johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Kwani hapo Ufipa st mmeongezewa ngapi?CCM mliongezewa shs ngapi? acheni na wenzenu waongezewe pakubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani hapo Ufipa st mmeongezewa ngapi?CCM mliongezewa shs ngapi? acheni na wenzenu waongezewe pakubwa
Hahaha......!Na ndio wanaowasagia wakulima kunguni ili wasipate ongezeko la bei ya mazao kwa kuuza nje.
Ndio maana JK alikataa kura zao kama ingebidi, alishasanuka ni kakindi ka wachawi.
Hatuna mishahara tunajitoleaKwani hapo Ufipa st mmeongezewa ngapi?
Basi nyie ni wazalendo wa kweliHatuna mishahara tunajitolea
AminaAsante mama Kwa kuongeza, japo kiduchu...Ila inatia matumaini ya mwanzo mzuri.
Bado nimechagua kukupa muda, naamini wewe ni kiongozi mzuri.
YapBasi nyie ni wazalendo wa kweli
Acha upompoma..JPM sawa hakuongeza ila maisha yalikuwa rahisi sana unga wa mahindi ulikua 700 mchele 1500tsh.Watumishi wa Umma nchi hii hawajitambui kabisa
Hayati Magufuli aliwapunguzia kodi ili mishahara yao iboreke wakalamika sana
Leo Rais Samia ameongeza moja kwa moja ile Gross salary bado wanalialia
Nyie watumishi mkoje lakini?
Mnataka nini?!?
Umeangalia salio la NMB au bado unaota ile 23%?Watumishi wapi hao, binafsi nashukuru kwa kila kitu, mwaka mmoja wa mama mshahara wangu umeongezeka kwa kiasi Cha sh 200,000. Asante sana mama Samia.
Ameongeza sh ngapi? Mtu asilalamike?Watumishi wa Umma nchi hii hawajitambui kabisa
Hayati Magufuli aliwapunguzia kodi ili mishahara yao iboreke wakalamika sana
Leo Rais Samia ameongeza moja kwa moja ile Gross salary bado wanalialia
Nyie watumishi mkoje lakini?
Mnataka nini?!?
Anaongez Tsh 20,000 halafu nyuma ya pazia anashirikiana na Vyama vya wafanyakazi wanakata 10,000 unabaki na 10,000.Watumishi wa Umma nchi hii hawajitambui kabisa
Hayati Magufuli aliwapunguzia kodi ili mishahara yao iboreke wakalamika sana
Leo Rais Samia ameongeza moja kwa moja ile Gross salary bado wanalialia
Nyie watumishi mkoje lakini?
Mnataka nini?!?
Mshukuruni Mungu kwa kila jamboAcha upompoma..JPM sawa hakuongeza ila maisha yalikuwa rahisi sana unga wa mahindi ulikua 700 mchele 1500tsh.
Unaongeza 23% maisha mtaani ni 110% halafu unataka watumishi washangilie?
Mleta uzi ebu tumia akili basi.
#MaendeleoHayanaChama
Ww poyoyo kweli nani kakutuma uandike ugoro wako huu.Watumishi wa Umma nchi hii hawajitambui kabisa
Hayati Magufuli aliwapunguzia kodi ili mishahara yao iboreke wakalamika sana
Leo Rais Samia ameongeza moja kwa moja ile Gross salary bado wanalialia
Nyie watumishi mkoje lakini?
Mnataka nini?!?
JPM aliongeza 56100/- tofauti kabisa na huu xcdmavxgd wa mwaka huuWatumishi wa Umma nchi hii hawajitambui kabisa
Hayati Magufuli aliwapunguzia kodi ili mishahara yao iboreke wakalamika sana
Leo Rais Samia ameongeza moja kwa moja ile Gross salary bado wanalialia
Nyie watumishi mkoje lakini?
Mnataka nini?!?
Mkuu ,Mimi mwaka jana nimepanda daraja,mwaka huu mama kaongeza almost 50 elfu kwa mshahara wangu,ukijumlisha daraja na nyongeza napata 200,000+ Nani Kama mama,long live mama samiaUmeangalia salio la NMB au bado unaota ile 23%?