Watumishi wa idara ya ardhi Tanzania "wamelaaniwa"?

Watumishi wa idara ya ardhi Tanzania "wamelaaniwa"?

Ni kweli kabisa Mleta HOJA,hawa jamaa ni CHANGAMOTO, na wote wanafanana,kuanzia Wizarani hadi Halmashauri za Wilaya..nadhani MITAALA yao inashida sehemu..Mh Slaa unakazi kubwa
Ingekuwa ni uamuzi wangu, ningewafuta kazi watumishi wote wa idara ya ardhi na kuanza kuajiri upya kwa kuwachukua wale tu waliofanyiwa vetting na kuthibitishwa kuwa ni waadilifu.
 
Angalia majiji makubwa kama Arusha, Mwanza na Dar Es Salaam! Kero zilizosababishwa na watumishi wa hiyo idara ni lukuki!

Kuna waliopokonywa ardhi isivyo halali!

Kuna waliotapeliwa!, n.k.

Kesi ni nyingi sana.

Baada ya kuona malalamiko yanayoshughulikiwa na Waziri wa Ardhi, Jerry Slaa, pamoja na wakuu wa mikoa, Makonda na Chalamila kwenye maeneo yao ya kazi, nimeshindwa kuacha kujiuliza maswali kuhusiana na watumishi wa idara ya ardhi Tanzania.

Wana shida gani?

"Wameelaniwa"?

Wala si uongo!
Je Tanesco vipi ?!
Unawaonaje?
 
Wapi kumeoza zaidi
TRA
TANESCO
ARDHI
DAWASCO
AFYA (MANESI)
POLISI
 
Angalia majiji makubwa kama Arusha, Mwanza na Dar Es Salaam! Kero zilizosababishwa na watumishi wa hiyo idara ni lukuki!

Kuna waliopokonywa ardhi isivyo halali!

Kuna waliotapeliwa!, n.k.

Kesi ni nyingi sana.

Baada ya kuona malalamiko yanayoshughulikiwa na Waziri wa Ardhi, Jerry Slaa, pamoja na wakuu wa mikoa, Makonda na Chalamila kwenye maeneo yao ya kazi, nimeshindwa kuacha kujiuliza maswali kuhusiana na watumishi wa idara ya ardhi Tanzania.

Wana shida gani?

"Wameelaniwa"?
Serikali ndio inalea wezi. Haichukui hatua za makusud
 
Ni kweli kabisa Mleta HOJA,hawa jamaa ni CHANGAMOTO, na wote wanafanana,kuanzia Wizarani hadi Halmashauri za Wilaya..nadhani MITAALA yao inashida sehemu..Mh Slaa unakazi kubwa
Watazid kuchanganyikiwa maana wizi na uzembe vimetawala vichwani mwa wasimamizi wa rasilimali
 
Ni taasisi zote Tanzania utendaji kazi ni chini ya kiwango.
Nadhani Sasa Kama tulivyowapa waarabu bandari, tuwape jeshi la polisi, wizara ya ardhi, Tanesco, mwendokasi, Tanapa, haya majiji yote sita, Tanroads, chuo Cha Udom na TRC.
HATA WAFAGIZI OFISI WATOKE DUBAI.
VIJANA WETU WAKO BIZE WANA BET.
 
Angalia majiji makubwa kama Arusha, Mwanza na Dar Es Salaam! Kero zilizosababishwa na watumishi wa hiyo idara ni lukuki!

Kuna waliopokonywa ardhi isivyo halali!

Kuna waliotapeliwa!, n.k.

Kesi ni nyingi sana.

Baada ya kuona malalamiko yanayoshughulikiwa na Waziri wa Ardhi, Jerry Slaa, pamoja na wakuu wa mikoa, Makonda na Chalamila kwenye maeneo yao ya kazi, nimeshindwa kuacha kujiuliza maswali kuhusiana na watumishi wa idara ya ardhi Tanzania.

Wana shida gani?

"Wameelaniwa"?
Hawa jamaa hakuna aliekuwa anawafuatilia, wamezoea ku roam around. Now madudu yao yanakuwa unearthed
 
Hawa jamaa hakuna aliekuwa anawafuatilia, wamezoea ku roam around. Now madudu yao yanakuwa unearthed
Ila wana roho ngumu sana.
Kuna mtu alifuatwa na matajiri na kumwomba awauzie eneo lake akakataa, lakini baadaye alipoenda kufuatilia hati, akakuta limeshamilikishwa kwa waliolitamani.

Ni miaka mingi sasa amekuwa akilifuatilia bila mafanikio.
 
T.r a popote mlipo mlaaniwe laana kuuu...Bora hao ardhi ningekuwa Mungu ningewafikiria lakin sio nyie wakadiria Kodi...
 
Hapo kwa TRA na manesi sijafahamu ni kwa vipi huduma zao sio za kuridhisha?
Naomba elezea tafadhali japo kwa kifupi tu.
T.r.a wanakadiria Kodi kubwa watu ili ulalamike utoe rushwa wakupunguzie..na hyo ni desturi kila mwaka lazima ukadiriwe hvo wameoza Bora hao ardhi
 
Ni idara iliyojaa vishawishi na dhuluma. Kurogana kupo kwingi sana. Kuna watumishi wengi nimeshuhudia wakiugua magonjwa ya ajabu kutokana na kushiriki dhuluma.
Acha warogwe tu,Mshua wangu alinunua kiwanja akajenga,sasa aliyemuuzia akarudi kijijini ila mjini alimwachia mtoto wa mdogo wake,kumbe jamaa wana ndugu yao yupo Idara ya Ardhi,akaenda kuchungulia Mshua aliuziwa kiwanja bei gani.Alipokuja kugundua akaanza ukorofi eti Baba Mkubwa alikuuzia kiwanja kwa bei rahisi.Kama Mshua asingekuwa na msimamo angeambiwa abomoe nyumba.
 
Back
Top Bottom