Watumishi wa Mungu wamekuwa wakame rohoni sasa makanisani wanafundisha falsafa za kidunia, Falsafa ambazo unaweza kuzipata popote

Watumishi wa Mungu wamekuwa wakame rohoni sasa makanisani wanafundisha falsafa za kidunia, Falsafa ambazo unaweza kuzipata popote

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Injili ya kale ya akina Petro ilikuwa rhema.

Rhema ni neno la Mungu kwa wakati husika. Yaani Mungu anasema kwa kinywa cha mtu. Anaweza kutumia neno hili la kila siku (logos) ila anaposema Mungu mwenyewe hulitia uzima na kutimiza kusudi lake kwa haraka kama umeme.

Ndio maana ukisoma kitabu cha Matendo ya mitume kimejaa matendo makuu mpaka kitabu kikaitwa "Matendo ya Mitume" na si mausia au maneno ya mitume.

Anania na Safira walipofanya udanganyifu, Petro alitamka neno "rhema" na ikawa vivyohivyo.

Sasa hivi, wewe hata ukipeleka sadaka pesa uliyofanya ujambazi, sawa, ulifanya ukahaba, sawa.

Neno kutoka kwa BWANA (rhema) halipo.

Sasa hivi, mtu akiuza mafuta ya upako, hata kahaba anamuuzia tu, hakuna shida, maana ni biashara kama biashara zingine.

Mafundisho yanayofundishwa makanisani sasa ni mepesi na ya kawaida. Mtu yeyote anayeweza kuongea anaweza kuhubiri bila wasiwasi.

Unaangalia tu nini kinatrendi kwa sasa, unalinganisha na maandiko ya kwenye Biblia, unashangiliwa, mchezo umeisha.

Wale wahubiri ambao hawasimami madhabahuni kuhubiri mpaka wasikie sauti ya Mungu ikiwaambia waseme nini, sasa hawapo.

Ni mazoea tu. Mtu akikumbuka niliwahi kufundisha somo fulani, nilipata credit, basi atalibeba akafundishe mahali pengine.

Kanisa limegeuka mahali pa kuanzisha vikundi vya kusaidiana na vya kikabila.

Mungu aliponye kanisa.

Muhubiri anapitia YouTube mahubiri ya wahubiri wengine, naye huyabeba kanisani kwake.

Iko wapi kazi ya Roho wa Mungu?

Watu wametengana kwa dhambi ya uzinzi, mpaka sasa wameona hakuna namna uzinzi usiwe dhambi ya kutengana, maana kanisa zima limejaa uzinzi.

Kanisa ambalo halina "NENO HAI" (rhema) ni kichaka cha uzinzi, uchawi, majungu, na kila aina ya dhambi.

Note: Watumishi wa Mungu wenye kujitoa kwa kila hali wapo, wanaotembea na Mungu kila leo wapo, ingawa ni wachache na si maarufu, wengi wao.
Video hii 👇👇 ni ya kuburudisha Uzi, haina undugu na mada hii
 
Injili ya kale ya akina Petro ilikuwa Rhema
Rhema ni neno la Mungu kwa wakati husika. Yaani Mungu anasema kwa kinywa cha mtu. Anaweza kutumia neno hili la kila siku (logos) ila anaposema Mungu mwenyewe hulitia uzima na kutimiza kusudi lake kwa haraka kama umeme.
Ndio maana ukisoma kitabu cha Matendo ya mitume kimejaa matendo makuu mpaka kitabu kikaitwa MATENDO YA MITUME na si mausia au maneno ya mitume.
Anania na safira walipofanya udanganyifu Petro alitamka neno Rhema na ikawa vivyohivyo.
Sasa hivi wewe hata ukipeleka sadaka pesa uliyofanya ujambazi sawa, ulifanya ukahaba sawa.
Neno kutoka kwa BWANA (RHEMA) halipo.
Sasa hivi mtu akiuza mafuta ya upako hata kahaba anamuuzia tu hakuna shida maana ni biashara kama biashara zingine.
Mafundisho yanayofundishwa makanisani sasa ni mepesi na ya kawaida. Mtu yeyote anayeweza kuongea anaweza kuhubiri bila wasiwasi.
Unaangalia tu nini kinatrendi kwasasa unalinganisha na maandiko ya kwenye Biblia unashangiliwa mchezo umeisha.
Wale wahubiri ambao hawasimami madhabahuni kuhubiri mpaka wasikie sauti ya Mungu ikiwaambia waseme nini sasa hawapo.
Ni mazoea tu. Mtu akikumbuka niliwahi kufundisha somo fulani nilipata credit basi atalibeba akafundishe mahali pengine.
Kanisa limegeuka mahali pa kuanzisha vikundi vya kusaidiana na vya kikabila.
Mungu aliponye kanisa.
Muhubiri anapitia YouTube mahubiri ya wahubiri wengine naye huyabeba kanisani kwake.
Iko wapi kazi ya Roho wa Mungu?
Watu wametengana kwa dhambi ya uzinzi mpaka sasa wameona hakuna namna uzinzi usiwe dhambi ya kutengana maana kanisa Zima limejaa uzinzi.
Kanisa ambalo halina NENO HAI (RHEMA) ni kichaka cha uzinzi, uchawi, majungu na kila aina ya dhambi.
10000000000%
 
Injili ya kale ya akina Petro ilikuwa Rhema.
Rhema ni neno la Mungu kwa wakati husika. Yaani Mungu anasema kwa kinywa cha mtu. Anaweza kutumia neno hili la kila siku (logos) ila anaposema Mungu mwenyewe hulitia uzima na kutimiza kusudi lake kwa haraka kama umeme.
Ndio maana ukisoma kitabu cha Matendo ya mitume kimejaa matendo makuu mpaka kitabu kikaitwa MATENDO YA MITUME na si mausia au maneno ya mitume.
Anania na safira walipofanya udanganyifu Petro alitamka neno Rhema na ikawa vivyohivyo.
Sasa hivi wewe hata ukipeleka sadaka pesa uliyofanya ujambazi sawa, ulifanya ukahaba sawa.
Neno kutoka kwa BWANA (RHEMA) halipo.
Sasa hivi mtu akiuza mafuta ya upako hata kahaba anamuuzia tu hakuna shida maana ni biashara kama biashara zingine.
Mafundisho yanayofundishwa makanisani sasa ni mepesi na ya kawaida. Mtu yeyote anayeweza kuongea anaweza kuhubiri bila wasiwasi.
Unaangalia tu nini kinatrendi kwasasa unalinganisha na maandiko ya kwenye Biblia unashangiliwa mchezo umeisha.
Wale wahubiri ambao hawasimami madhabahuni kuhubiri mpaka wasikie sauti ya Mungu ikiwaambia waseme nini sasa hawapo.
Ni mazoea tu. Mtu akikumbuka niliwahi kufundisha somo fulani nilipata credit basi atalibeba akafundishe mahali pengine.
Kanisa limegeuka mahali pa kuanzisha vikundi vya kusaidiana na vya kikabila.
Mungu aliponye kanisa.
Muhubiri anapitia YouTube mahubiri ya wahubiri wengine naye huyabeba kanisani kwake.
Iko wapi kazi ya Roho wa Mungu?
Watu wametengana kwa dhambi ya uzinzi mpaka sasa wameona hakuna namna uzinzi usiwe dhambi ya kutengana maana kanisa Zima limejaa uzinzi.
Kanisa ambalo halina NENO HAI (RHEMA) ni kichaka cha uzinzi, uchawi, majungu na kila aina ya dhambi.
Nyakati za mwisho,matetemeko,njaa,vita kila mahali,mabadiliko ya tabia Nchi!Muyaonapo hayo shangilieni huku mkijua saa ya hukumu ipo karibu!
 
Siku hizi mambo ya ndoa, malezi, mapenzi na maisha ndiyo huhubiriwa.
Kwakuwa yapo ktk jamii basi waumini huwaona wachungaji wao kuwa ni vichwa sana
Ndo iko hivyo...inafika wakati mtu huoni haja ya kumskiliza kwasababu hakuna kitu kipya atakachosema kwasababu most of them wanachokisema tayari kilishasemwa kwenye mitandao ya kijamii... sijui nini kifanyike
 
Back
Top Bottom