Watumishi wa Afya kuvaa mavazi ya kazi kwenye usafiri wa Umma ni hatari kwa afya za wananchi

Watumishi wa Afya kuvaa mavazi ya kazi kwenye usafiri wa Umma ni hatari kwa afya za wananchi

ngebe

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2020
Posts
1,789
Reaction score
5,117
Leo nikiwa natoka kazini kwenye daladala nimekaa pembeni yangu alikuepo Nnesi amevaa sare ya kazi nahisi naye alikuwa anatoka kazini.

Kwakweli kwa upande wangu sijafurahia alikuwa anatoa kwa mbali manukato ya hospitali.

Nimejiuliza mtu anayeshinda na wagonjwa wengine ni magonjwa hatari je hawezi kubeba vimelea akaambukiza watu?

Je, mahospitalini hakuna dressing rooms?

Nafikiri ipigwe marufuku kwa watumishi wa afya kupanda na nguo za kazi kwenye usafiri wa umma.
 
Sasa mtu anatoka kazini alafu unategemea atavaa nini?

Nesi atakuwa amevaa nguo nyeupe.

Fundi makanika atakuwa amevaa overlori.

Askari atakuwa amevaa kombati.
 
Sasa mtu anatoka kazini alafu unategemea atavaa nini?

Nesi atakuwa amevaa nguo nyeupe.

Fundi makanika atakuwa amevaa overlori.

Askari atakuwa amevaa kombati.
elewa kwanza kisha ndio ucoment nimeuliza makazini hakuna dressing room? unaelewa ni kwanini manesi wanashauriwa kuvaa nguo fupi zisizofika miguuni?
 
Kwani alikua anakumbatia wagonjwa huko hospital hadi uhisi amebeba vimelea vya magonjwa?

Btw ni magonjwa gani unahisi atakuambukiza just kwa kukaa naye karibu?
 
elewa kwanza kisha ndio ucoment nimeuliza makazini hakuna dressing room? unaelewa ni kwanini manesi wanashauriwa kuvaa nguo fupi zisizofika miguuni?
Naona stress za kutoongezwa mshahara kama mlivyo ahidiwa zinakusumbua.

Nani anakulazimisha kupanda magari ya usafiri wa umma wakati unajijua kuwa wewe ni mbaguzi?
 
Kwani alikua anakumbatia wagonjwa huko hospital hadi uhisi amebeba vimelea vya magonjwa?

Btw ni magonjwa gani unahisi atakuambukiza just kwa kukaa naye karibu?
Msamehe bure naona ana stress zinamsumbua
 
Hahaaa kwakweli, ingekua hivyo basi familia za hao manesi na maDr ndio zingekua za kwanza kuteketea kwa magonjwa
Watu wengine sijui kama huwa wanajishauri kabla ya kupandisha uzi jukwaani.
 
Naona stress za kutoongezwa mshahara kama mlivyo ahidiwa zinakusumbua.

Nani anakulazimisha kupanda magari ya usafiri wa umma wakati unajijua kuwa wewe ni mbaguzi?
wewe nesi wa kiume waambie manes wenzio nguo wavulie huko huko
 
elewa kwanza kisha ndio ucoment nimeuliza makazini hakuna dressing room? unaelewa ni kwanini manesi wanashauriwa kuvaa nguo fupi zisizofika miguuni?
Kawaida hospital kuna dressing room. Mtu unakwenda na nguo zako.Ukifika hospital ndo unavaa uniform. Ukimaliza kazi unakwenda kuvaa nguo zako. Zile uniform ulizovaa unaweka kwenye fuko la nguo chafu. Wafuaji watakuja kukusanya na kupeleka washing house. Ulaya raha jamaniiiiiiiiiiii.
 
Ila watu ni wabishi hii dunia duh..?



Kwahio swala la nesi kuvaa uniform kwenye daladala akitoka job pia nila kujadili...? Duh [emoji2363][emoji2363]
 
Sasa mtu anatoka kazini alafu unategemea atavaa nini?

Nesi atakuwa amevaa nguo nyeupe.

Fundi makanika atakuwa amevaa overlori.

Askari atakuwa amevaa kombati.
Anatakiwa abadilishie huko kazini.
 
Sasa mtu anatoka kazini alafu unategemea atavaa nini?

Nesi atakuwa amevaa nguo nyeupe.

Fundi makanika atakuwa amevaa overlori.

Askari atakuwa amevaa kombati.
Jamaa yuko sahihi, kwa nesi haijakaa sawa, huko kuna magonjwa ya kuambukiza.
 
Kawaida hospital kuna dressing room. Mtu unakwenda na nguo zako.Ukifika hospital ndo unavaa uniform. Ukimaliza kazi unakwenda kuvaa nguo zako. Zile uniform ulizovaa unaweka kwenye fuko la nguo chafu. Wafuaji watakuja kukusanya na kupeleka washing house. Ulaya raha jamaniiiiiiiiiiii.
Madam naomba connection basiii
 
Back
Top Bottom