Blackcornshman
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 6,514
- 15,701
Hahahaaaaa dah.Analysis ya impact ya vita ya Uganda hata mtoto wa FORM TWO anafanya. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kipi cha ajabu hapo chenye hadhi ya kijasusi? Mmejaa ushamba wa kitanganyika pamoja na elimu duni.
Impact of Uganda war? Kazi ya kitoto ya FORM TWO [emoji18]
Nyie majasusi uchwara ndio maana Magufuli alikuwa anawadharau tu. Akili hamna.
Hata kujenga FLYOVER hamuwezi, mmekazana na ma-theories ya Uganda war.
Watu wanataka chakula na maendeleo, sio hayo matakataka ya Uganda. [emoji13][emoji13][emoji13]
Chadema bado sana wenzako sasa wanapata asali kwanza wewe endelea kuumia.Mtajijua CCM wenyewe Sina sababu ya kuhudhuria msiba wakati haunihusu. The more mnapigana wenyewe kwa wenyewe ndio the more Chadema becomes stronger.
Huoni mpaka leo unaendelea kumkumbuka kwa kukunyoosha!!?Kamnyoosha nani wakati aliondolewa kimasikhara vile.
sio TISS ni makadaKwa mbulula wa humu ukitaja dgi wa eagle kuanzia mzee emilio mzena ,laurensi gama,hassy kitine, balozi augustine mahiga ,kornel apson mwangonda,RO rashid othman,mchungaji pasta wa bot na nida,msuya,na huyu wa sasa. Membe alikuwa level za hao seniors idara ya recruitment ambayo ndio ya uzalishaji wa majasusi na msiofahamu aliekuwa dgi wakati wa magufuli mchungaji alitengenezwa na hayati membe na membe alitengenezwa na laurensi gama ! Mbuzi nyie !
Na mwijakuHata babalevo ni TISS wa miaka mingi tangu akiwa kigoma
Membe kabla ya serikali ya awamu ya tano kumnyanyua kisiasa alikuwa afisa wa usalama wa kawaida tu hakuna cha maana sana alichokuwa amefanya zaidi ya wengine.
Haya tuambie na wewe unachojua kuhusu Marehemu Membe?Watu mnajiongelesha sana humu na facts hamna. Haya endelea kufurahisha mikono kwenye keyboard yako 🙂
Mahiga sio Usalama tu bali alikuwa ni Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa miaka 1980s...naskia marehemu Augustino Mahiga nae alikuwa TISS
Wakati wa Mapinduzi ya Kina HansPop miaka ya 80s Mahinga ndio alikuwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa...Sikumbuki vizuri kama wasifu wa Mahiga walisema alikuwa TISS anaekumbuka atujuze
Tema mate chini kaka, alafu yakisha kauka endelea na misele yako...Membe kabla ya serikali ya awamu ya tano kumnyanyua kisiasa alikuwa afisa wa usalama wa kawaida tu hakuna cha maana sana alichokuwa amefanya zaidi ya wengine.
Alikuwa maarufu sababu alikuwa waziri w ndani na pia mambo ya nje, na hata Mahiga katika muda mfupi wa kuwa waziri alitokea kuwa maarufu.Binafsi sijawahi kusikia mtumishi wa TISS anakuwa maarufu zaidi wale walishika Ukurugenzi wa hiyo Idara! ila kuna mtu mmoja kila anapotajwa basi TISS lazima itajwe! Mbona umnaitumia idara yetu ya usalama wa Taifa kwa manufaa yenu binafsi? Imekuwa too- much sasa kila anapotajwa Membe na TISS lazima ihusishwe as if yeye ndiye Raia wa Kwanza nchini Tanzania kuwa mwajiliwa wa TISS au wa mwisho!
Sitaki kuamini kuwa yeye alikuwa Waziri wa kwanza au mwanasiasa wa kwanza kuwa mtumishi wa idara ya usalama wa taifa (TISS) na wala sitaki kuamini kuwa hakuna watumishi wa TISS waliostafu nje ya Marehemu Membe! ila sasa hii kuwa Usalama wa Taifa haikupi ticket yawewe kufanya utakavyo kwa mgongo wa TISS wala haikupi ticket yawewe kila unapopata nafasi ya juu kujitutumia na Utiss wako.
Kang'olewa Mtu jitu bin Jabali iliaeaminika hazuiliki bila ya heka heka na Nchi imerejea kwn reli halafu unasema kuna waganga njaa?TISS iliishia kwakina mwang'onda wengine ni waganga njaa [emoji41][emoji41]
Vita ya Kagera iliisha 1986 alipoingizwa Mtu wetu Yoweri Kaguta. museveniMwaka 1983 vita ilishaisha tangu 1980 sasa auwawe kwa lipi au alibuki kitu!!?
Yeye alikuwa ni kiongozi mwandamizi ! Au wewe inakuuma nini! Au ulitaka aseme yeye alikuwa anafanya kazi Chama Cha Walimu Tanzania! Tumia muda wako mwingi kuficha wehu ulionao!Binafsi sijawahi kusikia mtumishi wa TISS anakuwa maarufu zaidi wale walishika Ukurugenzi wa hiyo Idara! ila kuna mtu mmoja kila anapotajwa basi TISS lazima itajwe! Mbona umnaitumia idara yetu ya usalama wa Taifa kwa manufaa yenu binafsi? Imekuwa too- much sasa kila anapotajwa Membe na TISS lazima ihusishwe as if yeye ndiye Raia wa Kwanza nchini Tanzania kuwa mwajiliwa wa TISS au wa mwisho!
Sitaki kuamini kuwa yeye alikuwa Waziri wa kwanza au mwanasiasa wa kwanza kuwa mtumishi wa idara ya usalama wa taifa (TISS) na wala sitaki kuamini kuwa hakuna watumishi wa TISS waliostafu nje ya Marehemu Membe! ila sasa hii kuwa Usalama wa Taifa haikupi ticket yawewe kufanya utakavyo kwa mgongo wa TISS wala haikupi ticket yawewe kila unapopata nafasi ya juu kujitutumia na Utiss wako.
Mkuu unaposema "mission ngumu" unaelewa maana yake kweli?? Kufa/ kuponea chupu chupu kuuawa haitoshi kuipa ugumu kazi iliyokuwa inafanyika. Kuna vitu vigumu watu wamefanya na wametulia tu Kama hawapo.Mission za kitaifa na kimataifa alizoshiriki membe nikikutajia utalia machozi kwa kumsimanga : mwaka 1983 akifanya analysis ya impact ya vita ya uganda aliponea chupu kuuwawa mbarara uganda acheni ujinga kuna watu wameitumikia nchi hii kuliko mbuzi wengi wa facebook mlioko humu.
Mkuu vita kati ya TZ na UG iliisha 1980 hizi za kila Lule, Mseveni na wengine hazikuwa vita kati ya TZ na UG.Vita ya Kagera iliisha 1986 alipoingizwa Mtu wetu Yoweri Kaguta. museveni
1980 iliisha vita ya kumtoa Iddy Amini ikaendelea ya kupandikiza vibaraka
Vijana mnaniangusha sana kwa kutojua mambo obvious kama haya
walipita ma Rais kama watatu na wote tukawatoa hadi ilipofika Museven tukaridhika tukarudisha majembe store
Je umewaza kama lengo ilikua sio kuuwa bali kumtisha na kumpunguza morali? Hapo vipi!?Hii point uliyoongea hapa, ilitakiwa iwe tayari imeshakupa ufahamu wa kuwa shambulio la TL halikufanywa na professionals bali amateurs
Ingekuwa Serikali risasi moja tu ilikuwa inatosha. Professionals huwa hawafanyi kazi kwa panic au kwa kuogopa; wanamwogppa nani?
Wakati mwingine mtakuja kuwa mnaharibu mahusianao yenu na Serikali kwa kushindwa kuwa na ule ufahamu wa kawaida tu wa kuchambua mambo. Wewe tayari tukio unaliona kwa mtizamo huu uliousema hapa, halafu bado unadhani kuwa ilikuwa ni Serikali! Yaani unakuwa kama huna akili ya kuchambua mambo
Mahiga hakua na Makuu bwana Kiranga? Ushawahi lisikia jina La masikhara la Posh Boy?Dr. Mahiga alikaimu Ukurugenzi wa Idara ya Usalama (enzi hizo kitengo cha Ikulu, kabla TISS haijaanzishwa rasmi kisheria).
Na alikuwa ni sehemu ya timu iliyopangua jaribio la kumpindua Nyerere miaka ya mwanzo ya 1980s.
Ukisoma kesi ya uhaini iliyotokana na jaribio hilo la Mapinduzi, Dr. Mahiga alikuwa shahidi aliyepewa jina la "Mr. X".
Baada ya hapo alipelekwa nje sana, Canada, Uswizi, Liberia, India, Italy, akifanyia kazi mashirika ya UN kama UNHCR na serikali ya Tanzania, kabla ya kupewa ubalozi kamili na rais Mkapa na kutumikia kama Muwakilishi wa Tanzania katika UBalozi wa Tanzania Umoja wa Mataifa, New York City, kuanzia mwaka 2003, kisha akarudi kufanya kazi Umoja wa Mataifa kama Muwakilishi Maalum wa Umoja wa Mataifa Somalia, kisha akaja kugombea urais Tanzania, na baadaye akateuliwa na Magufuli kuwa Waziri wa Mambo ya Nje, kisha Waziri wa Sheria, mpaka mauti yalipomkuta.
Alivyokuwa Usalama, tukiwa wadogo, tulikuwa tunajua Mzee Mahiga anafanya kazi muhimu Ikulu, lakini hatukuwahi kujua kama alikuwa bosi wa Usalama wa Taifa.
Alijiweka kuwa kama mtu wa kawaida sana.
Mpaka alivyokuja kuw balozi alikuwa anajichanganya sana na Watanzania kwa unyenyekevu mzuri tu kama mtumishi wa serikali.
Watu walikuwa wanamshobokea mshua wa watu kwa sababu zao tu.Mahiga hakua na Makuu bwana Kiranga? Ushawahi lisikia jina La masikhara la Posh Boy?