SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Nyie mliokuwa mnafadhiliwa na Magufuli ndiyo ndiyo mnakomeshwa kila leo hamuishi kupiga mayowe mbwakoko nyie.Ngoja mkomeshwe mataahira nyie!
Hivi mlifikiri Magufuli anafanya vile kwa faida zake?
Alikuwa anajaribu kuwatetea nyie mbugilambugila ila makaishia kumtukana,,
Na bado, mbona mtaimba tu haleluya
Tunawasubiri tuwape fremu nao wafanye biashara baada ya kustaafu.TRA kuna baadhi ya watumishi wanaonra sana wivu wafanyabiashara.
TRA kuna wengine imekuwa kichaka cha wababaishaji na watu wanaodhulumu wengine kwa kujidai wanatimiza sheria.
Wengi ni wala rushwa wakubwa. Na cha kushangaza, they always seem to get away with it.
Haya bwana......
Kuiondoa CCM na Katiba MpyaKuna jamaa mmoja alitoa malalamiko yake kwa waziri mkuu kipindi Magufuli akiwa hai. Magufuli akaagiza wahusika washughulikiwe. Ilipigwa dana dana na jamaa karibia angeuawa. Mara ya mwisho nilisikia walikuwa wamemgeuzia kibao. Nataka tu kukuambia kuwa hii mitandao inahusisha mpaka mawaziri na vyombo vya dola. Dawa ni kuiondoa CCM.
Inakuwaje Kidata hayaoni haya sasa mpaka yanakuja kutamkwa mbele ya Waziri Mkuu?Kidata anafanya vizuri wamwache aisee!
Nasikia ako na maono mazuri sana ya hiyo TRA.
Hizo tuhuma zichunguzwe iwapo ikithibitika kuna ukweli wahusika wachukuliwe hatua stahiki.
Sio kila tatizo ufukuze kiongozi , ni afadhali kushughulikia tatizo kwa kushirikiana na uongozi badala ya kutimua kiongozi.
Tena angekuwa ni ME,ndo angekomolewa haswa.si unajua adui wa mwanaume ni mwanaume!! Ila Hawa TRA ni shida aise .wanalefusha kamba Sana mpaka zinapita kipimo Chao.Wamefanya hivyo kwa sababu ni mwamke mwanaume wasingesubutu naona kuna chuki sana kwa kina mama Tanzania
Inakuwaje Kidata hayaoni haya sasa mpaka yanakuja kutamkwa mbele ya Waziri Mkuu?
Mimi si mjuzi lakini nahisi ni yeye, naskia hadialichunguzwa kwa kablasha la kuingiza bidhaa kwa magendoHuyu Mama Bonge ndiyo zile clips zake zilivuja kwenye mitandao zikimuhusisha hadi Waziri Mkuu!? Au huyu mwingine!!? Maana issue nayo ilikua ni Vitenge!!! Wajuzi wa Mambo naomba Mtujuze pls!!!
Ni miaka mitano sio miwili, mitano kwenda nyuma kuanzia siku aliyotoa tamko hilo.Rais Samia alikwisha piga marufuku kudai hizo kodi accumulated zaidi ya miaka 2
Yule Maza wa vitenge yuleMwanamke gani wa kuombwa ngono?
Yule chibonge?
Naongea yeye hajamsikia kamishna kidata nae taarifa alinazo kuhusu huyo mwanamama zimekaaje? Tumesikia upande 1 huyo mfanyabiasharaMh Rais na viongozi wote kwa ujumla embu tungeni adhabu ya kuwanyonga maofisia wanao fanya mambo yakinyama kama haya kweli huyu mwanamke amefanyiwa haya yote kwa fitina hao walio mtengenezea fitina wanajulikana why kukaa kimya?
Msikilize vizuri. Hajasema aliombwa rushwa ya bilion 30. Na hajatamka neno rushwa. Huyu mleta mada wetu ndio ame introduce rushwa.Kwamba, hivi huyu mama anaweza kuwa na biashara kubwa kiasi gani ya kutoa rushwa ya TZS 30bn au 15bn au 10bn na bado akaendelea ku - survive katika game ya biashara?
Huo mzigo ulikamatwa 2018 meko akiwapo,acha kumsifia punguani mwenzakoMagufuli alikuwa akiwashughulikia hao kwa kuwatimua mnasema ana wivu na matajiri.
Mbwa kabisa
Tanzania kontena la vitenge 40ft ushuru wake 300m yani maajabu..Sidhani kama walitaka pesa per ser, japo angetoa pesa wangechukua, mimi nadhani kuna competitor alitaka amtoe Mama Bonge kwenye reli kwa kuwatumia maafisa TRA. Haiingii akilini 30B kodi anatengeneza nuclear kwani?
Skandali.....Huyu Mama ni mmoja kati ya walioongea jana mbele ya PM. Alidaiwa kodi ya Tsh 30 Billion kwa containers zake 10 alizo import. Baada ya kuonyesha kuwa hana hizo fedha akatengenezewa mashtaka ya uhujumu uchumi. Waliosokia kikao cha PM wakamfutia shtaka la uhujumu uchumi. Na kisha usiku wa kuamkia mkutano wa PM wakamuita akatoe mzigo.
Hivi ni vitendo vinavyorudisha nyuma maendeleo ya wafanyabiashara na nchi kwa ujumla. Nashauri vyombo vya dola vishughulike na Meneja TRA wa Mkoa wa Ilala pale Kipata na wengine wote waliohusika
View attachment 2626036
Tunapotaka somo la "KUKURU" liingizwe katika MITAALA ya shule za msingi kwa kushirikiana TAKUKURU-WIZARA YA ELIMU tunamaanisha.....Hao maafisa walitaka rushwa Kwa huyo mama, in short hao ma officer ni wahuni na washenz.i na wahujumu uchumi na Hawana utu wangetakiwa wamsaidie, Huwa nawaza why Watanzania tunapenda kukomoana hivi, huyu mama kumfungia kumeharibu uchumi na kuathiri aliowaajiri na kumtegemea, na hao ma officer hawakufikiria kweli multiplier effect yake. Saa ingine watu watumie busara kuangalia mambo Kwa upana faida na hasara then wa negotiate
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]TRA: ^Njoo uchukue mzigo wako^
Mama: ^Nangoja hadi nilipe hizo bilioni 30. Au mmeshazilipa tayari?^ haha
Hakika hao TRA wanastahiri kinachowahusu.Huyu Mama ni mmoja kati ya walioongea jana mbele ya PM. Alidaiwa kodi ya Tsh 30 Billion kwa containers zake 10 alizo import. Baada ya kuonyesha kuwa hana hizo fedha akatengenezewa mashtaka ya uhujumu uchumi. Waliosokia kikao cha PM wakamfutia shtaka la uhujumu uchumi. Na kisha usiku wa kuamkia mkutano wa PM wakamuita akatoe mzigo.
Hivi ni vitendo vinavyorudisha nyuma maendeleo ya wafanyabiashara na nchi kwa ujumla. Nashauri vyombo vya dola vishughulike na Meneja TRA wa Mkoa wa Ilala pale Kipata na wengine wote waliohusika
View attachment 2626036
Sasa hao TRA unazani utaweza kuwatumia bure? Huyo competitor kamwaga notiSidhani kama walitaka pesa per ser, japo angetoa pesa wangechukua, mimi nadhani kuna competitor alitaka amtoe Mama Bonge kwenye reli kwa kuwatumia maafisa TRA. Haiingii akilini 30B kodi anatengeneza nuclear kwani?
Wewe hata hujielewi, wale wafanyabiashara wamekiri kukwepa kodi kwasababu kodi sio rafiki. Tanzania kodi ni kubwa mno inabidi waweke kodi rafiki biashara ifanyike bila vikwazoWetu wanajua sana kucomment!Taarifa zilizopo yule mama ni Mjanja Mjanja sana!Hivi tangia lini mfanyabiashara amekuwa rafiki wa kodi?
Taarifa za yule Mama zipo wazi sana muda,bahati mbaya ndio mnamsikia leo!Ni tycoon wa michezo ya kumkwepa zakayo!
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app