dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Inasemekana alikuwa ndio dgis mdg kuwai kushika nafasi ileWalisema, Mahiga alikuwa DGIS kipindi cha Nyerere yule.
kwanza wewe mkimbizi kutoka congo kuna ambacho unakijua kaa kimya mbwa weweVipi JPM mbona aliondoka kimya kimya au hao professionals walikua wapi kumlinda kiasi afe kizembe vile?
Lissu alipona sababu ya Mungu tu ila plan ya JPM wa clear kwamba auwawe painful death Tena kwa uwazi Ili wakosoaji wote waogope. Unfortunately Mungu alivyo mkubwa Lissu alipona na akafanya kampeni nchi nzima. Cha ajabu yule aliyemmiminia risasi 30 alikua hoi, kampeni hakufanya mikoa yote na Bado akafa kimasihara tu!!
Mungu hadhihakiwi. Wote mliohusika na uhuni ule mtalipiwa hapa hapa duniani.
Usisikie tu, tena Mahiga alikuwa mbobezi zaidi.naskia marehemu Augustino Mahiga nae alikuwa TISS
Hao ni wa admin, lakini wale wengine wa kwenye field hawatakiwa kujulikana kabisa, mfano, mlinzi wa godown, mzoa taka, mwalimu na mwanafunzi wa elimu hasa ya juu.
Vilaza mnajishuku sana, ndio maana nimekuwahi ili nikupe nyundo za utosi haraka haraka.Kwanini umenijibu mambo ya hovyo ambayo hayaendani na nilichoandika Mkuu ? , upo akilini mwangu hadi ujue nimeogopa kumsema directly ?
Nimerusha jiwe gizani unatoka unalia
Niko hapa S....L napata Al Kasus....mzee mmoja anatudadavulia mambo kuhusu hayati Membe....anasema.....
Hao wasiojulikana ni wale wafafuta habari.....
Hao wasiojulikana ni wale waliopo katika operesheni.....
Hao wasiojulikana ni wale WACHAKATA HABARI waliopo maofisini kwao.....
Wale MaTop DG ,DEPUTY wake WANAFAHAMIKA....
Wale wanadiplomasia wako wanaofahamika na wachache....na wako wasiofahamika kabisa......
Huko nyuma hayati Membe alikuwa anafahamika na wachache kwani ameshawahi kuwa MKUU WA CHUO CHA DIPLOMASIA(kawaida kwa mawaziri wa mambo ya nje) na waliokuwa wanamfahamu ni wale waliokuwa wanadili na mambo ga sheria+DIPLOMASIA....mitaani hakujulikana....alikuja kujulikana na wengi miaka michache iliyopita tena kwa KUSEMA MWENYEWE.....
Unakumbuka hayati JPM alipata kumtambulisha DG mstaafu Diwani Athumani Msuya kwa balozi S.SIRRO akiwa IGP kuwa huyo naye ndio "haohao"?!!!!Sirro akatoa macho tu[emoji1787][emoji1787]
Hapa ni kuwa Diwani Athumani alishafika nafasi za kuweza kujulikana na kila mtu hata mtoto [emoji1787][emoji1787]
Huyu mzee ananitemea haya madini huku vichupa vya kahawa vya shilingi 500 vikiendelea kushambuliwa hapa.....leo ninaweza KUCHELEWA kurudi kwangu kwa Mtogole.....
Every one in this country seems to know TISS a lotNiko hapa S....L napata Al Kasus....mzee mmoja anatudadavulia mambo kuhusu hayati Membe....anasema.....
Hao wasiojulikana ni wale wafafuta habari.....
Hao wasiojulikana ni wale waliopo katika operesheni.....
Hao wasiojulikana ni wale WACHAKATA HABARI waliopo maofisini kwao.....
Wale MaTop DG ,DEPUTY wake WANAFAHAMIKA....
Wale wanadiplomasia wako wanaofahamika na wachache....na wako wasiofahamika kabisa......
Huko nyuma hayati Membe alikuwa anafahamika na wachache kwani ameshawahi kuwa MKUU WA CHUO CHA DIPLOMASIA(kawaida kwa mawaziri wa mambo ya nje) na waliokuwa wanamfahamu ni wale waliokuwa wanadili na mambo ga sheria+DIPLOMASIA....mitaani hakujulikana....alikuja kujulikana na wengi miaka michache iliyopita tena kwa KUSEMA MWENYEWE.....
Unakumbuka hayati JPM alipata kumtambulisha DG mstaafu Diwani Athumani Msuya kwa balozi S.SIRRO akiwa IGP kuwa huyo naye ndio "haohao"?!!!!Sirro akatoa macho tu[emoji1787][emoji1787]
Hapa ni kuwa Diwani Athumani alishafika nafasi za kuweza kujulikana na kila mtu hata mtoto [emoji1787][emoji1787]
Huyu mzee ananitemea haya madini huku vichupa vya kahawa vya shilingi 500 vikiendelea kushambuliwa hapa.....leo ninaweza KUCHELEWA kurudi kwangu kwa Mtogole.....
Jlasusi muuajiHujui kitu kwa taarifa yako Magufuli alikuwa pia ni Jasusi.
Wako tunalewa wote viti virefu na wanaringia UTIS. Hapa kijitonyama wengine wanakuja pub na bastola zinaninginia matakoni kishamba tu! Wengi ni Maafisa Ulevi wa Taifa! Acha jasusi mbobezi ajitofautishe na hao wapuuzi!
Sirro hakuamini majicho nazani ali tukana sana kimoyomoyo [emoji81][emoji81]Niko hapa S....L napata Al Kasus....mzee mmoja anatudadavulia mambo kuhusu hayati Membe....anasema.....
Hao wasiojulikana ni wale wafafuta habari.....
Hao wasiojulikana ni wale waliopo katika operesheni.....
Hao wasiojulikana ni wale WACHAKATA HABARI waliopo maofisini kwao.....
Wale MaTop DG ,DEPUTY wake WANAFAHAMIKA....
Wale wanadiplomasia wako wanaofahamika na wachache....na wako wasiofahamika kabisa......
Huko nyuma hayati Membe alikuwa anafahamika na wachache kwani ameshawahi kuwa MKUU WA CHUO CHA DIPLOMASIA(kawaida kwa mawaziri wa mambo ya nje) na waliokuwa wanamfahamu ni wale waliokuwa wanadili na mambo ga sheria+DIPLOMASIA....mitaani hakujulikana....alikuja kujulikana na wengi miaka michache iliyopita tena kwa KUSEMA MWENYEWE.....
Unakumbuka hayati JPM alipata kumtambulisha DG mstaafu Diwani Athumani Msuya kwa balozi S.SIRRO akiwa IGP kuwa huyo naye ndio "haohao"?!!!!Sirro akatoa macho tu[emoji1787][emoji1787]
Hapa ni kuwa Diwani Athumani alishafika nafasi za kuweza kujulikana na kila mtu hata mtoto [emoji1787][emoji1787]
Huyu mzee ananitemea haya madini huku vichupa vya kahawa vya shilingi 500 vikiendelea kushambuliwa hapa.....leo ninaweza KUCHELEWA kurudi kwangu kwa Mtogole.....
Huna unalojua kabisa kama serikali haihusiki hao wanaochafua serikali waliokamatwa lini?Wewe unaona kuzima Kamera ni dili sana kwamba ni lazima lifanywe na wahusika wa eneo?
Kama kamera zisingezimwa, waliokuwa wamesudia kuichafua Serikali wasingefanikiwaje sasa kuichafua Serikali?
Eneo lilikuwa linalindwa na Security guards na si Polisi
Kwa nini baada ya kushambuliwa, TL hakupelekwa kwenye matibabu kama alivyostahili?
Kwa nini mshahara wake ulisitishwa? Unadhani kwa sababu waliokuwa wanafanya hivi walikuwa ni Serikali?
Mshahara ulisitishwa kwa nia moja tu kwamba ili ijulikane kuwa mhusika alikuwa ni Serikali. Amka bado uko usingizini
Kwenye hili naomba usininibishie kwa sababu nina data zaidi ya hizi ila siwezi kuziandika hapa
Well Noted MkuuMission za kitaifa na kimataifa alizoshiriki membe nikikutajia utalia machozi kwa kumsimanga : mwaka 1983 akifanya analysis ya impact ya vita ya uganda aliponea chupu kuuwawa mbarara uganda acheni ujinga kuna watu wameitumikia nchi hii kuliko mbuzi wengi wa facebook mlioko humu.
Jibu swali kama hao TISS ni professionals kiasi hawawezi mkosa Lissu kwa risasi niambie ilikuaje wakashindwa mlinda Ibilisi wenu Hadi akafa kizembe zembe vile?kwanza wewe mkimbizi kutoka congo kuna ambacho unakijua kaa kimya mbwa wewe
You must not be serious, unataka kusema hata Ramadhani Igondu siyo maarufu?! Pamoja na kug'oa na makende ya Dkt Ulimboka?Binafsi sijawahi kusikia mtumishi wa TISS anakuwa maarufu zaidi wale walishika Ukurugenzi wa hiyo Idara! ila kuna mtu mmoja kila anapotajwa basi TISS lazima itajwe! Mbona umnaitumia idara yetu ya usalama wa Taifa kwa manufaa yenu binafsi? Imekuwa too- much sasa kila anapotajwa Membe na TISS lazima ihusishwe as if yeye ndiye Raia wa Kwanza nchini Tanzania kuwa mwajiliwa wa TISS au wa mwisho!
Sitaki kuamini kuwa yeye alikuwa Waziri wa kwanza au mwanasiasa wa kwanza kuwa mtumishi wa idara ya usalama wa taifa (TISS) na wala sitaki kuamini kuwa hakuna watumishi wa TISS waliostafu nje ya Marehemu Membe! ila sasa hii kuwa Usalama wa Taifa haikupi ticket yawewe kufanya utakavyo kwa mgongo wa TISS wala haikupi ticket yawewe kila unapopata nafasi ya juu kujitutumia na Utiss wako.
Tena akiwa na miaka 33 tuWalisema, Mahiga alikuwa DGIS kipindi cha Nyerere yule.
Bado analysisi yako hapa ina-support statement yangu kwamba Serikali haikuhusika, especially JPM!Huna unalojua kabisa kama serikali haihusiki hao wanaochafua serikali waliokamatwa lini?
Kama serikali haihusiki kwanini ikatae kulipa stahiki za kiafya kama sheria inavyotaka?
Kama serikali haihusiki kwanini hakuna uchunguzi mpaka Leo?
Kama serikali haihusiki kwanini Ile Nissan Patrol haijakamatwa mpaka Leo?
Kama serikali haihusiki raia wa kawaida anaweza vamia eneo la viongozi wa serikali na akatoka salama? Maadam umesema ni amateurs Ina maana wameacha traces nyingi Sasa how comes hawajakamatwa?
Maana unavyoongea ni kana kwamba mtu akiuwawa na kikundi kisicho Cha serikali basi haitakiwi serikali kuchunguza.... Kwani Hawa majambazi wanaokamatwa Kila siku huwa wanatumwa na serikali?
We hubiri wasabato wenzio huko Kigamboni mambo ya siasa huelewi.
Ngalo wela....Huyo Mahiga ndo ameshika nafasi ya ukurugenzi wa TISS akiwa kijana wa miaka 35 tu.!
🤣🤣🤣Kila kukicha kuna watu tofaut humu wanajifanya Ni watu wa mfumo