Watumishi wa Mungu wamekuwa wakame rohoni sasa makanisani wanafundisha falsafa za kidunia, Falsafa ambazo unaweza kuzipata popote

Ni wakati gani ndani ya miaka 100 iliyopita hapakuwahi kuwa na vita, njaa, matetemeko ya ardhi au ndugu kugombana. Ninaheshimu sana imani za watu wengine lakini uongo mwingi pia sio uungwana.
Haya nakujibu kwa takwimu.
Vipi bado hujaridhika?
 

Attachments

  • Screenshot_20230724-092826.jpg
    56.1 KB · Views: 2
  • Screenshot_20230722-133715.jpg
    44 KB · Views: 3
  • Screenshot_20230722-133432.jpg
    44 KB · Views: 2
Nimetamani nipate message hii kwa what's up yangu ili nimtumie jamaa yangu mmoja ambaye ni mfia Imani na ni mzinzi pia, hataki kuacha uzinzi, anaenda navyo vyote..
 
Hivi sasa nyumba za ibada zinakazia mambo mawili
  1. Masuala ya ndoa na mahusiano ili ku draw attention ya watu hata wasio waumini wa maeneo husika
  2. Sadaka na utoaji ili kuneemesha watumishi
 
Ni wakati gani ndani ya miaka 100 iliyopita hapakuwahi kuwa na vita, njaa, matetemeko ya ardhi au ndugu kugombana. Ninaheshimu sana imani za watu wengine lakini uongo mwingi pia sio uungwana.
Maana yake vimezidi.
 
Who told you I'm looking for victory here?? Technological advancement imekuwa kubwa sana ndio maana hata kuna implantation ya hizo figo na ongezeko la magari. Kusema eti kuna mtu alipaa juu na sasa anasubiriwa kushuka, huo ni uongo according to me.
Sasa Kama unaona ni uongo, ungekaa pembeni mada haikuhusu. Unataka kuharibu uzi.
 
By Mwl Peter Mabula.
Mtenda kazi katika shamba la Bwana YESU.
+255714252292 (Sadaka na WhatsApp)
Ubarikiwe
Maneno mengi kumbe ndio walewale tu..

Pesa pesa ni vile mnashindania waumini ili mpate pesa..

Siku za Mwisho watu watapenda pesa kuliko Mungu..

Hii pesa itapendwa na hata nyie viongozi wa dini..

Ni vile tu Mungu alijua Duniani hakuna mtakatifu. That is why kuna TOBA!
Tusiwe wepesi kuhukumu watu Kwa matendo Yao. Tuwaombee TOBA ya msamaha na reheama. Mungu wetu anatupenda SANA
 
Wakihubiri habari za wokovu na uzima wa milele mnawasema wachungaji wamepitwa na wakati na hata kanisani hamuendi, wakihubiri mambo mnayopenda kusikia mnasema wachungaji wamekengeuka kwani binadamu mnatakaje ninyi? mihemko na unafiki tu.
 
Umemaliza kuna mtu mbishi humu,kama hajapitia maoni Yako,mwache ashupaze shingo!
 
Hivi sasa nyumba za ibada zinakazia mambo mawili
  1. Masuala ya ndoa na mahusiano ili ku draw attention ya watu hata wasio waumini wa maeneo husika
  2. Sadaka na utoaji ili kuneemesha watumishi
Wanatumia ujanjaujanja
 
Churches are growing, Sinners are multiplying something must be wrong with the doctrines they are preaching.

When all people shall be wise in divine terms, Those False prophets and Bogus religious preachers who feed on the ignorance of the multitude will go hungry.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…