Watumishi wa Serikali daima ni wahanga wa wanasiasa

Watumishi wa Serikali daima ni wahanga wa wanasiasa

NewPage

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2021
Posts
1,321
Reaction score
2,106
Angalia Msukuma anavyowashambuliaga Wakurugenzi kule Jimboni kwake. Yaani Mwanasiasa yeyote akitaka kujitoa kwenye kutowajibika basi huanza kumshambulia Mtumishi wa Umma anayehusika na jambo Fulani.

Musukuma kwa kupitia Kamati inayohusika na zabuni angeweza kuzuia kile alichodai ni matumizi mabaya ya fedha za Covid lakini akajinyamazia tu na kusubiria ashambulie.

Tabia hii imekuwepo sana, anagalia juzi Ali Hapi alichofanya mbele ya Mheshimiwa Rais. Yaani always watumishi wa umma wamekuwa ni watu wa kusukumiziwa kila aina ya uozo - kuonwa wazembe, wabadhirifu, wajeuri, nk. Ilmradi tu mwanasiasa aonekanae yeye ni mfuatiliaji au ni mtendaji.

Sio kwamba watumishi wa umma wenye tabia hizo hawapo lakini wanasiasa wamezidi sana kuwasukumizia watumishi kwa makusudi kuwa wanawajibika na mauozo kama hayo.

Wanasiasa sasa wanavyojipendelea. Wao wakichaguliwa au kuteuliwa siku inayofuata huapishwa na kuanza kula maposho kede kede. Mwanasiasa akimaliza muda wake haichukui hata muda wa Mwezi mmoja kulipwa pensheni zake.

Sasa njoo kwa Mtumishi wa umma huku - akiajiriwa hata kulipwa fedha za kujikimu kwa wakati wakati ameanza kazi hamna na wengine hawajawahi hata kulipwa.

Ukipandishwa cheo ndiyo mpaka usubirie bajeti ipite eti ndiyo ulipwe. Ukiomba uhamisho utasubiria hata mwaka mzima. Ukiomba ruhusu hivyo hivyo. Ukistaafu ndiyo basi tena hayo malipo yako ya pensheni yanakuijia tayari upo choka mbaya.

Jamani jamani, wanasiasa muwe basi na huruma. Ninyi mnakula sana manono ya nchi hii, basi achene basi hata kuwapakazia tu watumishi wa umma ilimradi tu nyie mpate sifa kupitia mipakazo hiyo!
 
Kwa nini wao wanunue vitu vya bei ya Juu tena kwa mazingira ya kupiga .

Tunataka watu kama Msukuma Ili kukomesha huu upuuzi.

Hata mimi ni mtumishi,kuna mambo mengi ya hovyo yanafanyika ila kwa kuwa sio boss siwezi fanya chochote inabidi wanasiasa ndio waingilie Kati.
 
Mambo ya wanasiasa yalichangia kiasi kikubwa niachane na ajira nikawe machinga tu
 
Tabia hii imekomaa sana kipindi cha mwenda zake na bahati mbaya wanaomshauri mama hawamwambii ukweli. Huko Halmashauri wale wakurugenzi walikuwa wanatokana na wakuu wa idara na huwa na uelewa mkubwa wa masuala ya kiutendaji. Mwendazake akateua wakurugenzi toka chama watu wasiojua chochote kile.

1. Ni makosa raisi kuteua mkurugenzi na mkuu wa wilaya au mkoa uwajibikaji unapotea na sio sababu ya madudu ya kutafuna pesa na miradi kutokamilika. Miaka ya kabla ya sasa katibu mkuu utumishi alikuwa akiteua wakurugenzi mambo yalikuwa Safi.

2. Wakurugenzi ni watumishi wa umma hivyo wale wenye sifa na uzoefu wa ukuu wa idara wateuliwe ukurugenzi sio UVCCM na makada wa chama hawa hawana wanalojua na kuna siku watasababisha hasara kubwa sana.

Akhsante
 
Tabia hii imekomaa sana kipindi cha mwenda zake na bahati mbaya wanaomshauri mama hawamwambii ukweli. Huko Halmashauri wale wakurugenzi walikuwa wanatokana na wakuu wa idara na huwa na uelewa mkubwa wa masuala ya kiutendaji. Mwendazake akateua wakurugenzi toka chama watu wasiojua chochote kile....
Well said!
 
Kwa mujibu wa nani?? Na sheria gani?
Sheria ya utawala bora..check and balance huwezi wateua mtu na Bosi wake halafu utegemee waheshimiane...au hukujua kwamba mwendazake alikuwa mbumbumbu wa Uongozi. Mshaurini mama vizuri hiyo ndio inayo mkwamisha mpaka ufujaji huu unatokea.
 
Angalia Msukuma anavyowashambuliaga Wakurugenzi kule Jimboni kwake. Yaani Mwanasiasa yeyote akitaka kujitoa kwenye kutowajibika basi huanza kumshambulia Mtumishi wa Umma anayehusika na jambo Fulani.

Musukuma kwa kupitia Kamati inayohusika na zabuni angeweza kuzuia kile alichodai ni matumizi mabaya ya fedha za Covid lakini akajinyamazia tu na kusubiria ashambulie.

Tabia hii imekuwepo sana, anagalia juzi Ali Hapi alichofanya mbele ya Mheshimiwa Rais. Yaani always watumishi wa umma wamekuwa ni watu wa kusukumiziwa kila aina ya uozo - kuonwa wazembe, wabadhirifu, wajeuri, nk. Ilmradi tu mwanasiasa aonekanae yeye ni mfuatiliaji au ni mtendaji.

Sio kwamba watumishi wa umma wenye tabia hizo hawapo lakini wanasiasa wamezidi sana kuwasukumizia watumishi kwa makusudi kuwa wanawajibika na mauozo kama hayo.

Wanasiasa sasa wanavyojipendelea. Wao wakichaguliwa au kuteuliwa siku inayofuata huapishwa na kuanza kula maposho kede kede. Mwanasiasa akimaliza muda wake haichukui hata muda wa Mwezi mmoja kulipwa pensheni zake.

Sasa njoo kwa Mtumishi wa umma huku - akiajiriwa hata kulipwa fedha za kujikimu kwa wakati wakati ameanza kazi hamna na wengine hawajawahi hata kulipwa.

Ukipandishwa cheo ndiyo mpaka usubirie bajeti ipite eti ndiyo ulipwe. Ukiomba uhamisho utasubiria hata mwaka mzima. Ukiomba ruhusu hivyo hivyo. Ukistaafu ndiyo basi tena hayo malipo yako ya pensheni yanakuijia tayari upo choka mbaya.

Jamani jamani, wanasiasa muwe basi na huruma. Ninyi mnakula sana manono ya nchi hii, basi achene basi hata kuwapakazia tu watumishi wa umma ilimradi tu nyie mpate sifa kupitia mipakazo hiyo!
Tatizo la watumishi wa umma wengi ni wajinga wanasubiri huruma za wanasiasa kuteuliwa na akili imegota hapo pekee
 
Tabia hii imekomaa sana kipindi cha mwenda zake na bahati mbaya wanaomshauri mama hawamwambii ukweli. Huko Halmashauri wale wakurugenzi walikuwa wanatokana na wakuu wa idara na huwa na uelewa mkubwa wa masuala ya kiutendaji. Mwendazake akateua wakurugenzi toka chama watu wasiojua chochote kile.

1. Ni makosa raisi kuteua mkurugenzi na mkuu wa wilaya au mkoa uwajibikaji unapotea na sio sababu ya madudu ya kutafuna pesa na miradi kutokamilika. Miaka ya kabla ya sasa katibu mkuu utumishi alikuwa akiteua wakurugenzi mambo yalikuwa Safi.

2. Wakurugenzi ni watumishi wa umma hivyo wale wenye sifa na uzoefu wa ukuu wa idara wateuliwe ukurugenzi sio UVCCM na makada wa chama hawa hawana wanalojua na kuna siku watasababisha hasara kubwa sana.

Akhsante
Vyeo vimegeuzwa kuwa hisani ya makada
 
Sheria ya utawala bora..check and balance huwezi wateua mtu na Bosi wake halafu utegemee waheshimiane...au hukujua kwamba mwendazake alikuwa mbumbumbu wa Uongozi. Mshaurini mama vizuri hiyo ndio inayo mkwamisha mpaka ufujaji huu unatokea.
Unamaanisha nini? Hebu lete mifano?
 
Angalia Msukuma anavyowashambuliaga Wakurugenzi kule Jimboni kwake. Yaani Mwanasiasa yeyote akitaka kujitoa kwenye kutowajibika basi huanza kumshambulia Mtumishi wa Umma anayehusika na jambo Fulani.

Musukuma kwa kupitia Kamati inayohusika na zabuni angeweza kuzuia kile alichodai ni matumizi mabaya ya fedha za Covid lakini akajinyamazia tu na kusubiria ashambulie.

Tabia hii imekuwepo sana, anagalia juzi Ali Hapi alichofanya mbele ya Mheshimiwa Rais. Yaani always watumishi wa umma wamekuwa ni watu wa kusukumiziwa kila aina ya uozo - kuonwa wazembe, wabadhirifu, wajeuri, nk. Ilmradi tu mwanasiasa aonekanae yeye ni mfuatiliaji au ni mtendaji.

Sio kwamba watumishi wa umma wenye tabia hizo hawapo lakini wanasiasa wamezidi sana kuwasukumizia watumishi kwa makusudi kuwa wanawajibika na mauozo kama hayo.

Wanasiasa sasa wanavyojipendelea. Wao wakichaguliwa au kuteuliwa siku inayofuata huapishwa na kuanza kula maposho kede kede. Mwanasiasa akimaliza muda wake haichukui hata muda wa Mwezi mmoja kulipwa pensheni zake.

Sasa njoo kwa Mtumishi wa umma huku - akiajiriwa hata kulipwa fedha za kujikimu kwa wakati wakati ameanza kazi hamna na wengine hawajawahi hata kulipwa.

Ukipandishwa cheo ndiyo mpaka usubirie bajeti ipite eti ndiyo ulipwe. Ukiomba uhamisho utasubiria hata mwaka mzima. Ukiomba ruhusu hivyo hivyo. Ukistaafu ndiyo basi tena hayo malipo yako ya pensheni yanakuijia tayari upo choka mbaya.

Jamani jamani, wanasiasa muwe basi na huruma. Ninyi mnakula sana manono ya nchi hii, basi achene basi hata kuwapakazia tu watumishi wa umma ilimradi tu nyie mpate sifa kupitia mipakazo hiyo!
Hawajitambui acha watumike vibaya
 
Kwa nini wao wanunue vitu vya bei ya Juu tena kwa mazingira ya kupiga .

Tunataka watu kama Msukuma Ili kukomesha huu upuuzi.

Hata mimi ni mtumishi,kuna mambo mengi ya hovyo yanafanyika ila kwa kuwa sio boss siwezi fanya chochote inabidi wanasiasa ndio waingilie Kati.
Kwanini asizuie kabla?
 
Tabia hii imekomaa sana kipindi cha mwenda zake na bahati mbaya wanaomshauri mama hawamwambii ukweli. Huko Halmashauri wale wakurugenzi walikuwa wanatokana na wakuu wa idara na huwa na uelewa mkubwa wa masuala ya kiutendaji. Mwendazake akateua wakurugenzi toka chama watu wasiojua chochote kile.

1. Ni makosa raisi kuteua mkurugenzi na mkuu wa wilaya au mkoa uwajibikaji unapotea na sio sababu ya madudu ya kutafuna pesa na miradi kutokamilika. Miaka ya kabla ya sasa katibu mkuu utumishi alikuwa akiteua wakurugenzi mambo yalikuwa Safi.

2. Wakurugenzi ni watumishi wa umma hivyo wale wenye sifa na uzoefu wa ukuu wa idara wateuliwe ukurugenzi sio UVCCM na makada wa chama hawa hawana wanalojua na kuna siku watasababisha hasara kubwa sana.

Akhsante
Hakuna cha Mwendazake labda kama uliguswa na vyeti feki. Miaka yote nafasi za ukuu wa wilaya na ukurugenzi ziligeuzwa kuwa sehemu ya kunufaisha vijana wao. Angalia yule Mkurugenzi wa jiji aliyetrumbuliwa na Magufuli bw. Wilson Kabwe (RIP). Alikuwepo tangu enzi za Kikwete. Aliwapiga Mbeya, akahamishwa. Akwapiga Mwanza akahamishwa. Akaja Dar akawapiga na kukutana na Magu. Sababu kubwa ilikuwa ni uhusiano na Pinda, akijiita mtoto wa mkulima. Foool! Ni wachache sana waliokuwa wakipanda tokana na seniority yao.
 
Hakuna cha Mwendazake labda kama uliguswa na vyeti feki. Miaka yote nafasi za ukuu wa wilaya na ukurugenzi ziligeuzwa kuwa sehemu ya kunufaisha vijana wao. Angalia yule Mkurugenzi wa jiji aliyetrumbuliwa na Magufuli bw. Wilson Kabwe (RIP). Alikuwepo tangu enzi za Kikwete. Aliwapiga Mbeya, akahamishwa. Akwapiga Mwanza akahamishwa. Akaja Dar akawapiga na kukutana na Magu. Sababu kubwa ilikuwa ni uhusiano na Pinda, akijiita mtoto wa mkulima. Foool! Ni wachache sana waliokuwa wakipanda tokana na seniority yao.
Alikuwa anawapigaje kweni?
 
Back
Top Bottom