Magufuli alikuwa akiwashughulikia hao kwa kuwatimua mnasema ana wivu na matajiri.
Mbwa kabisa
Hata kwenye magari bado wanapiga iweje calculator ya TRA iseme utalipa 7mln lkn afisa wa TRA anakuongezea 1.5mln maanake ni kwamba kuna wanaongezewa na wasioongezewaWanastahili adhabu ila wasinyongwe, ukianza kunyonga basi utanyonga waishe maana wasafi wanaweza kuwa wachache sana. Ukumbuke kuna Polisi, Halmashauri, wizarani na hata sekta binafsi. Kote huko kuna watu wa aina hii. Hapo hujagusa wanasiasa.
Wapunguziwe majaribu, mfumo wa kodi uwe digital kupunguza uhusiano wa moja kwa moja wa mlipa kodi na afisa. Tuwekeze kwenye technology.
Mfano magari zamani makadirio walikuwa wanapiga sana, sasa hivi hilo jaribu wameepushwa nalo.
Tusiwekeze kwenye uzalendo kwa mtindo wa kuacha mianya ya mtu kushawishiwa au kushawishi kupata kitu.
Na wao ma officer wanajua kuwa mfanyabiashara anaokota tu pesa hovyo hovyo ndio maana ni rahisi kumfungia mtu biashara hafu alipe Tena Kodi juu. Nchi hii tukibadili namna ya kufikiria na utendaji tutapiga hatua mbeleWengi wao hawajui adha wanazozipitia wafabiashara. Wanachojua wao ni kuhesabu pesa zilizoingia kwa siku baada ya kukaridia kiwango cha juu cha kodi. Shame!
Kwenye magari? Inawezekana ila haijanitokea. Anyway kama ipo basi imepungua sana tofauti na kipindi cha ukaguzi wa kutumia macho.Hata kwenye magari bado wanapiga iweje calculator ya TRA iseme utalipa 7mln lkn afisa wa TRA anakuongezea 1.5mln maanake ni kwamba kuna wanaongezewa na wasioongezewa
Matokeo yake ni kwamba bidhaa zitakuwa zikipinda bei siku kwa siku, na wala hakutakuwa na bei maalum, moja, kwa bidhaa ileile.Na wao ma officer wanajua kuwa mfanyabiashara anaokota tu pesa hovyo hovyo ndio maana ni rahisi kumfungia mtu biashara hafu alipe Tena Kodi juu. Nchi hii tukibadili namna ya kufikiria na utendaji tutapiga hatua mbele
Tanzania ndio taifa pekee ambalo raia wake hawajui wanataka nini,akija mtu wa kupenda haki wanamuita dikteta,akija mtu mpole na asiyefuatilia ipasavyo watumishi wake madhara yakijitokeza pia wanalalamika[emoji4]Magufuli alikuwa akiwashughulikia hao kwa kuwatimua mnasema ana wivu na matajiri.
Mbwa kabisa
Ngoja mkomeshwe mataahira nyie!Mbwa mwenyewe na sukuma Gang wote
Tanzania kama nchi imeharibika ( rushwa imekuwa kala haki ya waombaji ), hakuna pa kukimbilia karibia kila taasisi imechafuka. Ofisa wengi wa TRA wanapenda kutishia uhujumu uchumiHao maafisa walitaka rushwa Kwa huyo mama, in short hao ma officer ni wahuni na washenz.i na wahujumu uchumi na Hawana utu wangetakiwa wamsaidie, Huwa nawaza why Watanzania tunapenda kukomoana hivi, huyu mama kumfungia kumeharibu uchumi na kuathiri aliowaajiri na kumtegemea, na hao ma officer hawakufikiria kweli multiplier effect yake. Saa ingine watu watumie busara kuangalia mambo Kwa upana faida na hasara then wa negotiate
Ndio maana awamu hii mfumuko wa Bei ni mkubwa kupita maelezo, na hela yenyewe mtaani ngumu kupatikana, magufuli aliweza mno ku control mfumuko wa Bei nchini, ila awamu hii Bora liende, wizara ka ya fedha inabidi ipate waziri mwingine design ya Dr Mpango bila hivo Hali ni mbaya mtaani hukuMatokeo yake ni kwamba bidhaa zitakuwa zikipinda bei siku kwa siku, na wala hakutakuwa na bei maalum, moja, kwa bidhaa ileile.
Mfanyabiashara aliyekadiriwa kodi ya juu, automatically bidhaa yake itakuwa ghali kuliko yule ambaye amebahatika kupata unafuu wa kodi.
Lazima walaji wa mwisho (consumers) wataumia, na ndiyo sababu umaskini unazidi kuongezeka kwa kasi sana nchini.
Mbona una hasira sana?Yaani wewe ni fala kweli, utaacha watu wakufikirie kuwa ni [emoji304] na jamaa alikupitia. Hapa waliokuwa wana makosa ni watumishi wa TRA wataka rushwa hivyo ulitaka huyo Tajiri aliyebambikwa ndio ashughulikiwe? Unapenda kumtaja kwa sifa bwana ako bila kujua hata mantiki ya hoja. Mchizi we!
Kwa mtindo huo Sasa mbona tunakuwa na sifa za failed state licha ya kuwa na vyombo vyote muhimuTanzania kama nchi imeharibika ( rushwa imekuwa kala haki ya waombaji ), hakuna pa kukimbilia karibia kila taasisi imechafuka. Ofisa wengi wa TRA wanapenda kutishia uhujumu uchumi
Wetu wanajua sana kucomment!Taarifa zilizopo yule mama ni Mjanja Mjanja sana!Hivi tangia lini mfanyabiashara amekuwa rafiki wa kodi?Mambo mengi ni mazito, Heri kukaa kimya[emoji3][emoji2221]
Kwa sehemu ni failed state. Hatuna pa kukimbilia, ushahidi yaliyotokea jana hadi mda huu wanatafuta kuokoanaKwa mtindo huo Sasa mbona tunakuwa na sifa za failed state licha ya kuwa na vyombo vyote muhimu
Habari , niliku dm ndugu for emergencyHao maafisa walitaka rushwa Kwa huyo mama, in short hao ma officer ni wahuni na washenz.i na wahujumu uchumi na Hawana utu wangetakiwa wamsaidie, Huwa nawaza why Watanzania tunapenda kukomoana hivi, huyu mama kumfungia kumeharibu uchumi na kuathiri aliowaajiri na kumtegemea, na hao ma officer hawakufikiria kweli multiplier effect yake. Saa ingine watu watumie busara kuangalia mambo Kwa upana faida na hasara then wa negotiate
Magufuri legacy.Huyu Mama ni mmoja kati ya walioongea jana mbele ya PM. Alidaiwa kodi ya Tsh 30 Billion kwa containers zake 10 alizo import. Baada ya kuonyesha kuwa hana hizo fedha akatengenezewa mashtaka ya uhujumu uchumi. Waliosokia kikao cha PM wakamfutia shtaka la uhujumu uchumi. Na kisha usiku wa kuamkia mkutano wa PM wakamuita akatoe mzigo.
Hivi ni vitendo vinavyorudisha nyuma maendeleo ya wafanyabiashara na nchi kwa ujumla. Nashauri vyombo vya dola vishughulike na Meneja TRA wa Mkoa wa Ilala pale Kipata na wengine wote waliohusika
View attachment 2626036