarehe 25/4/2024 na kilele chake ni tarehe 26/4/2024.

Agizo linawataka watumishi hao kufika maeneo hayo kuanzia saa 2:00 asubuhi siku ya tarehe 25/4/2024 na kukesha kuamkia siku ya Muungano tarehe 26/4/2024 bila kujua suala la usafiri na huduma zingine za kibinadamu n.k.

Wahanga wakubwa ni Walimu wanaotokea kata Za Jirani na Kamsamba, Wakuu wa shule wote na Maafisa Elimu Kata wote kwa Halmashauri nzima.

Je, hii ni sawa?

Kwanini mamlaka ziwalazimishe watumishi kusherehekea Muungano?

Sheria ipi inalazimisha mtu kusherehekea Muungano huu?

View attachment 2974132
Mwalimu ambaye hataenda achapwe viboko. Wamesahau wakati wa uchafuzi huwa wanapewa ....... kidogo wanasaliti wananchi kwa kuratibu wizi wa kura
 
Back
Top Bottom