Watumishi wa Mungu wamekuwa wakame rohoni sasa makanisani wanafundisha falsafa za kidunia, Falsafa ambazo unaweza kuzipata popote

Nimekuelewa na kukupenda katika Bwana
 
Tuambie je wewe hutendi dhambi?
 
Nyakati za mwisho,matetemeko,njaa,vita kila mahali,mabadiliko ya tabia Nchi!Muyaonapo hayo shangilieni huku mkijua saa ya hukumu ipo karibu!
Ni wakati gani ndani ya miaka 100 iliyopita hapakuwahi kuwa na vita, njaa, matetemeko ya ardhi au ndugu kugombana. Ninaheshimu sana imani za watu wengine lakini uongo mwingi pia sio uungwana.
 
Wanahubiri tunachotaka kusikia wakuu, wala tusiwalaumu.
.β€’ Ndoa.
β€’ Maradhi(uponyaji)
β€’ Utajiri.
Hizi ndio key areas wanacheza nazo kwa sasa.
 
Ling
Ni wakati gani ndani ya miaka 100 iliyopita hapakuwahi kuwa na vita, njaa, matetemeko ya ardhi au ndugu kugombana. Ninaheshimu sana imani za watu wengine lakini uongo mwingi pia sio uungwana.
Linganisha na Sasa matukio hata kama huoni,hata chembe kubwa pia huoni?Ajali za magari huko nyumba yalikuwepo ngamia kugongana na ngamia!?Kisukari,kufeli Figo,kuparalyse,nk Soma mkuu,usijihamu kwa kuwa negative you never win at all.
 
Ling

Linganisha na Sasa matukio hata kama huoni,hata chembe kubwa pia huoni?Ajali za magari huko nyumba yalikuwepo ngamia kugongana na ngamia!?Kisukari,kufeli Figo,kuparalyse,nk Soma mkuu,usijihamu kwa kuwa negative you never win at all.
Who told you I'm looking for victory here?? Technological advancement imekuwa kubwa sana ndio maana hata kuna implantation ya hizo figo na ongezeko la magari. Kusema eti kuna mtu alipaa juu na sasa anasubiriwa kushuka, huo ni uongo according to me.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…