Watumishi: Hayati Magufuli hakupandisha mishahara mlilalamika, Rais Samia kapandisha mishahara mnalalamika. Hivi mpoje nyie?

Watumishi: Hayati Magufuli hakupandisha mishahara mlilalamika, Rais Samia kapandisha mishahara mnalalamika. Hivi mpoje nyie?

Acha kudharau watumishi wa umma,mtoto wako anasomeshwa na watumishi wa umma, hospitali unahudumiwa na watumishi wa umma,hivi kabla hujaanduka chochote, fikiri Mara mbili.

Mtaani unalala salama kwa sababu ya watumishi wa umma ambao ni polisi, bado unawaina hawajielewi kweli?

Hivi unafikiria kwa kutumia kiungi gani cha mwili hasa[emoji15][emoji15]
 
Na mama anaupiga mwingi, mara mama ana jambo letu mara mama katutoa midri anatupeleka kaanani kumbe kaanani ni elfu 20, si bora wangeacha tu.

Serikali ya maneno mengi utekelezaji punje ya mchanga.
 
@Johnthebabtist
Upo wapi mkuu njoo kwetu mabatini upite ya vichochoroni utanikuta na walimu kama watano hivi tunaagenda na wewe, nondo ni vifaa vya ujenzi usiwe na wasiwasi ukituona nazo mkononi.
Hahaha....!

Bwashee nondo tena?
 
Na mama anaupiga mwingi, mara mama ana jambo letu mara mama katutoa midri anatupeleka kaanani kumbe kaanani ni elfu 20, si bora wangeacha tu.

Serikali ya maneno mengi utekelezaji punje ya mchanga.
Wewe 20 unaiona ndogo?
 
Watumishi wa Umma nchi hii hawajitambui kabisa

Hayati Magufuli aliwapunguzia kodi ili mishahara yao iboreke wakalamika sana

Leo Rais Samia ameongeza moja kwa moja ile Gross salary bado wanalialia

Nyie watumishi mkoje lakini?

Mnataka nini?!?
Ngese
 
Mzee wa pesa ipo kwenye kikapu kimoja, nitawaongezea Mara dufu kabla sijaondoka, Mara paa, pale palikua na na ubinafsi wakinemeka wachache Wala hakuwapenda hata kidogo.

Alitamka maneno hayo hapo juu akiwa Mbeya au Iringa meimosi, Mie nipo napata juice sehem na kuangalia TBC, aisee nilimuona mtumishi aliekua amekaa chini, moshipa ya shingo imevimba na amekasirika Sana, mwenye clip Kati ya hizo sherehe ajaribu kuangalia, possibly ni Iringa, nilijwa na simanzi sana sana.

Sasa Watumishi wetu wanacholalamika kile mh alisema na kweli nafikili hata barua ya Ikulu ipo, kuonekana inapindishwa na watu wachache either KWa bahati mbaya ,au makusudi Ili kuharibu taswira wa kiongozi wao ambacho kipo wazi

Mfano mtumishi hakuwai pata nyongeza ya mshahara miaka sita ambayo ipo kisheria kabisa kabisa, letsay may be KILA mwaka ungemwongezea elfu 50 na haikufanyika, leo ukimwongezea laki tatu unakua umekwama wapi?

Kwanza unatengeneza jina maana wengi watajua hakuna Kama wewe, kumbe bado upande mwingine ni dhuluma ya miaka sita iliyopita ambayo ilikuastahiki yao, mkaibuka wapambe eti mnajenga uchumi, wakati waujengao ndo hao mwawakandamiza that's Mungu akakataa.

Mwisho, Watendaji wetu hawalalamiki bali wanahoji na ni haki YAKO, watendeeni wenzenu vizuri Kama ambavyo wajitendea nyinyi, Mungu ni mmoja vinginevyo mtapata tabu Sana pamoja na pesa zenu
 
Watumishi wa Umma nchi hii hawajitambui kabisa

Hayati Magufuli aliwapunguzia kodi ili mishahara yao iboreke wakalamika sana

Leo Rais Samia ameongeza moja kwa moja ile Gross salary bado wanalialia

Nyie watumishi mkoje lakini?

Mnataka nini?!?
Wewe
FB_IMG_1643976349889.jpg
 
Mzee wa pesa ipo kwenye kikapu kimoja, nitawaongezea Mara dufu kabla sijaondoka, Mara paa, pale palikua na na ubinafsi wakunemeka wachache Wala hakukuwepona na upendo hata kidogo

Alitamka maneno hayo hapo juu akiwa Mbeya au Iringa meimosi, Mie nipo napata juice sehem na kuangalia TBC, aisee nilimuona mtumishi aliekua amekaa chini, mishipa ya shingo imevimba na amekasirika Sana, mwenye clip Kati ya hizo sherehe ajaribu kuangalia ,possibly ni Iringa, nilijwa na simanzi Sana Sana

Sasa Watumishi wetu wanacholalamika kile mh alisema na kweli nafikili hata barua ya Ikulu ipo, kuonekana inapindishwa na watu wachache either KWa bahati mbaya ,au makusudi Ili kuharibu taswira ya kiongozi wao ambacho kipo wazi

Mfano mtumishi hakuwai pata nyongeza ya mshahara miaka sita ambayo ipo kisheria kabisa kabisa, letsay may be KILA mwaka ungemwongezea elfu 50 na haikufanyika, leo ukimwongezea laki tatu unakua umekwama wapi?

Kwanza unatengeneza jina maana wengi watajua hakuna Kama wewe, kumbe bado upande mwingine ni dhuluma ya miaka sita iliyopita ambayo ilikua stahiki yao, mkaibuka wapambe eti mnajenga uchumi, wakati waujengao ndo hao mwawakandamiza that's Mungu akakataa,
Mwisho
Watendaji wetu hawalalamiki bali wanahoji na ni haki YAO, watendeeni wenzenu vizuri Kama ambavyo wajitendea nyinyi, Mungu ni mmoja vinginevyo mtapata tabu Sana pamoja na pesa zenu
 
Watumishi wa Umma nchi hii hawajitambui kabisa

Hayati Magufuli aliwapunguzia kodi ili mishahara yao iboreke wakalamika sana

Leo Rais Samia ameongeza moja kwa moja ile Gross salary bado wanalialia

Nyie watumishi mkoje lakini?

Mnataka nini?!?
CCM mliongezewa shs ngapi? acheni na wenzenu waongezewe pakubwa
 
Na ndio wanaowasagia wakulima kunguni ili wasipate ongezeko la bei ya mazao kwa kuuza nje.

Ndio maana JK alikataa kura zao kama ingebidi, alishasanuka ni kakikundi ka wachawi.
 
Back
Top Bottom