Watumishi TFS Manyara walitakiwa wawe nyuma ya nondo. Waligundua hatari wakakaa kimya hadi maafa yametokea

If i could be IGP
 
Sio kila mtu amemsikiliza huyo uliyemsikiliza. ungetuwekea kama ni video au audio au link alaf baada ya mumsikiliza ndo tucomment
 
Ila pisi za hanang ni kali mno, tuwape maua yao kwakweli πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜„πŸ™, majanga kila mahali yapo
 
Mkuu watumishi wengi ni waoga wanafanya Kazi kwa kujipendekeza Kwa walio wateuwa pasi ya kuwa ambia ukweli ,
 
Viongozi wameenda kushuhudia tope au kutoa msaada? Kweli Tanzania haipo serious na maafa..


Au wataleta mashine za kuondoa tope hizo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…